Can Islam coexist with non Muslims? Ni kawaida waislam kuwa huru nchi yenye wakristo 99%, kwanini wao wakiwa wengi huminya imani nyingine?

Hizo takwimu unazipata wapi?
 
Still kuna mtu anasema na anakaza shingo kabisa kwamba anaabudu Mungu mwenye maneno ya hovyo kama haya!

Hawa watu wana umuhimu wa kuhurumiwa.
Walidanganywa ajabu hata kujiongeza hawawezi kabisa ,wanatia huruma ,Mungu wao ni katili from day one to end.

Imagine mungu ambaye hajawahi kutamka kuagiza wafuasi wake wapendane yaani neno pendaneni halimo kinywani mwake kabisa
 

Islam is mental illness
 
Wanawake wao ni mashine za kutotolea vitoto Wanawake wao ni mashine za kutotolea vitoto viiingii🤣

Halafu Waislam wanavyojaribisha kutuambia Islam is a Religion of peace, ni sawa na KAHABA KUTAKA kutuaminisha kuwa yeye ni badoBIKIRA
 

UISLAMU hauna shida Kwa watu wasiokuwa waislamu ambao hawaupigi vita uislamu

Shida yenu mnataka waislamu wafuate mifumo yenu

Mfano

Sasa mnalazimisha Kila mtu awe shoga kitu ambacho uislamu hauwezi kukubali.


In short, ukristo ni dini ya watu wakikaa tu wanakubaliana jambo linakuwa Sheria kiasi kwamba hata biblia inaweza ikabadilishwa na watu wakaona poa


Uislamu hamna mambo hayo,
 

Leta aya hapa ya quran iliyosema mswali swala 5

Leta aya ya quran iliyosema wanawake wavae hijab
 
Ndio maana waislamu hawawezi kukaa na wapumbavu kama nyinyi


Mnauchukia sana uislamu,


Ukijaribu kuangalia comments za humu ndio utaona uhalisia
 
Comments tu na post zinaonesha nani anamchukia mwenzake mapovu yenye hisia ndani yake, watu tunaishi familia moja wengine kanisani wengine msikitini , lakini hapa kila siku malalamiko na kashfa juu ya uislamu na waislamu
 
Leta aya hapa ya quran iliyosema mswali swala 5

Leta aya ya quran iliyosema wanawake wavae hijab
Shida yenu mnataka tufuate Quran Kwa uelewa wenu


Quran haipo hivyo, mfafanuzi wa Quran ni mtume (saw)

بِالْبَيِّنَاتِ وَالزُّبُرِ ۗ وَأَنْزَلْنَا إِلَيْكَ الذِّكْرَ لِتُبَيِّنَ لِلنَّاسِ مَا نُزِّلَ إِلَيْهِمْ وَلَعَلَّهُمْ يَتَفَكَّرُونَ
Kwa Ishara wazi na Vitabu. Nasi tumekuteremshia wewe Ukumbusho ili uwabainishie watu yaliyo teremshwa kwao, wapate kufikiri. 16:44


Ili uwabainishie watu, maana yake mtume ndiye mwenye kubainisha Quran na sisi nyinyi muje na akili zenu mtafsiri mnavyotaka.

Hapo ndio inakuja Sunnah ambayo ndio matendo halisi ya Quran.

Aya zote unazosema zipo shida ukitaja zije kama unavyotaka wewe Tunga kitabu chako
 


Kuna mkristo aliwahi kufanyiwa haya Zanzibar ?? au kuuliwa wakati wa uchaguzi ??


View: https://www.youtube.com/watch?v=gmxrblkDnbc&pp=ygVEa2lsaWNob3dhcGF0YSB3YWxpb3dla3dhIGt3ZW55ZSB2aXp1aXppIHZ5YSBtYXRlc28gdWNoYWd1emkgemFuemliYXI%3D
 


Kuna mkristo aliuliwa au kupigwa Zanzibar, Wanaofanya haya ni jeshi la uvamizi kutoka Tanganyika



View: https://www.youtube.com/watch?v=gmxrblkDnbc&pp=ygVEa2lsaWNob3dhcGF0YSB3YWxpb3dla3dhIGt3ZW55ZSB2aXp1aXppIHZ5YSBtYXRlc28gdWNoYWd1emkgemFuemliYXI%3D
 
Kule Kongo nako ni waislamu au vipi ??

zawadi yako hii


View: https://youtu.be/x6pF9WG3HaA
 
Walidanganywa ajabu hata kujiongeza hawawezi kabisa ,wanatia huruma ,Mungu wao ni katili from day one to end.

