Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hayo yanakuwa matumizi mabaya ya baby.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hayo yanakuwa matumizi mabaya ya baby.
Inapokuwa ili uwe naye lazima atoe hela, hapo ni jambo jingine... lakini kama hela si kipaumbele, hiyo siyo biasharaHili neno la biashara mnalipenda kweli, kuna mtu alisema hutumiw ana wale walozoea kununua kimboka hivyo hata mpenzi wake kumhudumia naona ni biashara bado anafanya.
Sijui ni akina nani waliwadumaza namna hii[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134] hebu rudini kwenye nafasi zenu jamani. Its not too late.
[emoji120][emoji120][emoji1431][emoji1417]
Hili neno la biashara mnalipenda kweli, kuna mtu alisema hutumiw ana wale walozoea kununua kimboka hivyo hata mpenzi wake kumhudumia naona ni biashara bado anafanya.
Sijui ni akina nani waliwadumaza namna hii[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134] hebu rudini kwenye nafasi zenu jamani. Its not too late.
DuuhKweli nilidhani ni mkaka.
Unafikiri kipaumbele chetu huwa ni pesa basiii[emoji1787] tunawapenda kweli kweli. Hata huko kuombwa pesa ni dalili nzuri za kupendwa.Inapokuwa ili uwe naye lazima atoe hela, hapo ni jambo jingine... lakini kama hela si kipaumbele, hiyo siyo biashara
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Halaf pesa zenyewe za mboga tu mnalalamika
Waoneee
AaseUnaninyima haki yangu ujue ? Ngoja niichukue kwa nguvu sasa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa jaman wasubiri mpaka ndoa ndio matusi yafanyike ama mwaonaje
Oyaa braza hebu twende tukapike.Duuh
😂😂😂😂 mzee dah sijui umewaza nn mkuu haha dahSasa ukute anayedate naye ni baharia mstaafu na sasa hivi anatype katika Uzi wa kimasihara.....
Hivi we mtu Kiswahili si unakijua vizuri tu?Jael
Samani iko Hivi, It depends on the values ,and spirituality ,that dictate the intentions of the persons in luv Mama. To tell u a joke ,some ladies were talking about love at first sight ,many ladies told their stories ,and one lady said i fell in love at second sight ,first sight when i saw him coming towards me ,in the street ,with a big smile ,and the second sight when he crossed the road and entered his BMW.
Kimsingi There is no connection between luv and money . Issue ni kwamba Luv can motivate and charge up a person to work hard and make money to make his beloved happy ,secure and comfortable .
But money cannot buy luv ,because luv is hidden out of reach within the heart ,and has to be won not purchased .Love can only be given freely and never bought . Love is where the heart is ,and it is given only to that person who wins it and deserves it .Only that person who wins the trust,faith,and respect of the person ,and gives love freely ,gets love ,even without money.
This is a highly subjective ,individualized issue ,and it depends on each persons ,intentions ,values, attitudes ,ego ,and self esteem
I stand to be Corrected guys [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Jamii isiyokuwa ya ajabu ni kuwa na wanaume wasio jua majukumu?Mwe jukumu=lazima...... Tunatengeneza jamii ya ajabu.
Si njaa zako ndio zilikupeleka kwake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hawa waswahili wana njaa mno,shida zake zote anazihamishia kwako
Naunga mkono hoja kwa asilimia zoteSasa jaman wasubiri mpaka ndoa ndio matusi yafanyike ama mwaonaje
[emoji817][emoji817][emoji817][emoji817][emoji817]Hili neno la biashara mnalipenda kweli, kuna mtu alisema hutumiw ana wale walozoea kununua kimboka hivyo hata mpenzi wake kumhudumia naona ni biashara bado anafanya.
Sijui ni akina nani waliwadumaza namna hii[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134] hebu rudini kwenye nafasi zenu jamani. Its not too late.
MweeNaam bidada [emoji41]