CAG: Uwanja wa Ndege Chato ni mradi usio na faida

CAG: Uwanja wa Ndege Chato ni mradi usio na faida

Tangu lini public service ikawa na faida? Daraja la tanzanite linaendeshwa kwa faida?
Hilo lilipitishwa kwenye legal channels za kiserikali na manunuzi.
 
Hivi kutoka Geita hadi bukoba ni km ngapi? Wacha kuwapa kwa kutumia masaburi
Hata kuandika hujui. Jifunze kwanza kuandika ndio uje hapa na maswali yako ya kichawa
 
Tangu lini public service ikawa na faida? Daraja la tanzanite linaendeshwa kwa faida?
Faida ya hilo daraja ni magari kupita juu yake , japo mimi nilipinga ujenzi wake kutokana na kwamba hakukuwa na ulazima , lakini uwanja wa chato kazi yake kubwa kwa sasa ni kuzalishia nyoka na ndege kutagia mle , hakuna ndege inaenda kule , kwanza waende kufanya nini ?
 
Hivi uwanja wa ndege wa Chato unatofauti gani na Uwanja wa Ndege wa Musoma unaojengwa? Au wa Mtwara? Hizo faida anazotaka CAG ni zipi? Zionekane baada ya mda fani? Maana nina hakika ata ujenzi wa terminal 3 Mwaimu Nyerere bado hatujaanza kupata faida

Sent using Jamii Forums mobile app
Swali la kitoto sana hili. Yaani Manispaa ya Mtwara yenye uwanja na vitega uchumi kibao ufananishe na Wilaya ndogo kama Chato, hata Newala tu bado ni bora kwa mizania zote na Chato kama tunaongelea ukubwa, ukongwe nk!
 
Kwanza Viwanda vya ndege hivi ni kama stand za mabus tu, lakini tumegeuza sehemu ya kunyonya watu, una lipi a ticket elfu 95, service charge ya ujanjaujanja elfu 70 mambo ya kipuuzi tu
 
Faida ya hilo daraja ni magari kupita juu yake , japo mimi nilipinga ujenzi wake kutokana na kwamba hakukuwa na ulazima , lakini uwanja wa chato kazi yake kubwa kwa sasa ni kuzalishia nyoka na ndege kutagia mle , hakuna ndege inaenda kule , kwanza waende kufanya nini ?
Vile vile wavuvi wa dagaa wamepata pa kuanikia
 
Ukiwa msukuma siyo kwamba basi uko Sukuma Gang.
Its not fair.
Mtu kama Dialo mwenyekiti wa CCM Mwanza, utasema yupo Sukuma gang?
Wote mlikuwa wafuasi wa jiwe na mlilazimika kuyakubali hata mapungufu yake kisa mwenzenu.
 
Kwanza Viwanda vya ndege hivi ni kama stand za mabus tu, lakini tumegeuza sehemu ya kunyonya watu, una lipi a ticket elfu 95, service charge ya ujanjaujanja elfu 70 mambo ya kipuuzi tu
Tanzania hakuna kiwanda cha ndege.

Nimekwambia kuwa kunywa maji kidogo kwanza utulize akili wewe mfuasi wa jiwe.
 
Legasi , Legasi , Legasi
Kwa sababu waafrica wengi mawazo yao ni finyu na fupi ndiyo maana wanasema mradi wa chato aina faida. Tunataka faida ya leo na si ya kesho.

Wanaojiita wataalamu na wanasiasa hawajui kuwa watu wanaongezeka kila kukicha. Dar es salaam ya mwaka 1990 siyo ya leo 2022. Hatuna long term plan bali miradi zetu nyingi ni za muda mfupi. Kila alioko madarakani anawaza atengeneze ya leo na si ya kesho kwa faida ya vizazi vijavyo.

Hata wanaojiita wapinzani wakiingia madarakani hawatabadili chochote. Kila mwanasiasa yupo kwa maslai yake binafsi.

Mwanasiasa anataka utawala na si kusaidia Raia wanaostaabika kila kukicha. Mwanasiasa si rafiki wa mwananchi wa kawaida. What they need is only power.
 
Ni kweli watwambie ni wapi viwanja vyenye faida? Mzee kaingia hata ndege hamna, sasa wenyewe wanapanda kwenda ulaya huku wakimponda!
Kwahiyo alizinunua hizo ndege kwa kutumia fedha zake za mshahara wake?
 
Back
Top Bottom