Can you date a guy without asking him for Money?

Can you date a guy without asking him for Money?

Kuna umri ukifika mwili unahitaji sex!! ni tabia ya mwili so mwili ndo unahitaji ni muhimu kwa afya ya mwili lakini sio kiungo muhimu kwenye kusababisha uwolewe... Tumeowa wanawake hata kiuno hawajui kuzungusha ila Tumeowa kwa sababu ya tabia zao na vile wanaweza kuwa makini na nyumba zao
Naomba unipe huo umuhimu wa sex kwa afya ya mwili
 
Nakuambia hii ya kudate na mwanaume hakupi pesa kwa wanaume wa kibongo haifai kabisa tuachie wazungu hata wao pia wanahonga sanaa tu,
Mtu hunioi,unakuta una mademu kibao
Yaan niwe na shida nikate kimya tu na Nina mpenzi ananikunjaga kama Tairi

Nyie wapenzi wenu wana shida sanaaa na mnakuwaga ni wachoyo tu na roho mbayaa
Mi wangu ananipa asiponipa hajisikii vizuri kabisa kama hana najua hana natumia zangu
Afu mlivyo na dharau sasa bora hata mngekuwa honest tungeelewa,wengi wenu bla bla tu ,uongo mwingi,umalaya sasa kila mtaa mna mademu

Weee niwache
Most girls arent even looking for Love but Help...
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jamani wewe Extrovert ndo nini kuniambia yote hayo?

Kisa ni hela???
Penzi bila hela limepooza kama mchuzi usiokuwa na ndimu
Sema siku hizi kila demu hujiita video vixen ndo akitingisha tu tako vyake hivi basi anakuitisha umpe malipo
 
Back
Top Bottom