Canada na Uswizi zatangaza kumtia mbaroni Benjamin Netanyahu akigusa ardhi yao

Canada na Uswizi zatangaza kumtia mbaroni Benjamin Netanyahu akigusa ardhi yao

Wanaukumbi.

Nchi 8—Canada, Ufaransa, Uhispania, Ubelgiji, Ireland, Italia, Uholanzi na Uswizi—zimetangaza kumkamata Netanyahu iwapo ataingia katika eneo lao.

Nadia Bilbassy aliuliza Ikulu kuhusu ICC na sheria za kimataifa, wakajibu: "Tunakataa na hakika tuna maoni tofauti kuhusu hilo"

Pia, soma: Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) yatangaza hati za kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu

==============

8 countries—Canada, France, Spain, Belgium, Ireland, Italy, the Netherlands, and Switzerland—have announced they will arrest Netanyahu if he enters their territory.

@nadia_bilbassy asked the White House about the ICC & international law, they responded with: “We reject & we certainly have different opinions on that”

View attachment 3158681
ISRAELI TAIFA TEULE KWA WATANGANYIKA TU WATU WALIO NYUMA KWA KILA KITU...HAPO KENYA HUWEZI SIKIA WAKISEMANGA HUU UPUUZI
 
Umeona sasa nchi za makafiri zilivyo na akili?

Wewe si umekariri uislamu tu...
Uislam umeingiaje hapa? JF kwako ni uwanja wa kupambana na Uislam nakushauri nenda jukwaa la dini katukane huko Uislam huu uzi ni Gaidi Netanyahu kila nchi imemwambia hawataki kumuona watamkamata.
 
akafanye nini kwenye taifa lililodhaifu na lilioshindwa kama uingereza 🐒
Uingereza, Ufaransa, Canada na mataifa kadhaa yaliyotangaza kumkamata Netanyahu ni mataifa makubwa kiuchumi yapo G7 na G20 halafu wewe unayaita ni mataida dhaifu kweli mkuu?

Tuwe tu wakweli kitendo cha arrest warrant kutolewa kwa kiongozi yeyote maarufu ni fedheha kubwa na inamuathiri sana kiongozi husika hata kama kukamatwa kwake ni ngumu.
 
Losers clutching at straws.

Habari kama hizi ndo zinawapa afueni ya muda mfupi halafu baada ya hapo ni back to reality.

And the reality is, Israel is crushing Hamas to smithereens.

Na Netanyahu kamwe hatokamatwa na mtu yeyote yule.

Kama kweli wana ujasiri wa kumkamata, basi waende alipo na wakamkamate.

Kusema sijui akikanyaga wapi ndo atakamatwa, ni admission kuwa hakuna mwenye ubavu wa kumkamata.

Wewe mwenye ‘mamlaka’ ya kisheria ukijua mhalifu yupo sehemu flani, utaenda kumkamata.

Siyo kusubiri eti atoke ndo ujaribu kumkamata.
Kama ni hivyo basi wangeenda pia kumkamata Bashir
 
Uingereza, Ufaransa, Canada na mataifa kadhaa yaliyotangaza kumkamata Netanyahu ni mataifa makubwa kiuchumi yapo G7 na G20 halafu wewe unayaita ni mataida dhaifu kweli mkuu?

Tuwe tu wakweli kitendo cha arrest warrant kutolewa kwa kiongozi yeyote maarufu ni fedheha kubwa na inamuathiri sana kiongozi husika hata kama kukamatwa kwake ni ngumu.
Ni fedheha,
Lakini ni ubabe wa kiwango cha juu sana, pale anastahili kukamatwa anakatiza na kwenda kuchangamana na Taifa jingine nawe ukitazama kwenye TV tu. Inaumaa sana aise 🐒
 
Putin au Netanyahu akikamatwa popote duniani, vita vya tatu vya duniania vitalipuka hapo hapo 🐒
Puttin hana kosa, netanyahu ndio wakukamatwa.

Na hapo nna mashaka na mfaransa na canada kama wataonyesha ushirikiano, hao wengine wameonyesha nia.
 
