Ostrich eggs
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 638
- 453
Kituo kinachofuata ni .......CHATO.......Huu ni ubadhilifu wa mali ya umma hasa fedha za umma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kituo kinachofuata ni .......CHATO.......Huu ni ubadhilifu wa mali ya umma hasa fedha za umma.
Hadi marehemu katikisa kichwaChato ni legacy ya Mwendawazimu, faida hailetwi na KICHAA.
Usio na faida kwa watu wenye vision ndogo maana jpm alikuwa ana changamsha uchumi kila sehemuTulisema tukaitwa wapinzani tuna wivu.
Sasa wenye mamlaka wa kusema wamesema.
.https://www.instagram.com/p/CcUyVOhtBIe/?igshid=YmMyMTA2M2Y=
Walinda "legasi"View attachment 2187028
Wewe ungeweza? Tuliona Lissu alivyofanyiwaBongo unafiki umetawala sana. Kama ingekuwa ni miaka miwili nyuma, kamwe asingejaribu kutoa maoni ya aina hii.
Hao wote wapo hoi bintaaban hata ela ya kununulia bundle hawana
POLE ndugu,Chato haiwezi kuwa hivo mzee! Jidanganye hamna kitu kama hicho maana pale ni wilayyani na kuna huruma kibao tofauti na kijiji cha mobutu!
Angekuwepo jiwe angesema hivyo!!Ilikuwa ni Serikali ya kifisadi pia🐒🐒🐒
View attachment 2187006
CCM si waporaji wote, kuna waumi wazuri wa naoamini msingi wa kazi halaliMadini yameporwa na Nani? Kuwa muwazi tu kuwa CCM ndo waporaji, kwa nini uzunguke mbuyu?
Kwa akili yako unaweza kulinganisha mobutu na JPM?Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu wa Za Banga - Gbadolite today
View attachment 2187222 View attachment 2187225 View attachment 2187204 View attachment 2187226
Kabisa ndugu yangu, vitendo vyao vinavyowaweka kundi moja viko wazi kabisa. Ukimaliza kusoma hayo kasome na historia.CCM si waporaji wote, kuna waumi wazuri wa naoamini msingi wa kazi halali
Kwa akili yako unaweza kulinganisha mobutu na JPM?
Kasome hesabu sio social and science!
Fuatilia vizuri nyuzi zangu.Hao wote wapo hoi bintaaban hata ela ya kununulia bundle hawana
rubbish jitu weweHivi uwanja wa ndege wa Chato unatofauti gani na Uwanja wa Ndege wa Musoma unaojengwa? Au wa Mtwara? Hizo faida anazotaka CAG ni zipi? Zionekane baada ya mda fani? Maana nina hakika ata ujenzi wa terminal 3 Mwaimu Nyerere bado hatujaanza kupata faida
Sent using Jamii Forums mobile app
Historia ipi? CCM wote sio wezi, na wapo waliofuata itikadi za Ujamaa na Azimio la Arusha!, wapo walioachana na hiyo dhana, wakafuata ubepari!Kabisa ndugu yangu, vitendo vyao vinavyowaweka kundi moja viko wazi kabisa. Ukimaliza kusoma hayo kasome na historia.
Ndugu ninakushauri utulie na kusoma tena ulichokiandika. Halafu urudi upya ukiwa na hoja.Historia ipi? CCM wote sio wezi, na wapo waliofuata itikadi za Ujamaa na Azimio la Arusha!, wapo walioachana na hiyo dhana, wakafuata ubepari!
Kumbuka Nyerere alisema UBEPARI NI UNYAMA
Hivi kutoka Geita hadi bukoba ni km ngapi? Wacha kuwapa kwa kutumia masaburiHuo uwanja wa Chato ulikuwa na umuhimu gani kujengwa chato wakati kuna uwanja wa Mwanza na pale Bukoba?
Ukiwa na ufahamu mpana utanielewa! Fikiria nje ya box utanielewaNdugu ninakushauri utulie na kusoma tena ulichokiandika. Halafu urudi upya ukiwa na hoja.