Call to Public Debate- Any Brave Atheist or Atheists

what about archaebacteria, eg those bacteria that existed even before there was oxygen, and some didn't evolve they're still surviving hadi leo, wanaitwa methanogens, infact wakiwa exposed kwenye oxygen ndio wanakufa, and many more archaebacteria that persist kwenye harsh environmental, wengine waishi kwenye maeneo yenye joto kali na conc acid, wanaitwa thermoacidophiles, so my friend they don't only resist antibiotics, some resist very harsh environment currently, nenda kajifunze kuhusu hii mambo vizuri, u'll see how convincing they are.
 
jombaa ligi umeianzisha, unaikimbia, kwani ulitakaje in the first place, watu hawana muda wakudebate private, mtu keshashusha nondo zake hapa aje aanze tena upya what for, debate right here, u wanted it exposed mara unataka tena private, vipi ase...
 
hivi wadau wote wa jf wako dar es salama? mi mkishauset mnichangie nauli niko Maswa.
 
This thread ain't QnA thread. If you volunteer to debate me then come out else I have nothing to discuss here.
You may well increase your speed 🙂

Huna lolote na wewe, watu washakuambia upo uninformed, jibu kwanza swali ndo muende mbele, watu tunafatilia mtanange, ukianza siasa za Kigwangala na Nape you become more boresome
 
jombaa ligi umeianzisha, unaikimbia, kwani ulitakaje in the first place, watu hawana muda wakudebate private, mtu keshashusha nondo zake hapa aje aanze tena upya what for, debate right here, u wanted it exposed mara unataka tena private, vipi ase...


Ahsanta,
kumbe na wewe umemshtukia....
 
Sorry I meant to say family...
 
Duh Wakuu naomba tulitendee Haki Jukwaa letu la Intelligence....

Kwanza naomba tujiulize kwanini watu wana miguu miwili na sio mitatu au minne au kuwa na macho sita ?

Tutagundua kwamba kuna formula kwenye Nucleus ya Kila Cell inayoiambia cell ijigawe vipi na ifanye nini kwahio ndio maana tunapata cell tofauti zenye kazi tofauti na ndio maana binadamu yupo jinsi alivyo..., kwahio kuna uwezekano wa hio formula ikibadilika DNA na kiumbe kitakachozaliwa kitabadilika....

Mfano mzuri ni huu hapa wanasayansi waliweza kubadilisha genes kwenye mbuzi na kuongeza genes za spider ili maziwa anayotoa mbuzi yanakuwa na protein zaidi inayoweza kutengeneza silk
BBC News - The goats with spider genes and silk in their milk

Kwahio kama watu tukiona hawa mbuzi ndio wanafaa zaidi tunaweza tukakuta years from now mbuzi wote wanaofugwa wakawa hivi..

Kwahio mtu kabla ya yote inabidi usome kuhusu DNA na kufahamu kwamba hizi ndio building Blocks na ukibadilisha hizi builiding blocks (either artificially, au kwa mutation au ikitokea sababu moja au nyingine) basi kiumbe kitakachotokea mwisho kitakuwa tofauti kabisa... What is DNA?

Pia issue ya uwezekano wa unicellular kubadilika kuwa multicellular kuna experiment ilifanywa kwa kuweka algae katika conditions tofauti na within 60 days ikapatikana multicellular from unicellular Multicellular Life Evolves in Laboratory | Science | WIRED (Kumbuka mpaka hii ilivyotokea ni kwamba walicreate artificial environment ambayo kwa kawaida huwa haitokei) ikionyesha kwamba mpaka kitu kibadilike ni mpaka environment ibadilike kama alivyosema housegirl

Kwahio wakuu Genes ndio building blocks ndio maana tunapata hata genetic modified foods ikionyesha kwamba hizi genes zinaweza kubadilika iwe arficially au vinginevyo..

