Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba unipe huo umuhimu wa sex kwa afya ya mwiliKuna umri ukifika mwili unahitaji sex!! ni tabia ya mwili so mwili ndo unahitaji ni muhimu kwa afya ya mwili lakini sio kiungo muhimu kwenye kusababisha uwolewe... Tumeowa wanawake hata kiuno hawajui kuzungusha ila Tumeowa kwa sababu ya tabia zao na vile wanaweza kuwa makini na nyumba zao
Asante pia,,Akhsante [emoji120]
Ndiyo
Nilishaolewa mdogo wanguAsante pia,,
Nilifikiri hujaolewa!!
Hongera uwe na ndoa njema ya kumpendeza Mungu.Nilishaolewa mdogo wangu
AkhsanteHongera uwe na ndoa njema ya kumpendeza Mungu.
Hahahaha, hii kauli inaingana na post yako huko juu unasema unaishi na wazaziNilishaolewa mdogo wangu
Ikipingana kuna tatizo?Hahahaha, hii kauli inaingana na post yako huko juu unasema unaishi na wazazi
Hahahaha, ndio raha ya JF hii MkuuIkipingana kuna tatizo?
Yah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaha, ndio raha ya JF hii Mkuu
HahahahaYah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna na Tuttyfruity. Huyu kuna siku alinifanya nicheke hadi nikagaragara chini.
Poverty has made girls think that they need to be paid to be loved.Haiwezekani kwa hiyo nikuletee kwa gharama zangu. No way
Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
Some of these girls like Miss chaga are not even poor.....they have esteem issues.they are looking for validation in the wrong placesOmba hela usife kwa njaa kisa heshima .. utaumbuka Mtaani
Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
Most girls arent even looking for Love but Help...Nakuambia hii ya kudate na mwanaume hakupi pesa kwa wanaume wa kibongo haifai kabisa tuachie wazungu hata wao pia wanahonga sanaa tu,
Mtu hunioi,unakuta una mademu kibao
Yaan niwe na shida nikate kimya tu na Nina mpenzi ananikunjaga kama Tairi
Nyie wapenzi wenu wana shida sanaaa na mnakuwaga ni wachoyo tu na roho mbayaa
Mi wangu ananipa asiponipa hajisikii vizuri kabisa kama hana najua hana natumia zangu
Afu mlivyo na dharau sasa bora hata mngekuwa honest tungeelewa,wengi wenu bla bla tu ,uongo mwingi,umalaya sasa kila mtaa mna mademu
Weee niwache
Hahahaha, we unanifaaLabda anipe mwenyewe..kuombaga siwezi.[emoji41]
No wonder kimboka is overloadedUjinga tu badala watafute pesa, wanamchosha tu Maghufuli wa watu kuhangaika kufikia uchumi wa kati.
Sema siku hizi kila demu hujiita video vixen ndo akitingisha tu tako vyake hivi basi anakuitisha umpe malipo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jamani wewe Extrovert ndo nini kuniambia yote hayo?
Kisa ni hela???
Penzi bila hela limepooza kama mchuzi usiokuwa na ndimu