Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]I am up to you[emoji23][emoji23]
Kwani ulinifundisha kizungu babe?[emoji7]
Missed you love, ulifichwa na nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]I am up to you[emoji23][emoji23]
Kwani ulinifundisha kizungu babe?[emoji7]
😂😂😂😂😂😂Kwahiyo hapo ndio umemaanisha unakwenda kule kazini kwako au? Haya kazi njema.
Mbona hivo jamani😂😂😂😂😂😂Kwani hicho uliandika public au private binti comprehension?
Si ajabu ulikuwa mwalimu wake wa hicho kipengele Cha comprehensionKwani hicho uliandika public au private binti comprehension?
Sijawahi kufundishwa hilo na mwl wa kike.Si ajabu ulikuwa mwalimu wake wa hicho kipengele Cha comprehension
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]Mbona hivo jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Si ajabu ulikuwa mwalimu wake wa hicho kipengele Cha comprehension
Na wewe usikariri mkuuSijawahi kufundishwa hilo na mwl wa kike.
Usikariri mambo.
Dunia ina mengi..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na inawezekana kweli, kale kabinti kalikuwa nunda halafu kichwa kigumuu ukute ndio huyu sasa[emoji134][emoji134][emoji134]
Hivi nani anifiche zaidi yako babe[emoji8][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Missed you love, ulifichwa na nani?
Matumizi yake sasa ya hiyo chura utachoka
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi nani anifiche zaidi yako babe[emoji8]
Mtajijua na mwalimu wakoNa wewe usikariri mkuu
Unayemwambia hajui comprehension ni mwalimu mzuri wa comprehension.
Eeh, halafu tuendelee kufichana kwa sana manake mkuu keshasema urudi kazini[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwahiyo unataka kusema mimi ndio nilikuficha[emoji134][emoji134]
Wewe si ndiye uliyemwambia?Mtajijua na mwalimu wako
Mtumishi , basi yameisha.Wewe si ndiye uliyemwambia?
Siamini Kama wewe ni msichana/mwanamke. Nadhani ni "me" na lengo lako ni kufurahisha jukwaa tu! Mwanamke anayeweza kuzungumza unavyozungumza wewe hajazaliwa bado!!Ila muda huo usiniambie habari za sex..
Nitakuambia hiyo hela unayotaka kunipa ikusanye ukapeleke mahari nyumbani uje kunichukua.
Balaaakila 'she' wa JF atakana haombi ela
Wa dizaini hiyo huku nilipo hakuna kabisa yaani ni mwendo wa vizinga mpaka basi.Sometimes nnamiss Sana Cielo miger wangu
Alinambia dear kelphin kepph Wala usihangaike na Mimi..Mimi wazazi wangu wananipa Wala Sina noma,jihangaikie wew
SawaSiamini Kama wewe ni msichana/mwanamke. Nadhani ni "me" na lengo lako ni kufurahisha jukwaa tu! Mwanamke anayeweza kuzungumza unavyozungumza wewe hajazaliwa bado!!