Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
[emoji23] ushindwe kuroga ujue wap alipo ndio utaeza niroga mimi? Vp bado apatikani?Acha vurugu Mkuu takuroga bure maana sahivi sielewi hapa nini chakufanya!.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] ushindwe kuroga ujue wap alipo ndio utaeza niroga mimi? Vp bado apatikani?Acha vurugu Mkuu takuroga bure maana sahivi sielewi hapa nini chakufanya!.
Nyie sio msaada mnamaneno makali Sana mtu anaweza kunywa sumu ya panya!,waafrika tabu Sana[emoji22]
[emoji23][emoji23][emoji23] we jamaaJamaa muda huu limemkunja halafu linamfinyanga finyanga huku linamuambia nitukanie KENZY
Pole sana,... naelewa situation unayopitia.Usimlaumu sana mkuu, amefikia sana hadi kufikia maamuzi ya kuspend na mdau badala ya wewe.
Umeunaliza mwendo vita umeipiganaNaandika kwa machungu siku hii ya Christmas mpenzi wangu simu yake haipatikani tokea asubuhi!,moyo umekuwa mzito,pumzi Kama zinakata zinarudi!.. hicho kidada cha voda kinachoniambia simu yake haipatikani nakiona Kama kichawi tu![emoji26]
Inauma asikwambie mtu kila siku natendwa mimi tu! Kweli dunia imevaa sketi.[emoji51]
tena ni mini skirtAlafu sketi ina mpasuo😀😀
Leta mrejesho [emoji2]Nyanya chungu wewe!.
[emoji2]Acha bangi.