Inawezekana wengi hawajui au wanapuuzia na kujitoa ufahamu. Ni kwamba Mungu ana jambo lake na Israel 🇮🇱 . Kila unabii uliotabiriwa kuhusu taifa hilo, ambao bado haujatimia, basi ni LAZIMA uje kutimia, haijalishi itachukua muda gani au watakutana na vikwazo vya namna gani?
Acha ujinga, kwahiyo Netanyahu akifanya genocide hawezi kamatwa kisa ni taifa teule? Kama Yesu tu alikamatwa na kuuwawa kikatili na hao hao wayaudi ndio sembuse Netanyahu asikamatwe?
Hata kama dunia nzima ikiamua kuwatenga, kile ambacho Mungu alisema kuhusu wao kupitia Torati ya Musa na Manabii lazima kitakuja kutimia tu.
Unabii upi? Taifa teule ni kila mtu anayemuamini Mungu sio tena nchi moja.
 
Sio tu hakuna nchi yenye uwezo wakumkata hata akitembelea maskani kwako hapo Kitunda bado huwezi kumkamata.
 
Puttin hana kosa, netanyahu ndio wakukamatwa.

Na hapo nna mashaka na mfaransa na canada kama wataonyesha ushirikiano, hao wengine wameonyesha nia.
V.Putin ana arrest warrant ya ICC pia gentleman, dhidi ya mauajia yanayoendela huko Ukraine,

hawanaga uhakika hao.

nimeshangaa tu,
Tony Blair na Goerg Bush wanakula maisha licha ya mauaji ya watu wasio na hatia Iraq :pulpTRAVOLTA:
 
Wanaukumbi.

Nchi 8—Canada, Ufaransa, Uhispania, Ubelgiji, Ireland, Italia, Uholanzi na Uswizi—zimetangaza kumkamata Netanyahu iwapo ataingia katika eneo lao.

Nadia Bilbassy aliuliza Ikulu kuhusu ICC na sheria za kimataifa, wakajibu: "Tunakataa na hakika tuna maoni tofauti kuhusu hilo"

Pia, soma: Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) yatangaza hati za kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu

==============

8 countries—Canada, France, Spain, Belgium, Ireland, Italy, the Netherlands, and Switzerland—have announced they will arrest Netanyahu if he enters their territory.

@nadia_bilbassy asked the White House about the ICC & international law, they responded with: “We reject & we certainly have different opinions on that”

View attachment 3158681
Hawatafanua hivyo abadani!
 
V.Putin ana arrest warrant ya ICC pia gentleman, dhidi ya mauajia yanayoendela huko Ukraine,

hawanaga uhakika hao.9

nimeshangaa tu,
Tony Blair na Goerg Bush wanakula maisha licha ya mauaji ya watu wasio na hatia Iraq :pulpTRAVOLTA:

Kukamatwa kwa puttin kama sio shinikizo la maadui wake, sijui!! Ngoja tuone.... maana hao hao maadui wa puttin wako kimya kama hakuna kinachoendelea gaza.
 
Kukamatwa kwa puttin kama sio shinikizo la maadui wake, sijui!! Ngoja tuone.... maana hao hao maadui wa puttin wako kimya kama hakuna kinachoendelea gaza.
hiyo ndiyo vita sasa gentleman,
kwamba hujui nani rafiki nani adui..

