ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 79,360
- 154,913
Sio kuzuia fala ww kwann world bank waseme itakua kwa asilimia 6 na tanzani iseme itakua kwa 7% so hao IMF ndio mitume kwa maana data zao ni sahihi sana, soma uchumi kwanza alaf urudi hapaWewe yako yanazuiwa yasiwekwe wazi na IMF.. Name me another country that is fool as we are!!