ofisa
JF-Expert Member
- May 15, 2011
- 4,340
- 4,069
Bora uwe na asset nyingi kuliko uwe hauna na ulivyonavyo umevifanya kama dhamana.
Mwendazake ameacha asset nyingi sana.hebu vuta picha mwaka 2005 tulikuwa na uwanja wa ben mkapa, mwaka 2022 bado hauna hata matangazo ya kidigital kama ule wa azam complex.
Mwendazake ameacha asset nyingi sana.hebu vuta picha mwaka 2005 tulikuwa na uwanja wa ben mkapa, mwaka 2022 bado hauna hata matangazo ya kidigital kama ule wa azam complex.