Sio kweliPole sana. Tafuta pesa kwanza na umri ukiongezeka hivyo vyote havitakusumbua.
Huyo demu Niko nae ghetto namdinya kijana kaa kwa kutulia......Naandika kwa machungu siku hii ya Christmas mpenzi wangu simu yake haipatikani tokea asubuhi!,moyo umekuwa mzito,pumzi Kama zinakata zinarudi!.. hicho kidada cha voda kinachoniambia simu yake haipatikani nakiona Kama kichawi tu!π₯
Inauma asikwambie mtu kila siku natendwa mimi tu! Kweli dunia imevaa sketi.π¬
Naandika kwa machungu siku hii ya Christmas mpenzi wangu simu yake haipatikani tokea asubuhi!,moyo umekuwa mzito,pumzi Kama zinakata zinarudi!.. hicho kidada cha voda kinachoniambia simu yake haipatikani nakiona Kama kichawi tu!π₯
Inauma asikwambie mtu kila siku natendwa mimi tu! Kweli dunia imevaa sketi.π¬
Naandika kwa machungu siku hii ya Christmas mpenzi wangu simu yake haipatikani tokea asubuhi!,moyo umekuwa mzito,pumzi Kama zinakata zinarudi!.. hicho kidada cha voda kinachoniambia simu yake haipatikani nakiona Kama kichawi tu!π₯
Inauma asikwambie mtu kila siku natendwa mimi tu! Kweli dunia imevaa sketi.π¬
Sema ukweli basi. Nina experience na haya makitu. Siwezi kuhangaishwa na mwanamke. Eti kwamba nitaumia yuko kupigwa na mwingine. Huyo nikihisi tu kuna shida mahala,kama hivyo amezima simu kwa siku muhimu,wala hanipi shida ni kumpiga chini tu. Nilishapendaga zamani sio sasa. Ndio maana nimesema umri ukiongezekaSio kweli
Kwahiyo wewe ndio wakwanza kupenda?Komenti zenu ziwe zakutia moyo basi nyie mnakandia tu hivi mnajua kupenda nyinyi..[emoji26]