Can you date a guy without asking him for Money?

Can you date a guy without asking him for Money?

Hili neno la biashara mnalipenda kweli, kuna mtu alisema hutumiw ana wale walozoea kununua kimboka hivyo hata mpenzi wake kumhudumia naona ni biashara bado anafanya.

Sijui ni akina nani waliwadumaza namna hii[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134] hebu rudini kwenye nafasi zenu jamani. Its not too late.
Inapokuwa ili uwe naye lazima atoe hela, hapo ni jambo jingine... lakini kama hela si kipaumbele, hiyo siyo biashara
 
Hili neno la biashara mnalipenda kweli, kuna mtu alisema hutumiw ana wale walozoea kununua kimboka hivyo hata mpenzi wake kumhudumia naona ni biashara bado anafanya.

Sijui ni akina nani waliwadumaza namna hii[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134] hebu rudini kwenye nafasi zenu jamani. Its not too late.

Sasa jaman wasubiri mpaka ndoa ndio matusi yafanyike ama mwaonaje
 
Jael
Samani iko Hivi, It depends on the values ,and spirituality ,that dictate the intentions of the persons in luv Mama. To tell u a joke ,some ladies were talking about love at first sight ,many ladies told their stories ,and one lady said i fell in love at second sight ,first sight when i saw him coming towards me ,in the street ,with a big smile ,and the second sight when he crossed the road and entered his BMW.

Kimsingi There is no connection between luv and money . Issue ni kwamba Luv can motivate and charge up a person to work hard and make money to make his beloved happy ,secure and comfortable .

But money cannot buy luv ,because luv is hidden out of reach within the heart ,and has to be won not purchased .Love can only be given freely and never bought . Love is where the heart is ,and it is given only to that person who wins it and deserves it .Only that person who wins the trust,faith,and respect of the person ,and gives love freely ,gets love ,even without money.

This is a highly subjective ,individualized issue ,and it depends on each persons ,intentions ,values, attitudes ,ego ,and self esteem
I stand to be Corrected guys [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Hivi we mtu Kiswahili si unakijua vizuri tu?
Hata uandike kijerumani ila inatakiwa utoe pesa bwana we. Acha kudumaa mwisho utaanza kujitafuta wakati its too late.
 
Mwe jukumu=lazima...... Tunatengeneza jamii ya ajabu.
Jamii isiyokuwa ya ajabu ni kuwa na wanaume wasio jua majukumu?

Unamiliki mwanamke hushtuki kwa lolote.

Hata mwanamke ambae humpi pesa na hakuombi huwa anaumia sana tu na analalamika anashindwa kukwambia.

Akitokea mwanaume mwingine anampenda na kumhudumia au kumboost kidogo unaachwa saa 6 mchana jua kali la utosini.
 
Hili neno la biashara mnalipenda kweli, kuna mtu alisema hutumiw ana wale walozoea kununua kimboka hivyo hata mpenzi wake kumhudumia naona ni biashara bado anafanya.

Sijui ni akina nani waliwadumaza namna hii[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134] hebu rudini kwenye nafasi zenu jamani. Its not too late.
[emoji817][emoji817][emoji817][emoji817][emoji817]
 
Back
Top Bottom