Can you date a guy without asking him for Money?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na inawezekana kweli, kale kabinti kalikuwa nunda halafu kichwa kigumuu ukute ndio huyu sasa[emoji134][emoji134][emoji134]
Dunia ina mengi..
Sema msamehe bure maana anadhani wewe la 3C
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwahiyo unataka kusema mimi ndio nilikuficha[emoji134][emoji134]
Eeh, halafu tuendelee kufichana kwa sana manake mkuu keshasema urudi kazini[emoji23][emoji23]
 
Ila muda huo usiniambie habari za sex..
Nitakuambia hiyo hela unayotaka kunipa ikusanye ukapeleke mahari nyumbani uje kunichukua.
Siamini Kama wewe ni msichana/mwanamke. Nadhani ni "me" na lengo lako ni kufurahisha jukwaa tu! Mwanamke anayeweza kuzungumza unavyozungumza wewe hajazaliwa bado!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…