ila hii ya kutangaza sijui utafanya nini, ni uoga na kuufyata mkia kwa ICC 🐒
 
Nikikwambia wewe ni muongo unakataa.
Kama unazungumzia Uholanzi wale sio waarabu ni waholanzi.
Na waisrael ndio walianza,video zilirekodiwa wayahudi wakipiga watu na minyororo na wakiwapiga madereva taksi.
Haikutosha uwanjani kipindi wenzako wako kwenye moment of silent kuhusu waanga wa mafuriko Spain wao wakawa wanaimba nyimbo za kuwatusi waanga.
Haikutosha wamefika mitaa ya watu wakapanda juu ya nyumba na kuanza kuchana bendera za Palestina.
Waholanzi waliwachoka wakaanza kuwapiga.
Hili lilipelekea Ufaransa Ile mechi ya EURO iweke ulinzi mkali dhidi ya mashabiki wa Israel Ile mechi ya France vs Israel.
Na ikaruhusu mashabiki wachache sana na iliweka takriban askari 500 Kila upande.
UNAMDANGANYA NANI WEWE KIJANA!?
UDINI HAUTAKUSAIDIA KITU,DUNIA NZIMA ILIONA NAMNA WAYAHUDI WALIVYO WAKOROFI.
NA HAWAKUFANYA FUJO UHOLANZI TU HATA UGIRIKI WALIFANYA FUJO ZILE ZILE.
AYA LETE UONGO MWINGINE.
LEO NINA WEWE HADI UACHE KUONGOPA.
Yale ni magaidi ya Kiarabu, hata huwezi kufikiri kidogo, yani Nani awakumbuke wahanga? Wahanga ni kina nani, wale waliovamia taifa la Israel October 7, wakaua na kuteka wanawake ,vijana, wazee na watoto? Au wahanga gani unozungumziwa walikuwa wanakumbukwa? HAMAS wamekuwa WAHANGA tangu lini?

Vita walianzisha wao walivamia waliteka, wakasema walipofanya ule uvamizi walikuwa wamejiandaa kwa vita ya muda mrefu, na wanaendelea kufanya uharibifu, halafu unaandika na ku bold maandishi kwamba HAMAS = WAISLAMU =MAGAIDI kwamba ni WAHANGA?

Mkajadiliane upya huko msikitini mje na hoja iliyoshiba nitakuelewa.
 
USA kasema Thubutuu..!! Mtu amkamate Netanyahu.😆😆😁
US anauza silaha na kuiba rasilimali mashariki ya kati ndio maana hawezi zuia ukizingatia Israel ni km mwanae vile,km anavyofanua Ukreini kule anataka gas+mafuta na madini ya Russia ndio maana anapitia Ukreini,US ndio guidi namba 1 wa dunia hii sema hakuna kiongozi atasema haya
 
Taifa letu zuri la Tanzania kamwe lisijiingize kwenye mkumbo wa kuichukia Israel. Mheshimiwa Netanyahu akitaka kuja kuitembelea aje tu, hakuna kenge yeyote atakayemkamata katika ardhi yetu
Akikanya Tanzania tunampeleka The Hague akanyee ndoo
 
Akikanya Tanzania tunampeleka The Hague akanyee ndoo
hatuko tayari kumkamata mheshimiwa huyo atakapokanyaga ardhi yetu, na hatufungamani na siasa za upande wowote duniani na hakuna wa kutushurutisha tumkamate
 
Yale ni magaidi ya Kiarabu, hata huwezi kufikiri kidogo, yani Nani awakumbuke wahanga? Wahanga ni kina nani, wale waliovamia taifa la Israel October 7, wakaua na kuteka wanawake ,vijana, wazee na watoto? Au wahanga gani unozungumziwa walikuwa wanakumbukwa? HAMAS wamekuwa WAHANGA tangu lini?

Vita walianzisha wao walivamia waliteka, wakasema walipofanya ule uvamizi walikuwa wamejiandaa kwa vita ya muda mrefu, na wanaendelea kufanya uharibifu, halafu unaandika na ku bold maandishi kwamba HAMAS = WAISLAMU =MAGAIDI kwamba ni WAHANGA?

Mkajadiliane upya huko msikitini mje na hoja iliyoshiba nitakuelewa.
Punguza UFALA BASI HATA KIDOGO.
Kuongea uongo hakuzuii kuwa Israel ndio mwenye makosa.
*Kabla ya Oktoba 7 kutokea Israel mnamo March kuelekea August 23 walivamia Khani Younis na kuharibu mashamba na kukanyaga watu na vifaru,je huo sio ugaidi!?
*Israel Agosti 2023 ilitoa idhini ya kuvunja makazi ya ukimbizi ya Jenin ili waongeze makazi ya walowezi wa kizayuni,je huo sio ugaidi!?
*Israel imekua ikishutumiwa na jumuiya za kimataifa ikiwemo Amnesty international kuwa inamwaga maji ya sumu na kupuliza sumu kwenye mashamba ya Gaza,je huo sio ugaidi!?
*Mkristo mwenzako Sherin Abu Akleh Palestinian-American alipigwa risasi na SNIPER kimakusudi akiwa anatangaza habari 2021,je huo sio UGAIDI!?
Vikao vilikalika pale CAIRO mataifa ya Ulaya takriban yote yalienda na mwanzo Hadi chanzo Cha Oktoba 7 kikajadiliwa.
Conclusion ilitoka kama sio Israel kufanya hizo vurugu nilizokutajia hapo juu basi Hamas wasingevamia Oktoba 7.
Inamaana wewe na Spain,Belgium na Brazil waliovunja uhusiano wa kidiplomasia na Israel wewe una akili zaidi!?
UNGA mataifa 124 yamepiga kura dhidi ya Israel na kusapoti uhuru wa Palestina inamaana wewe una akili kuliko wao!??

