Can you date a guy without asking him for Money?

Can you date a guy without asking him for Money?

Ila jf hii bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna yule mwingine anajifanya amekuelewa hivyo anataka akupe milioni2 ili mspend usiku mmoja hoteli kubwa yoyote utakayochagua. Uandishi tu unasema nyokolo zako na robo ukute hapo unatumia free basics.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aisee kumbe huu mchezo ni wa wengi eenh
 
Yeleiwiiii[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Alikuwa anajifanya kuongea vingereza vingi na kujifanya sijui yuko nchi gani kumbe hapo Marangu sebuleni kwa shemaji yake baada ya kushiba machalari[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimemkumbuka yule mswisi
Aisee nmecheka kinoma na hii comment 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hahaaa nyie wanawake nawafahamu vizuri sana, mnawaomba pesa wanaume ambao hamjavutiwa nao kingono, akija mwanaume anaekuvutia, handsome ambae ukimwona papuchi inaloa, unampa papuchi ya bure kirahisii..unasahau kumuomba hela Zoë
Basi na wewe kuwa handsome ili upewe papuchi ya bure! Ninyi kuangalia sura na matako ni fresh ila sisi kuangalia pesa ni jau siyo?
 
Basi na wewe kuwa handsome ili upewe papuchi ya bure! Ninyi kuangalia sura na matako ni fresh ila sisi kuangalia pesa ni jau siyo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
Kitandani wewe hupapasi nywele? Hupapasi tako? Au unataka nywele itengenezwe vizuriii wewe uje utibue kama bata bwaawani halafu uondoke bila service.

Baba hata basikeli tu inahitaji service woooi.
Hahahahah hii kiboko 😂😂😂
 
Hahaahaaaa wanawake Mungu anawaona, mwanaume unatongoza leo, leo leo unaombwa tsh elf 20..unatoa, kesho unaombwa elf 15 unatoa, kesho kutwa unaombwa elf 30 unatoa, ukiomba papuchi kwa kumwambia aje gheto, gheto haji, papuchi hupewi, unaishia kupigwa kalenda isio na mwisho..

KWAMFANO IKIWA WEWE NI MWANAUME UNAEOMBWA OMBWA HELA
Mara nyingi huyo mdada anaekupiga kalenda huku akikuomba hela kila mara, pembeni ana mwanaume handsome, mdada anampa huyo mwanaume handsome papuchi ya bure tena kirahisii, SHIT!! Utakuta hata hela unazohonga anapewa huyo mwanaume handsome..utakuta huyo mwanaume handsome hajawahi kuombwa hata tsh 100 na huyo mrs vizinga hahahaaaaahaaa Jael
Ndio hali halisi, unamenyeka mwenzio ana slide kama powerpoint!🤣🤣🤣
 
Hahaahaaaa wanawake Mungu anawaona, mwanaume unatongoza leo, leo leo unaombwa tsh elf 20..unatoa, kesho unaombwa elf 15 unatoa, kesho kutwa unaombwa elf 30 unatoa, ukiomba papuchi kwa kumwambia aje gheto, gheto haji, papuchi hupewi, unaishia kupigwa kalenda isio na mwisho..

KWAMFANO IKIWA WEWE NI MWANAUME UNAEOMBWA OMBWA HELA
Mara nyingi huyo mdada anaekupiga kalenda huku akikuomba hela kila mara, pembeni ana mwanaume handsome, mdada anampa huyo mwanaume handsome papuchi ya bure tena kirahisii, SHIT!! Utakuta hata hela unazohonga anapewa huyo mwanaume handsome..utakuta huyo mwanaume handsome hajawahi kuombwa hata tsh 100 na huyo mrs vizinga hahahaaaaahaaa Jael
Hata wanaume mna miujiza yenu mikubwa kuliko hiyo. Nashangaa kwanini mnatulaumu sisi tu kila mtu ashinde mechi zake aisee.
 
Back
Top Bottom