Can you date a guy without asking him for Money?

Can you date a guy without asking him for Money?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Lizarazu akakupa ustraika..
Kiungo msawazishaji..unavuruga watu hatari.

Mimi nilikuwa nacheza katikati kuweka hali vizuri...unakuta sijamaliza kuype Mara mama ananipa kazi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yale maisha hata sitaki kuyarudia kwa kweli, sema mie kipindi kile muda mwingi nilikuwa chuo yaani ilikuwa kama sisomi au sili au silali basi niko JF.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Lizarazu akakupa ustraika..
Kiungo msawazishaji..unavuruga watu hatari.

Mimi nilikuwa nacheza katikati kuweka hali vizuri...unakuta sijamaliza kuype Mara mama ananipa kazi.

Kazi imeanza kwa uzi wa daby
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yale maisha hata sitaki kuyarudia kwa kweli, sema mie kipindi kile muda mwingi nilikuwa chuo yaani ilikuwa kama sisomi au sili au silali basi niko JF.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mm napenda wadada wasioomba hela, shida ni kuwa hawa wadada wasioomba hela, wengi wao hawana chura Saint Anne kabanga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkipenda chura kubalini kutoa hela.

Kuna wadada wanachura na hawaombi hela, wengine wanayo na hawaombi.
Wengine hawana na wanaomba, wengine hawana na hawaombi.

Wewe ni muongo.
 
Back
Top Bottom