Imagine mungu ambaye hajawahi kutamka kuagiza wafuasi wake wapendane yaani neno pendaneni halimo kinywani mwake kabisa
Una uhakika?

Tatizo lenu mnazungumza mambo msiyoyajua.

لَا يَنْهَاكُمُ اللَّهُ عَنِ الَّذِينَ لَمْ يُقَاتِلُوكُمْ فِي الدِّينِ وَلَمْ يُخْرِجُوكُمْ مِنْ دِيَارِكُمْ أَنْ تَبَرُّوهُمْ وَتُقْسِطُوا إِلَيْهِمْ ۚ إِنَّ اللَّهَ يُحِبُّ الْمُقْسِطِينَ
Mwenyezi Mungu hakukatazini kuwafanyia wema na uadilifu wale ambao hawakukupigeni vita, wala hawakukutoeni makwenu. Hakika Mwenyezi Mungu huwapenda wafanyao uadilifu.


Ikiwa mwenyezi Mungu hakatazi kuwafanyia wema wasio waislamu, vipi kuhusu waislamu?
 
Allah na Jehova ni ngumu sana kukaa pamoja,lakini Allah ndio huwa anaungua vibaya Jehova akiwepo.

One thing that many non-Hebrew speaking Jews and Christians mistake about is the nameof GOD Almighty in the Bible (Luke 2:52: GOD forgave Jesus' sins and was "charitable" with him). "Yahweh" in Hebrew means "TheLORD" or the "The GOD". It is not a name. Let us look at thefollowing quotations from Christian and Jewish resources:


"Judaism teaches that while God's name exists in writtenform, it is too holy to be pronounced. The result has been that, over the last2000 years, the correct pronunciation has been lost." (Mankind's Search for GOD, p. 225).


Here we clearly see that the pronunciation for the original namefor GOD Almighty had been lost, and the Jews have no idea what the exact pronunciation isfrom their Holy Scriptures and resources.


"About 3,500 years ago, God spoke to Moses, saying: 'Thusshall you speak to the Israelites: The LORD [Hebrew: YHWH], the God of your fathers, theGod of Abraham, the God of Isaac, and the God of Jacob, has sent me to you: Thisshall be My name forever, this My appellation for all eternity.' (Exodus 3:15; Psalm 135:13)" (Mankind's Search forGOD, p.225).


"....the four Hebrew consonants YHWH (Yahweh) that in theirLatinized form have come to be known over the centuries in English as JEHOVAH." (Mankind's Search for GOD, p.225).


So the word "YHWH" or "Yahweh" or "Jehovah" is not theORIGINAL name, but the appellation (title) for the Almighty GOD (Luke 2:52: GOD forgave Jesus' sins and was "charitable" with him). This is perfectlyfine, because Jews, Christians and Muslims call on to GOD Almighty as "The LORD"or "The GOD", which means "Yahweh" or "Jehovah" in Hebrewand "Al-Rab" in Arabic. "Al-Rab" in Arabic and"Yahweh" in Hebrew and the other translations in all other languages are indeedGOD Almighty's title. But they are NOT His original Name!
 
Comments tu na post zinaonesha nani anamchukia mwenzake mapovu yenye hisia ndani yake, watu tunaishi familia moja wengine kanisani wengine msikitini , lakini hapa kila siku malalamiko na kashfa juu ya uislamu na waislamu
Wakristo Wana chuki kubwa dhidi ya uislamu ila wanajifanya wanawapenda waislamu, huo ni unafiki

Hawataki kabisa uislamu uwepo au waislamu wawe juu


Raisi Samia anapigwa vita kuvaa ushungi tena ushungi wenyewe sio wa kiislamu


Wanalalamika Kila siku wakiteuliwa viongozi waislamu


Wakati huo wanajifanya kuchukia waislamu wengi hawasomi


Sasa wakisoma wakapata kazi hawataki na wasiposoma hawataki


Sasa wanataka nini Kwa waislamu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…