Acha kulinganisha Musoma na huo uchafu wenu? Yaani inaonekana hata Musoma Huijui wewe, yaani unailinganisha na Chato, pole sanaHivi uwanja wa ndege wa Chato unatofauti gani na Uwanja wa Ndege wa Musoma unaojengwa? Au wa Mtwara? Hizo faida anazotaka CAG ni zipi? Zionekane baada ya mda fani? Maana nina hakika ata ujenzi wa terminal 3 Mwaimu Nyerere bado hatujaanza kupata faida
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio inao Sasa. Au unataka uhamishwe.Chato haina sifa ya kuwa na uwanja wa ndege
Umuhimu ulikuwepo kama tuliweza kupima corona kwenye mapapai natukamshangilia eti nimzalendo.huku akituma ndege ikachukue juice Madagascar wakati WHO hajaidhinisha
Watu walimshtaki kwa Mungu tuKashajenga kwao hamna kitu mtafanya kubwabwanya tu wanoko
Inaletwa na mamaako peke yake!Chato ni legacy ya Mwendawazimu, faida hailetwi na KICHAA.
Kwa mwezi uwanja unahudumia zaidi ya watu 250+.. endelea kuteseka.Haina ndiyo maana CAG amebainisha hilo
Kichaa sio tusi?Sasa hapo matusi yanatokea wapi?
Kusema "mamaako" ni tusi?Ingekuwa ni tusi wala jiwe asingejiita kichaa
Nitafurahi sana. Ila nikirudi naanza na hiyo hiyo sentenso!Wacha tukuripoti kwa mods ugongwe ban
Mkuu uwanja uko karibu kukamilika kwa 100% ukiwa na majengo mazuri ya standard ya juu kabisa duniani. Sasa nakushauri unywe sumu ufe lasivyo utakufa na stress bure. Na sisi wanakanda ya ziwa tunautumia sana tukiwa tunaenda Chato. Kwahiyo wewe bibi kizee tuliza mshono!Tulisema tukaitwa wapinzani tuna wivu.
Sasa wenye mamlaka wa kusema wamesema.
--
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere amesema gharama za ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Chato mkoani Geita zilizidi bajeti iliyotengwa kwa sababu ulifanyika bila upembuzi yakinifu.
CAG alisema kutofanyika kwa upembuzi yakinifu kunaongeza hatari kwa Serikali kuwekeza katika mradi usio na tija na uwezekano wa kuwapo gharama zisizodhibitiwa na ongezeko la muda katika utekelezaji wake.
“Mpatio yangu yalibaini Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) na Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) hawakufanya upembuzi yakinifu kabla ya kuanz aujenzi,” amesema Kichere.
CAG Kichere amesema Sh3.62 bilioni za mradi huo zilitolewa kwenye miradi mingine kwa matarajio kwamba zingerejeshwa baada ya Hazina kutoa fedha zake, jambo ambalo halikutekelezwa kwa wakati hivyo kusimamisha miradi mingine iiliyopangwa.