Can you date a guy without asking him for Money?

Can you date a guy without asking him for Money?

Naomba No yako Dada kama Una sura nzuri na Kalio lipo ha ha haaaa
Kwanini vijana huwa mnadanganyika na miandiko ya Jf.

Jf wake kwa waume wengi hawafanani na wanayoyaandika.
Watch out, usisemeee ukuambiwa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jamani wewe Extrovert ndo nini kuniambia yote hayo?

Kisa ni hela???
Penzi bila hela limepooza kama mchuzi usiokuwa na ndimu
Nyie watoto wa kike bana toeni bure kama mlipewa bure 🤣🤣🤣 biashara gani mnaleta hizo!
 
Aaah mpareee kama nakuona!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hebu anza kupenda bwana ni fahari sana kwa mwanaume kumhudumia mwanamke wake. Ukiona kwako sio fahari ujue kuna shida mahali. Hebu anza mazoezi.
Nahudumia ila sio kila mwanamke, wengine inabidi tule kitonga tusije tukachakaza clutch!
 
Au sio msemaji mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Katika ubora wako
Chief Relation Officer huyo! 🤣🤣🤣
 
Kwani nikitafuta ni vibaya?
Ulishawahi kuwaza siku ukitangulia kufa kabla ya mkeo itakuwaje.
Kiasili hutakiwi kutafuta pesa, zaidi ya kukaa uletewe pesa basi. Ushawahi kuwaza kisu siku ukianza kufa kabla ya mumeo ?

Hilo siyo jukumu langu la kuwaza, sababu analea na kutoa rizki ni Mola muumba,na wanaweza wakaishi vizuri zaidi baada ya mimi kufa kuliko nilipokuwa hai. Tatizo huwa mnaingilia majukumu ambayo kwa vyovyote vile siyo yenu na huwezi kuyadiriki.
 
Au sio msemaji mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Katika ubora wako
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daah ulivyosema msemaji mkuu umenikumbusha mbali
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo wa kucopy na kupaste huko aliko nadhani ni usiku wa manane

Maana muda ule huku bongo ilikuwa saa 11 jioni yeye alisema ni saa5 asubuhi
Oohh kumbe ilikuwa saa tano asubuhi sasa nimeelewa. Mwanzo nilijua kamaanisha saa tano usiku ndiyo maana nikabaki najiuliza hiyo EDT mbona ni ya magharibi na siyo ya mashariki na kwa kawaida nchi zote za magharibi ziko nyuma yetu kimuda.

Lakini mbona kama aliaga usiku mwema au mimi ndiyo nilisoma vibaya
 
Can you date a guy without asking him for money? Most girls will be laughing at this question,but am sure the guys would really want to know.

As long as I can remember and as many relationships I can remember, the ladies always ask for money.It might not be direct because ladies are smart.

They might not ask you directly but by the time you realize it, you have given them 100k.

I am not sure most ladies can do without asking their guys for money. It's in the blood, you are their helper the moment you ask them out. You just have to provide for anything they want because they are now your responsibility.

Have you been in a relationship where all the girl knows is to ask you for this or that, whenever they see anything then they want it.

Sometimes I would say its the guy's fault because at first some guys when they approach a girl for the first time, they approach from the angle that they have money, that they can provide for their every need.

So when the guys approach them this way, what do you expect from the girls. Let's discuss this. What's your opinion?
never on earth, labda kama zimepanda ghafla unataka azishushe
 
  • Thanks
Reactions: amu
Wewe hornet na Zoe mnahangaika kuandika kizungu wee
Kumbe mwenzenu anapaste tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha tu wengine tunahangaika na makamusi ya oxford hapa kumbe mwenzetu anateleza tu
 
Back
Top Bottom