Ten hachangii.Yaani nilipe kodi halafu ujilete kabisa bila hata aibu[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Kabisa, nae anajisikia angalau yuko kwenye mahusiano anayothaminiwa. Sasa kama humuombi huoni kama unamdumaza!!!Tuombe mitaji tukafate mizigo china Uturuki.
Yaani anaanzaje kuja kwanza!!![emoji134][emoji134][emoji134]Ten hachangii.
Atakuja kila jioni na ndizi mbili za kulia ubwabwa [emoji23][emoji23][emoji23] na rimoti atashika kubadilisha channel [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unauza? 😳Nae anaweza date na mimi with out asking pussy?
Ukirudi nakuwa NOT YOUR TYPETuombe mitaji tukafate mizigo china Uturuki.
Bora useme.Hapa unajua hata msitulaumu wanawake. Siku hizi mapenzi ya kweli hakuna wanawake wameshajua wanaume wengi siku hizi siyo waoaji wanapiga na kusepa kwahiyo nao wanahakikisha unapopiga na kusepa lazima ugharamikie.
Kumbuka mnapochezeana baadaye jamii itakuja mnyooshea kidole mwanamke kuwa yeye ndiye malaya na hafai kuolewa ila mwanaume aahh ataoa fresh tu kwahiyo kwa upande huo mwanamke anakuwa kapoteza. Sasa na yeye atajipoza wapi kama siyo kwenye pesa hiyo inaitwa "nipotezee muda nikupotezee pesa".
Huu mchezo bwana hauhitaji hasira
Tit for tat is a fair game
Kutokumuomba pesa mwanaume ni kumdumaza.Hapa unajua hata msitulaumu wanawake. Siku hizi mapenzi ya kweli hakuna wanawake wameshajua wanaume wengi siku hizi siyo waoaji wanapiga na kusepa kwahiyo nao wanahakikisha unapopiga na kusepa lazima ugharamikie.
Kumbuka mnapochezeana baadaye jamii itakuja mnyooshea kidole mwanamke kuwa yeye ndiye malaya na hafai kuolewa ila mwanaume aahh ataoa fresh tu kwahiyo kwa upande huo mwanamke anakuwa kapoteza. Sasa na yeye atajipoza wapi kama siyo kwenye pesa hiyo inaitwa "nipotezee muda nikupotezee pesa".
Huu mchezo bwana hauhitaji hasira
Tit for tat is a fair game
Nchi ninayoishi huku wao wanaita "Thief thinks everyman steals" 😀😀😀😀Safi kabisa.
Hivi vingreza unaniumiza kichwa tu na haujanisomesha bwana!!Nchi ninayoishi huku wao wanaita "Thief thinks everyman steals" 😀😀😀😀
Hivi ni lazima uwe dependent kwa mwanaume wako? Kwamba wewe kama wewe hauwezi kujisimamia? shida ya wanawake wengi hawana Financial FreedomKutokumuomba pesa mwanaume ni kumdumaza.
Hapana.Ukirudi nakuwa NOT YOUR TYPE
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haki nakugawa tena bureYaani kuhusu pesa hata uniandikie kilatini, lazima niombe. Hutaki nipe mwenyewe kabla sijakuomba.
Ungekuwa mwanaume wala usingeniuliza hili swali.Hivi ni lazima uwe dependent kwa mwanaume wako? Kwamba wewe kama wewe hauwezi kujisimamia? shida ya wanawake wengi hawana Financial Freedom
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haki nakugawa tena bure
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Hivi vingreza unaniumiza kichwa tu na haujanisomesha bwana!!
Hama hiyo nchi, rudi nyumbani kumenoga.
Hata mimi "6ki" mwanume asiejua kuwa yeye ni mwanaume, yaani "6ki" kabisaaaaa.Kimsingi mm mpaka leo 6ki mwanamke ambae ni too much dependent kwangu.... 6ki kabisaaaa