Calisah "amvua nguo" mrembo, amchana kweupe

Calisah "amvua nguo" mrembo, amchana kweupe

🤣🤣🤣 Ni mtazamo tu nimetoa kulingana na ulichocomment si kuwa na nia mbaya ila naona umechukulia tofauti
Kwan kumsifia mtu mpaka umpe uchi?unafika tu unaqoute mpe papuch halaf eti hukuwa na nia mbaya,we watu unaowasifia wote unatiana nao?kama ni hivyo ni wewe tu acha wivu nawe nenda gym tutakusifia
Na kama umeona ni mtazamo hata mim huo ni mtazamo wangu
Ukiandika kistaarabu utajibiwa kistaarabu pia
 
Back
Top Bottom