Can you imagine hapatikani toka asubuhi!

Can you imagine hapatikani toka asubuhi!

Naandika kwa machungu siku hii ya Christmas mpenzi wangu simu yake haipatikani tokea asubuhi!,moyo umekuwa mzito,pumzi Kama zinakata zinarudi!.. hicho kidada cha voda kinachoniambia simu yake haipatikani nakiona Kama kichawi tu!😥

Inauma asikwambie mtu kila siku natendwa mimi tu! Kweli dunia imevaa sketi.😬

Mpandishe cheo awe Bi Mkubwa
 
Naandika kwa machungu siku hii ya Christmas mpenzi wangu simu yake haipatikani tokea asubuhi!,moyo umekuwa mzito,pumzi Kama zinakata zinarudi!.. hicho kidada cha voda kinachoniambia simu yake haipatikani nakiona Kama kichawi tu![emoji26]

Inauma asikwambie mtu kila siku natendwa mimi tu! Kweli dunia imevaa sketi.[emoji51]
Kama dunia imevaa sketi ifunue uidinye.
 
Broo siku za sikukuuu ni kwa ajiri ya wenye pesa tu (big boys) ..... Nyie walalahoi wenzangu subilieni siku zenu
 
Mimi ndo maana mpnz yamenishinda mzee karibu tucheze game la pub g halina stress full raha mixer mnapiga story na wana hayo mambo ya mademu na haija hela ni kujitia kidole na kunusa mpnz bila pesa hayaendi zaidi zaidi utateseka tu


Sent from my EML-L29 using JamiiForums mobile app
 
Kwamba kuna jamaa yupo kamkunja ile style ya m'meeeeh! kagoma kwenda linampelekea moto huku linachapa vibao makalio yake yale makubwa, mbaya zaidi linaweza kua linapiga na dole lake lililokomaa kuleee kwenye.. [emoji22]
 
IMG-20211225-WA0001.jpg
 
Pole sana mkuu, Hizi siku za mwisho wa mwaka vijana wengi sana hupata maumivu
 
Back
Top Bottom