Hivi kuna saa niliona imeandikwa kizungu nikajua ni pombe naona upside down[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hebu aje aniambie ni saa ngapi sasa hivi hapo marangu!
Kumbe vingereza navyo vinateka[emoji134][emoji134][emoji134]Alitaka awateke
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Poa bro ila mm sio ke na ninaandika kingereza. Jaribu kupunguza wivu wa kimama
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi kuna saa niliona imeandikwa kizungu nikajua ni pombe naona upside down
Kumbe kingereza cha gugo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Cha msingi mdogo wangu tafuta pesa.Hutakiwa kuwa na pesa ili upendwe..
I've changed my mind [emoji40][emoji40]
Basi kajichanganya akaumbukaKumbe vingereza navyo vinateka[emoji134][emoji134][emoji134]
Unajua nimecheka sana na kuita Didi.Kumbe kingereza cha gugo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
UtakapojisikiaHivi vijana wangu Saint Anne na ZoΓ« ni wakati gani mpenzi asie mkeo unatakiwa kumpa hela ?
Unaweza kuta ni yule mswisπππππYeleiwiiii[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Alikuwa anajifanya kuongea vingereza vingi na kujifanya sijui yuko nchi gani kumbe hapo Marangu sebuleni kwa shemaji yake baada ya kushiba machalari[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimemkumbuka yule mswisi
eeeh aisee watu wako na mambo mengi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ili aonekane yuko nje ya nchi hapo Marangu.
Alikuwa anajitafutia maujiko kwa kitu kisichochake.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umetufukuzia "muingeleza" wetu.
34Una umri gan saint anna
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Basi kajichanganya akaumbuka
Safi kabisa, kulingana na wachingiaji jinsia yako, inaonekana ya kuwa jukumu la kutoa hela ni la wanaume kwenda kwenu nyinyi wanawake/wasichana ? Kwanini katika kutoa hela jukumu lina kuwa letu sisi ila katika mengine huwa mnataka tufanane ? Hili ni kwa mujibu wa ada na desturi au mmekuta hali iko hivyo ?Utakapojisikia
Saa nane mchana. Najua huko ni usikuππππ[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hebu aje aniambie ni saa ngapi sasa hivi hapo marangu!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unajua nimecheka sana na kuita Didi.
Anadai ni kispaniola sijui kinininiiii [emoji1787][emoji1787][emoji1]naona huko aliko hata mwenyewe anajicheka
Yepi ambayo tunataka tufanane?Safi kabisa, kulingana na wachingiaji jinsia yako, inaonekana ya kuwa jukumu la kutoa hela ni la wanaume kwenda kwenu nyinyi wanawake/wasichana ? Kwanini katika kutoa hela jukumu lina kuwa letu sisi ila katika mengine huwa mnataka tufanane ? Hili ni kwa mujibu wa ada na desturi au mmekuta hali iko hivyo ?