Unaninyima haki yangu ujue ? Ngoja niichukue kwa nguvu sasa.We leo hata sitaki kubishana na wewe. Tena unitue kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaninyima haki yangu ujue ? Ngoja niichukue kwa nguvu sasa.We leo hata sitaki kubishana na wewe. Tena unitue kabisa.
Kwamba hata michango Yake hujawahi kusoma?[emoji849]Kweli nilidhani ni mkaka.
Utasagana hadi lini? unayesagana naye atakupa hela?Bora nisagane kuliko niwe eti na mwanaume hata hanitunzi sasa tukioana ndio ndani mwanaume anakuwa bahili kama nini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si ndio hapo sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumwachia kila kitu Mungu ni uzembe, kwani akili alikupa za kuvukia barabara tu?
Teh tehMapenzi ya kweli yapo sana sema tuyafurahie si kutuendesha kama gari bovu tu.
Mwanaume asietoa pesa yaani hata samaki wa mapambo wana unafuu kuliko yeye.Hivi mwanaume anayetoa hela unaanzaje kumuacha?
Unaanzaje kuwa mkaidi kwake? Unaanzaje kumpimia kumpa bumunda?
Unaaanzaje kutokumsuprize na msosi wa maaana na kuona kitu kizuri kumnununulia?
Mwanaume anayetoa hela ni dhambi sana kumnunia.
Mwanaume akija au ukitembea nae kila mtu anajua huyu ni mwanaume hata yeye anajiamini kifua mbele anatembea na mkono amemshika mwanamke wake.
Mkiunda group la Wasap naomba niwe admin hahahahaa...Nimekupenda[emoji3590]
Una mtazamo Kama wangu..
Wewe nadhani tunaendana baadhi ya mambo[emoji3526]
Kwamba hata michango Yake hujawahi kusoma?[emoji849]
Ukipenda pesa hakikisha na wewe pia uwe na uwezo wa kuitafuta hyo pesa tu.Kusema kweli mimi siwezi kuwa na mwanaume asiyenipa pesa iwe kwa kutoa mwenyewe au kwa kumuomba.
Siwezi kabisaaaa kwanza advertise zangu utaniacha mwenyewe.
Wapo wawili mpka sasaMi nikajua mmeisha, kumbe bado mpo?
Na kama hutoi pesa hayo sio mapenzi ya dhati, ni mkutano wa muda mfupi tu.Mapenzi ya kweli yapo sana sema tuyafurahie si kutuendesha kama gari bovu tu.
Kwanza anawezake kutoa sauti ya base?Mwanaume asietoa pesa yaani hata samaki wa mapambo wana unafuu kuliko yeye.
Oh labda useme haukuwepo humu kwa muda mrefu.Si mingi niliyoisoma na hasa ukitilia maanani kwamba nilikuwa nimeingia mitini kipindi kirefu.
[emoji12]
Sasa ukute anayedate naye ni baharia mstaafu na sasa hivi anatype katika Uzi wa kimasihara.....Dah kuna wanaume wanabahati just imagine kuna baharia anamiliki mtoto kama huyu mwenye hekima kama hizi dah, wewe dada kama bado hujaingia kwenye serious relationship Mungu akusaidie upate mume bora mwenye positive mind kama ulokuepo nayo, wote tuseme “AMEN”
Vipi asipokupa..!!? Utaona bora usagane kama Dina alivyosema?Binafsi yangu siwezi kuomba hela kwa mwanaume/mpenzi hata niwe na shida vipi.
Mwanaume anayetegemea nitamuomba hela,atasubiri Sana..
Labda anipe tu mwenyewe.
Mimi mzimaMkiunda group la Wasap naomba niwe admin hahahahaa...
Nakusalimu Saint Anne
Ndiyo maana natafuta mchana kwa usiku.Ukipenda pesa hakikisha na wewe pia uwe na uwezo wa kuitafuta hyo pesa tu.
Life is not fair [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa ukute anayedate naye ni baharia mstaafu na sasa hivi anatype katika Uzi wa kimasihara.....
Am good...namshukuru Mungu.Mimi mzima
Hofu kwako
Hili nimelijibu huko juu comment #8.Vipi asipokupa..!!? Utaona bora usagane kama Dina alivyosema?