housegirl
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 3,125
- 2,192
We ndo umeongelea mjusi na mi ndo nikauliza.
Sasa mambo ya mimi kujua atakuwa mjusi umeyatoa wapi?
Au unasahau hata unayoyaandika mwenyewe?
that was an analogy! fine....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ndo umeongelea mjusi na mi ndo nikauliza.
Sasa mambo ya mimi kujua atakuwa mjusi umeyatoa wapi?
Au unasahau hata unayoyaandika mwenyewe?
they ARE approximations with known margin of errors. you think because they approximated 38trillion then it might as well be 38thousand?
that was an analogy! fine....
We ndo umeleta mambo ya mjusi halafu unaniuliza eti nimejuaje atakuwa mjusi. Khaaa..!!
Uwe unakumbuka basi unayoyaandika, sawa?
atakuwa vile mazingira yatamfanya awe!
Oh okay! If they are approximations then there is no argument from me!
Are you sure or you just "believe"?
and your knowlege of genetics is.....??
And it doesn't make it true, either!
Hujajibu swali langu bado....!!
kwahiyo kwasababu huelewi kitu unaweka probability that its false? one cannot fathom "10million years" so it must be false!
okay....at these typa edges, the debate ends...
was nice talking to you though..no foul language...follows through...etc
Hii inakurudia mwenyewe ....
Kuna mahali uliwahi kudai kuwa "how can a limited person fathom an infinity entity"?
Sijui kama unakumbuka maana una tatizo la kusahau
If that so,kwanini uliamua ku conclude kuwa ni false?
Hahahaaaaaaa .....
Au billion of years ina maana tofauti kwenye sayansi?
Mwanzo ulidai kuwa aina ya swali nililokuuliza ni kutokana na kutokujua kwangu geneticsswali lako halina mantiki. halijibiki!!
Bado hujaleta ushaidi zaidi ya vain words.Unaonesha jinsi gani hufahami unachodhani unakifahamu.
Mwanzo ulidai kuwa aina ya swali nililokuuliza ni kutokana na kutokujua kwangu genetics
Hiyo ilikuwa na maana kwamba swali langu linajibika kirahisi sana kama ningekuwa najua genetics,nashangaa sasa mara halijibiki mara halina mantiki
Kama halijibiki basi majibu yake hayapo kwenye genetics
Kama linajibika basi either majibu yake hayapo kwenye genetics kama ulivyodai au ulikuwa unataka kulikimbia kwa kusema uongo
Sasa basi;
1;Nioneshe vile ambavyo halina mantiki
Au
Huna jibu?
Lakini;
2;Halijibiki au halina mantiki? Pick one ...!!
Are you a believer?