Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh naku pmAiseh ingekuwa pm YAKO inafunguka ningeshea na wewe kuhusiana na ishu FULANI ambayo imenitokea hivi karibuni huku kwangu kama miezi miwili hivi!!yaani wa 12 na pili mwaka huu kama tarehe 3 hivi ya Mwezi HUU! AISEH japo na wewe sikuamini unaweza ukanichomeka KWENYE shida!!japo nimepigwa na kitu kizito kichwani!!
Huyu si ras wa Jiwe huyu mnywa kahawa?Mmemuona ras kipensi?
km unayo ya mywa kahawa itupie hapaHuyu si ras wa Jiwe huyu mnywa kahawa?
Jasusi Kabanga kwenye mishe zakokweli hawaaaminiki.....
Huyo ni mpuuzi tu, hana loloteMkuu naomba unipe tips kwa uchache Japo A.B.C....za kuwatambua hawa watu nina ndugu yangu mnoko mnoko kweli simuelewagi kabisa...yeye anashinda kwenye betting na casino tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio huyo huyo kaka. Jamaa sijui wanatuonajeHuyu si ras wa Jiwe huyu mnywa kahawa?
Ndio. Wao hawafanyi enforcement wala decisionKumbe