Na kusema kwamba bacterias kuwa resisitant kwa madawa ni acclamatization.., jiulize ni vipi wana-acclamatize je ni kwa kujenga/kupata traits ambazo zilikuwa hazipo mwanzo ?, na kama ndivyo basi hio ndio evolution yenyewe hio ukizingatia changes hizi zinahamishiwa kizazi mpaka kizazi
 
Last edited by a moderator:
This thread ain't QnA thread. If you volunteer to debate me then come out else I have nothing to discuss here.
You may well increase your speed 🙂

That was already answered in my original post here.

Do you know how to read?

Why did you reply and engage me if this thread is not a QnA?

Can you do anything coherently?
 
Do you volunteer to publicly debate me? I will be happy to deal with all of your stuffs...on public debate: face-off!
Sijaelewa unataka tudebate nini ?

Je tuna-debate Imani ?, Jambo nililosema mwanzo kwamba ni kupotezeana muda unless wote tuna Imani moja... wewe Christian hauwezi kubishana na Budha, au Hindu au mtu anayeamini kwenye reincarnation kwa kutumia evidence ya Bible wakati hao wote hawaamini hio Bible (kwao ni kama Novel tu...) Ndio Maana nikasema kama hio ndio issue am out sababu imani ya mtu ni imani ya mtu na anachokiamini ndivyo kilivyo hata kama kwako hakina ukweli wowote..

Au tuna-debate uwepo wa Evolution ?

Na kama ndivyo je Evolution unayosema wewe ndio hii.. a change in the inherited characteristics of biological populations over successive generations...?

Na Swali linakuja hizo inherited characteristics kwanini zipo hivyo sasa na ni nini kinafanya ziwe hivyo ? na ukigundua kwamba ni formula ambazo zipo kwenye nucleus ya cells inayoiambia cell ifanye nini na wapi.., na ukigundua kwamba hio formula inaweza ikabadilika na ikishabadilika sababu kinachotokea katika replication ni kutoa copy ya hio formula utagundua kwamba characteristic iliyopo sasa huenda isiwepo after generations
 
Aisee nimeinjoi sana kusoma hapa.....

Haya makitu wengine hatuyajui hivyo tunakaa kimya tu na kuwa wasomaji zaidi .....!!
 
jombaa ligi umeianzisha, unaikimbia, kwani ulitakaje in the first place, watu hawana muda wakudebate private, mtu keshashusha nondo zake hapa aje aanze tena upya what for, debate right here, u wanted it exposed mara unataka tena private, vipi ase...
I want to debate in public face to face. Read again my post. Not on FB or JF, In person with time and moderation.
So if someone is bold and brave, here I am!
 
Which one is True, Atheism or Christianity?

Answer the problem of evil first to remove an inherent contradiction in the core characteristics of your godhead.

How come an omnipotent and omni benevolent godhead created a world full of evil and tragedies like this one?

Before logically and completely answering this question, you have not qualified to debate anybody knowledgeable.

Nenda kwenye mihadhara ya Manzese labda.
 
Answer the problem of evil first to remove an inherent contradiction in the core characteristics of your godhead. How come an omnipotent and omni benevolent godhead created a world full of evil and tragedies like this one?
Are you volunteering, finally?

Before logically and completely answering this question, you have not qualified to debate anybody knowledgeable.

Nenda kwenye mihadhara ya Manzese labda.
Running with style, lol 🙂
 
YES, I do have. I gave you a link. It seems you didn't read it through. And NO, I am not a believer of any such cult, sorry.
Do you know the meaning of the observable evidence? Am I talking to a kid? Tell me, who was observing those changes for a Billion years per your link?
 
Without the word "if", you wouldn't be able to type or read anything here. A simple if-else logic goes a long way in science and has nothing to do with blind faith.
"If" supports notions, diabolical fallacies and darwinic assumptions. We need empirical, testable, airtight, impeccable and verifiable facts.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…