CAG: TSh. milioni 140 ambazo Wizara ya Maliasili na Utalii iliilipa kampuni ya Wasafi hazikuwa na Mkataba uliosainiwa

CAG: TSh. milioni 140 ambazo Wizara ya Maliasili na Utalii iliilipa kampuni ya Wasafi hazikuwa na Mkataba uliosainiwa

Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) imeeleza kuwa Sh140 milioni ambazo Wizara ya Maliasili na Utalii iliilipa kampuni ya Wasafi hazikuwa na mkataba wowote uliosainiwa.

Wizara hiyo ililipa fedha hizo kwa ajili ya wasanii ambao wangetangaza utalii wa ndani katika mikoa sita nchini Tanzania.
mwananchi_official-___CNZ2MGVhunn___-.jpg


Akizungumza leo Alhamisi Aprili 8, 2021 katika mkutano na waandishi wa habari mjini Dodoma CAG, Charles Kichere amesema, "Wizara ililipa Sh140 milioni kwa kampuni ya Wasafi kwaajili ya wasanii ambao wangetangaza utalii wa ndani katika mikoa sita, hata hivyo hakukuwa na mkataba wowote uliosainiwa baina ya wizara na kampuni ya Wasafi na kushindwa kuhakiki wigo na huduma iliyotolewa na kampuni ya Wasafi."

Social -mwananchi update
 

Attachments

  • Screenshot_20210408-154616.jpg
    Screenshot_20210408-154616.jpg
    49.2 KB · Views: 2
  • globalpublishers-___CNZ46h0DOzj___-.jpg
    globalpublishers-___CNZ46h0DOzj___-.jpg
    95.6 KB · Views: 2
globalpublishers-___CNZ46h0DOzj___-.jpg


"Katika mahojiano na waziri (Dk. Hamis Kigwangalla), alikiri kampuni ya Wasafi iliomba zabuni ya kutangaza tamasha la utalii, na kutoa maagizo ya kutolewa malipo hayo. Kwa maoni yangu, Sh.140 mil walicholipwa, hakiendani na sheria ya matumizi ya umma." - Charles Kichere, CAG.
 
Mara paap , jiwe kaamka , spatii picha jins mkutano wa waandishi wa habar utakavyotawanyika 😋😋😋😀😀 na CAG kutokomea kusikojulikana 🙄, mana si Kwa spana hz wanazompiga, lakni jiwe si alimwajibisha kigwangala Kwa kumtimua uwazir
 
Waziri mwenye dhamana bila shaka alikuwa ni Hamis Kigwangala. Ni vyema akachukuliwa hatua pamoja na hao wahuni wenzake ili wazirejeshe hizo fedha za serikali.

Wakileta ujuaji, wafilisiwe tu mali zao. Muda wa kucheka na nyani umekwisha.
 
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) imeeleza kuwa Sh140 milioni ambazo Wizara ya Maliasili na Utalii iliilipa kampuni ya Wasafi hazikuwa na mkataba wowote uliosainiwa.

Wizara hiyo ililipa fedha hizo kwa ajili ya wasanii ambao wangetangaza utalii wa ndani katika mikoa sita nchini Tanzania.View attachment 1746626

Akizungumza leo Alhamisi Aprili 8, 2021 katika mkutano na waandishi wa habari mjini Dodoma CAG, Charles Kichere amesema, "Wizara ililipa Sh140 milioni kwa kampuni ya Wasafi kwaajili ya wasanii ambao wangetangaza utalii wa ndani katika mikoa sita, hata hivyo hakukuwa na mkataba wowote uliosainiwa baina ya wizara na kampuni ya Wasafi na kushindwa kuhakiki wigo na huduma iliyotolewa na kampuni ya Wasafi."
Kigwangwala huko haja ndefu inagonga chupi inarudi ndani.
 
Mara paap , jiwe kaamka , spatii picha jins mkutano wa waandishi wa habar utakavyotawanyika 😋😋😋😀😀 na CAG kutokomea kusikojulikana 🙄, mana si Kwa spana hz wanazompiga, lakni jiwe si alimwajibisha kigwangala Kwa kumtimua uwazir
Kigwa hajawahi kufukuzwa uwaziri.
 
Mara paap , jiwe kaamka , spatii picha jins mkutano wa waandishi wa habar utakavyotawanyika [emoji39][emoji39][emoji39][emoji3][emoji3] na CAG kutokomea kusikojulikana [emoji849], mana si Kwa spana hz wanazompiga, lakni jiwe si alimwajibisha kigwangala Kwa kumtimua uwazir
Kwani kupoteza uwaziri nayo ni adhabu,mbona wengine wanasota jela kwa kesi za utakatishaji fedha,kushirikiana na magege ya kiharifu,ubadhirifu wa mali ya umma na tuhuma kibao za kubambikiziwa.
 
Back
Top Bottom