Living Pablo
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 3,549
- 10,995
Madebe aliwah toa movie ya hvy unavyowaza yy akiwa mhalifu dem mpelelez mwisho akampa ujauzto akazaa madebe yupo jela ushahid umepatikana akiwa na makosa maan dem alimpeleleza had akajua ukwlIla kuna kazi zina risk sana aisee,,,!!
Sasa kwa mfano akibebeshwa mimba na huyo muhalifu,, hii imekaa vipi hii,,!?
Upelelezi umekamilika, jamaa kishakamatwa na huyo bi-dada tayari kitambi,, haya nani analea mtoto!?