Can you date a guy without asking him for Money?

Can you date a guy without asking him for Money?

I definitely can date a guy without asking for money. There is something special about a woman who genuinely dates for love than money [emoji3531]

Kumuomba mwanaume hela anae kutongoza ama ambae mpo kwenye mahusiano KWA MTAZAMO WANGU mie Binti1 :
Inaondoa heshima mwanamke kwasabu thamani yako unaifananisha na pesa. Sasa mwanaume atakupa kiasi gani kufikia thamani yako?

Mwisho wa siku unaonekana rahisi....Imagine kupewa 20k,50k, 100k a woman is way worth than that!!
Ku date kwa hela ina maana siku mwanaume akiishiwa au akiyumba hatamdate...so hapo anakua hana upendo wa kweli!!

Nadhani mwanaume pia atakua comfortable kumheshimu mwanamke asiyeomba hela .Na ikitokea ameomba ni kwasababu genuine labda amekwama kwenye jambo na anahitaji support.

Sasa mwanamke anaepiga mzinga kila siku anaweza kupata na shida akakosa msaada mkubwa kwasababu siku zote anaomba hela zisizo na msingi.

Na sijui nani ametuharibu wadada wa siku hizi.Kigezo kikubwa cha ku date mwanaume lazima awe na hela. Matokeo yake unajikuta unakosa upendo wa kweli.

Tusio omba hela tutaonekana washamba na tumechelewa mjini [emoji1][emoji1]
Words
 
Aka kadada kanaakili mkuu nahisi katakua below 25, na uyo mwenzie binti wanaakili sana. Nikiwaza kulumbembe langu linavonipiga mizinga non stop naishiwa nguvu kabisa, I wish angekua kama hawa.
Hahaha aisee.. Kwani umelazimishwa kuendelea kubaki na huyo kulumbembe
 
Sasa ninashida nimebanwa labda nacheza mchezo nimezungushwa nadaiwa kodi unategema nifanyaje?
Na baby yupo.
Ni kudraft tu maombi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niliwahi kuandika sehemu humu.. kutoa hela Mwanaume ni kipaji kama kipaji kingine aisee...

Kuna Wanaume hawaombwi eti.. yaani ni yule anajua Baby anataka nini? Ukizungumzia unataka kwenda Saloon atakuuliza atakuuliza unahitaji Shilingi ngapi? Imagine????.. Ni wale Wanaume wanasimama kwenye nafasi zao..

Unakuta Mwanaume anauwezo/ anakila kitu ila hata mia yake huipati.. Mnaweza kwenda sehemu mnaspend hata Million.. ila siyo mtoaji.. Mwingine Maisha yake ni ya kawaida sana.. ila atakupa kila utakachohitaji bila hata kumuomba..

Binafsi nami ni mzito sana kumuomba Mwanaume hela aisee.. Napenda wale Wanaume Wasiosubiri kuombwa..
 
Back
Top Bottom