Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1] tulia upone ushapigwa na kitu kizito.Nyie sio msaada mnamaneno makali Sana mtu anaweza kunywa sumu ya panya!,waafrika tabu Sana[emoji22]
Yuko huku...Naandika kwa machungu siku hii ya Christmas mpenzi wangu simu yake haipatikani tokea asubuhi!,moyo umekuwa mzito,pumzi Kama zinakata zinarudi!.. hicho kidada cha voda kinachoniambia simu yake haipatikani nakiona Kama kichawi tu!😥
Inauma asikwambie mtu kila siku natendwa mimi tu! Kweli dunia imevaa sketi.😬
Akija atakupa sababu nyepesi na sex juu utakua ushasameheAcha vurugu Mkuu takuroga bure maana sahivi sielewi hapa nini chakufanya!.
Kaporwa simu wapi? Huyu dogo katoa matumizi ya xmass? Sasa anataka nini akisaidiwa kutoa?Haya mambo yana wenyewe, lkn pole asee.......juz tu hapa ulikuwa unamuwish "basdei".
lkn huenda kaporwa smu, usmuwazie baya. Shusha pumz kunywa maji ya baridi, kaa nje pgwa na upepo asilia.
Alafu sketi ina mpasuo[emoji3][emoji3]
Unatombewa mkuu[/QUOTE
Yaani mpaka muda huu bado hakuna mawasiliano,,pole sana .Halafu lijamaa linalo msherehesha halina huruma masaa 10 halijamuachia tu.Acha vurugu Mkuu takuroga bure maana sahivi sielewi hapa nini chakufanya!.
Masufuria?Mahusiano ya kimapenz siyo lazima sema ulazima unakuja pale jomba anataka kusugua