WEWE NI HASARA KWENU HUNA HATA AKILI YA TAFAKURI

 
Punguza UFALA BASI HATA KIDOGO.
Kuongea uongo hakuzuii kuwa Israel ndio mwenye makosa.
*Kabla ya Oktoba 7 kutokea Israel mnamo March kuelekea August 23 walivamia Khani Younis na kuharibu mashamba na kukanyaga watu na vifaru,je huo sio ugaidi!?
*Israel Agosti 2023 ilitoa idhini ya kuvunja makazi ya ukimbizi ya Jenin ili waongeze makazi ya walowezi wa kizayuni,je huo sio ugaidi!?
*Israel imekua ikishutumiwa na jumuiya za kimataifa ikiwemo Amnesty international kuwa inamwaga maji ya sumu na kupuliza sumu kwenye mashamba ya Gaza,je huo sio ugaidi!?
*Mkristo mwenzako Sherin Abu Akleh Palestinian-American alipigwa risasi na SNIPER kimakusudi akiwa anatangaza habari 2021,je huo sio UGAIDI!?
Vikao vilikalika pale CAIRO mataifa ya Ulaya takriban yote yalienda na mwanzo Hadi chanzo Cha Oktoba 7 kikajadiliwa.
Conclusion ilitoka kama sio Israel kufanya hizo vurugu nilizokutajia hapo juu basi Hamas wasingevamia Oktoba 7.
Inamaana wewe na Spain,Belgium na Brazil waliovunja uhusiano wa kidiplomasia na Israel wewe una akili zaidi!?
UNGA mataifa 124 yamepiga kura dhidi ya Israel na kusapoti uhuru wa Palestina inamaana wewe una akili kuliko wao!??

WEWE NI HASARA KWENU HUNA HATA AKILI YA TAFAKURI
Wewe utakuwa mgonjwa au ndiyo taarifa ya msikitini hiyo? Yani HAMAS nao ni Israel? Walioteka na kuua 10/7 walikuwa wa Israel? Israel makosa yao yako wapi kuyaua MAGAIDI ya KIISLAMU? Au nawe Gaidi nini?

Yani mfano Jambazi likuvamie, halafu liue mkeo/mmeo, na watoto, na wazazi, halafu likasema limeua lenyewe, kisha ukaanza kulitandika ,na likaendelea kutema shombo,nawe ukaendelea kulitandika. Ni wapi wewe unakuwa mkosaji?
Yani HAMAS walipoteka, wazee, wanawake na watoto MLISHANGILIA DUNIA nzima, mkipiga NGUMI hewani na kusema Takbir Allah akibar! Leo yanapigwa mnaanza kusema mara sumu, mara wanawake na watoto, lakini mmejitoa ufahamu kutaka kujua nani alianza uchokozi.

Leo mnaushahidi wa kila GAIDI lililo uwawa, Vipi Nasrallah huna ushahidi aliuwawa vipi na waisrael, au yeye ilikuwa poa tu?

Hahaha hao waliovunja uhusiano na Israel watarudi wenyewe kuomba uhusiano na Israel, Mahusiano yanavunjika kila siku wewe bado unawaza mahusiano?

HAMAS walifukuzwa juzi na waarabu wenzao, wamehamia UTURUKI, utasema wale waarabu nao wajinga?

Hii double standard mnafundishwa msikiti gani? GAIDI halitetewi, nikama JAMBAZI popote likionekana piga moto.

Nimeamini wewe mwehu, au daruweshi nini?
 
Back
Top Bottom