Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Tanzania vipi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka mtakapo acha kupokea misaada, kwa sasa hamna ubavy huoTanzania vipi
Putin na habari ingine hamna nchi yeyote ambayo imesema itamkamata Putin usijiliwaze watu wana dili na Gaidi Netanyahu.Putin au Netanyahu akikamatwa popote duniani, vita vya tatu vya duniania vitalipuka hapo hapo 🐒
Labda Putin ila netanyahu Hana huo uwezo kwanza uwepo wake wenyewe unategemea hao waliomshitakiPutin au Netanyahu akikamatwa popote duniani, vita vya tatu vya duniania vitalipuka hapo hapo 🐒
Putin au Netanyahu akikamatwa popote duniani vita vya tatu vya duniania vitaibuka on the spot.Putin na habari ingine hamna nchi yeyote ambayo imesema itamkamata Putin usijiliwaze watu wana dili na Gaidi Netanyahu.
Rais Joe Biden mnyonge amesema hatua hiyo ya kuchukiza dunia ni ushenzi 🤣Labda Putin ila netanyahu Hana huo uwezo kwanza uwepo wake wenyewe unategemea hao waliomshitaki
Labda putin lakin Netanyahu hakutakuwa na chochote labda vikwazo kutoka US kwa hiyo nchi si zaidi ya hapoPutin au Netanyahu akikamatwa popote duniani, vita vya tatu vya duniania vitalipuka hapo hapo 🐒
Unafikiri Biden anaweza pigana na Canada kisa netanyahu?Rais Joe Biden mnyonge amesema hatua hiyo ni ushenzi 🤣
Itakuwa wamesha mchoka mpaka Canada wamesema hivyo !!! Duhh!! Canada siwashirika wa USA Hao what went wrong!!?
Tz Jifunzeni kupinda nondo kwanza na kuvunja tufali kwa ngumiTanzania vipi
Hamnazo ww wewe unaweza kumkamata mjumbe wa MUNGU YEHOVA, YESU uchunguzwe leta vyanzo vya uhakikaWanaukumbi.
Nchi 8—Canada, Ufaransa, Uhispania, Ubelgiji, Ireland, Italia, Uholanzi na Uswizi—zimetangaza kumkamata Netanyahu iwapo ataingia katika eneo lao.
@nadia_bilbassy aliuliza Ikulu kuhusu ICC na sheria za kimataifa, wakajibu: "Tunakataa na hakika tuna maoni tofauti kuhusu hilo"
==============
8 countries—Canada, France, Spain, Belgium, Ireland, Italy, the Netherlands, and Switzerland—have announced they will arrest Netanyahu if he enters their territory.
@nadia_bilbassy asked the White House about the ICC & international law, they responded with: “We reject & we certainly have different opinions on that”
Let's wait andLabda putin lakin Netanyahu hakutakuwa na chochote labda vikwazo kutoka US kwa hiyo nchi si zaidi ya hapo
Yahudi la Bushosa linatoa tamko wakati Netanyahu mwenyewe analamika kaonewa😂Hakuna mwenye ubavu wa kumkamata,