Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si bora angetupa hizo links tukasome wenyewe[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si bora angetupa hizo links tukasome wenyewe[emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe hornet na Zoe mnahangaika kuandika kizungu weeHataki taabu, kwanza maisha sio magumu hivyo msimchoshe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naye alijiongeza akawa anachanganya na kiswahiliAu anaanza , "Mimi nilishasema....(kisha anapesti zake)"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]hata ya uber tu hana...
wale mapedeshee wetu huwezi wakuta humu aisee
Aiseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na wana hasira haoo, utafikiri pesa zao umewashikia wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Khaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Kumbe alikuja hadi kwako?
Anaanza "nipo mbali lakini tunaweza kuwa marafiki" hapo hajaulizwa yupo wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani mwanaume mzembe huyu si mchezo, huku kajilaza sebuleni kwa shemeji akaona maisha kayapatiaaa. Haki nimecheka hadi usingizi umeisha.
Kwani nikitafuta ni vibaya?Na kwanini utafute hela mtoto wa kike ? Wakati sisi watafutaji tupo ?
Dadek[emoji119][emoji119][emoji119][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anatusemesha vizungu ametusomesha yeye [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Anataka kunitapisha beer zangu kisa kizungu cha kugoogle waiii
mi huwa nawaambia wanaume wasio na hela wana maneno Mengi sana
Aiseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aibuuuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Cc @caniberra alimuambia aache jamani kuongea kidhungu
Ah aiseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Mimi si unajua ni mama wa kusawazisha. Nilikuwa namvutia pumzi tuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yesu wangu Mimi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hayo masaa hapo Marangu yameanza lini? Au hivyo vingereza vimekufanya ujione uko Ulaya?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli hata mimi nimeanza kuhisi hivyo aisee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aWivu tena mkuu
Usinisahau shoga[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85] na mimi jamani
Poa,za asubuhi?Mambo
Aaah mpareee kama nakuona!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kutumia hela zetu aliosema tunapenda nani? [emoji1787][emoji1787][emoji1787] We unafikili huu uzi ungeanzishwa hapa kama kuna swala la ufahari???
Hatuko after money, ni kaujinga tu mmejijaza ili kuficha uchoyo wenu. Tuko after love na tunawapenda kweli. Acheni tu uchoyo ili mahaba yadumu. Acha ubishi basi we mpare jamani, hebu toa pesa.Usiseme tusisingizie wakati ndio uhalisia. Nyie mko after money ndio maana hata uaminifu ni 0!
Hujui hata athari za hio tabia ya tamaa za pesa?
Ooooho this is a trap,niliwahi kuwa na mdada mpaka mtonyo ananipa ila nilichokuja kugundua anatoa huko analeta kwangu...it was a shame,bora mwanamke anayekuomba helaNjoo kwangu mrembo, mungu kweli anajibu kwa wakati jamani 🤣🤣🤣