Canada na Uswizi zatangaza kumtia mbaroni Benjamin Netanyahu akigusa ardhi yao

israel hata ibaki peke yake na dunia nzima iwe kinyume nayo itasimama imara
Anayeitetea Israel ni USA,UK na Germany and not otherwise.
Na ukae ujue kama USA isingekaa ikamkingia kifua basi Israel ilikua inaangamia peupeee.
Hadi raia wa Israel wameanza kuchukiwa huko nje.
Ulilisikia sakata la Uholanzi kuhusu mashabiki wa mpira!?
 
Putin au Netanyahu akikamatwa popote duniani, vita vya tatu vya duniania vitalipuka hapo hapo 🐒
Netanyahu hana ubavu wa kuanzisha vita ya tatu ya dunia.
Ili hiyo vita itokee ni lazima USA ndio apigane na USA hawezi ku risk Hilo.

Ila Kwa Putin nakubali hakuna taifa litathubutu kumkamata.
Maana hakuna taifa lisilojua nguvu ya Russia mzee.
 
Ametamgaza kuongeza mashambulizi mapyaa usiku huuu naombaaa utujuze keshoo asbh.....hahahaaaa shikamooo benkqnyiii
 
msisahauuu kutuambia keshoooo walipelekwa kukaaa na mabikira 72 pls mkikaa kimya ntaweka asbh vid na idadi ya fovi
 
Unajiona umeongea la maana kumbe ndio ujue kua hujui kitu yaani ila tuna heshimu mawazo yako
 
Ole wenu mmkamate ndio mtajua Israel ni taifa teule
 
Hata South Africa walisemaga Putin akitia maguu bushi kwao wanaruka naye swali Je uwezo huo walikua nao ? Au ndio mambo ya binadamu mwenye kinywa
 
Yaani kikundi cha kigaidi kishambulie Israel halafu Israel ikiadhibu kikundi hicho ndio iwe uhalifu wa kivita kiasi cha kupelekea Netanyahu akamatwe? Netanyahu sio Slobodan Millosevich wala Charles Taylor na kina Kony
Hati ishatolewa mkuu hutaki 😂
 
Wazungu ua watu wote lakini sio watoto kitendo cha yeye kupiga ile hospital ya kujifungulia kiliwakera sana Wazungu ndio maana Rais wa Ufaransa alimwambia wazi wazi hawezi kupeleka siraha akawapige watoto GAZA,Netanyahu hii kauli ilimkera sana hiyo mahakama ataruka ruka ila watamtia kwenye nyavu tu.
 
Juzi hukuwaona Waarabu wakiwapiga Wa Israel huko Ulaya? Uislam ni Janga, Siku wakiamka na Takbir Allah akbar wanajilipua, atamtafuta Neta nyau haraka aje amsaidie.
 
Wanataka kuwafurahisha waarabu, watakuja kujuta na huo uhamiaji holela walioruhusu. Time Will Tell
Hahaha hiyo specie huwa hawana shukran, angalia Europe walivyosumbua. siku hizi wameanza kuelewa huwezi kudanganywa kujilipua, halafu anayekudanganya yeye anakula raha duniani, hataki kwenda kupata 72.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…