Can you date a guy without asking him for Money?

Can you date a guy without asking him for Money?

K
Kudumu ni ngumu maana imekuwa pussy money chase game. You spill some cash you get to her thighs. Melt that pretty round thing then you look for the next prey!

Na hii ni standard ambayo wameiset wanawake wenyewe.

Enzi zetu zile miaka ya 90 people used to be genuine. Utamtaka mwanamke itamchukua muda ila atakukubalia without doing any favours for her. Mtadumu hadi kuoana kabisa. Sio leo bro! Pesa ndio Visa!

Hata usihangaike mwenzio kakopy hicho kiinglish chote kaumbuliwa kakimbiaaa
 
Oohh kumbe ilikuwa saa tano asubuhi sasa nimeelewa. Mwanzo nilijua kamaanisha saa tano usiku ndiyo maana nikabaki najiuliza hiyo EDT mbona ni ya magharibi na siyo ya mashariki na kwa kawaida nchi zote za magharibi ziko nyuma yetu kimuda.

Lakini mbona kama aliaga usiku mwema au mimi ndiyo nilisoma vibaya
Baadaye alisema anatania
Alipo ni saa tano..
Ngoja nitakuja kule tuhakikishe.
 
Whats the point of dating kama you won't give her the pussy.

You guys are just confusing matters. Dating is natural kwa wanyama na hata binaadamu. Main point ya ku date ni kutengeneza genetic bonds kupitia sexual interaction.

Hizi pesa ni medium of exchange kibiashara. Sasa sielewi connection ya pesa na dating inakujaje. Unless otherwise pussy iwe moja ya commodities zinazothaminishwa na pesa and that being said all women with your kind of thinking should be identified as Sluts. Huu ni ujinga ambao must come to an end!

Nakuambia hii ya kudate na mwanaume hakupi pesa kwa wanaume wa kibongo haifai kabisa tuachie wazungu hata wao pia wanahonga sanaa tu,
Mtu hunioi,unakuta una mademu kibao
Yaan niwe na shida nikate kimya tu na Nina mpenzi ananikunjaga kama Tairi

Nyie wapenzi wenu wana shida sanaaa na mnakuwaga ni wachoyo tu na roho mbayaa
Mi wangu ananipa asiponipa hajisikii vizuri kabisa kama hana najua hana natumia zangu
Afu mlivyo na dharau sasa bora hata mngekuwa honest tungeelewa,wengi wenu bla bla tu ,uongo mwingi,umalaya sasa kila mtaa mna mademu

Weee niwache
 
Naye alijiongeza akawa anachanganya na kiswahili
Halafu anabadilisha na kufupisha baadhi ya maneno
Mf; believe ataandika blv
Love ataweka luv

Hii dunia ina Mambo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Umeona eenh. Jamaa atakuwa na phd in copying and pasting.

Haya mambo haya. Yaani mi kwa kweli kama kitu sijui ni sijui siwezi force kujua. Humu ndani kuna watu wanajua vitu vingi sana ila huwa wako low key. Maana kujua siyo shida ila shida ni kujifanya unajua wakati hujui matokeo yake ndiyo haya.
 
Demu kama huyu unakuta anamiliki kilimanjaro crater inayofuka ng'onda kama kambale aliyechacha. Ila tambo zake unaeza hisi ni Alicia Keys.

Au unakuta ana sura ya fiat af nyuma kama ukuta uliopigwa plasta. Hawa ndio wale cheerleaders kwenye ki group cha mademu.

Mbona unaanza kuattack tena
Umepanick au Bora tu muombwe pesa aisee unaona mlivyo na dharau
 
Back
Top Bottom