Can you date a guy without asking him for Money?

Can you date a guy without asking him for Money?

Yeleiwiiii[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Alikuwa anajifanya kuongea vingereza vingi na kujifanya sijui yuko nchi gani kumbe hapo Marangu sebuleni kwa shemaji yake baada ya kushiba machalari[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimemkumbuka yule mswisi
Unaweza kuta ni yule mswis😂😂😂😂😂
 
Utakapojisikia
Safi kabisa, kulingana na wachingiaji jinsia yako, inaonekana ya kuwa jukumu la kutoa hela ni la wanaume kwenda kwenu nyinyi wanawake/wasichana ? Kwanini katika kutoa hela jukumu lina kuwa letu sisi ila katika mengine huwa mnataka tufanane ? Hili ni kwa mujibu wa ada na desturi au mmekuta hali iko hivyo ?
 
Unajua nimecheka sana na kuita Didi.
Anadai ni kispaniola sijui kinininiiii [emoji1787][emoji1787][emoji1]naona huko aliko hata mwenyewe anajicheka
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kichaga cha marangu hicho asituchoshe hapa.
Ila Hannah ni konyooo, sikutegemea mtoa mada kuukimbia uzi wake jamani.
 
Safi kabisa, kulingana na wachingiaji jinsia yako, inaonekana ya kuwa jukumu la kutoa hela ni la wanaume kwenda kwenu nyinyi wanawake/wasichana ? Kwanini katika kutoa hela jukumu lina kuwa letu sisi ila katika mengine huwa mnataka tufanane ? Hili ni kwa mujibu wa ada na desturi au mmekuta hali iko hivyo ?
Yepi ambayo tunataka tufanane?
 
Back
Top Bottom