Canada yapiga marufuku uhamiaji holela

Canada yapiga marufuku uhamiaji holela

Heading.jpg

Wacanada wameanza kuamka.
 
Aisee kumbe waislamu wanachukiwa hivi? Ukisoma comment nyingi ni chuki za waislamu na uislamu! Hii nchi tusahau kuendelea aisee
 
Ili sakata la uhamiaji linaimpact kubwa sana especially kwa Africa. Uko nyuma waafrika wenye ufahamu wa mambo walikuwa wakikimbilia ulaya na marekani kutafuta unafuu wa maisha. Sasa hiyo milango inafungwa, hali inayofanya kundi ilo libaki afrika kwa kwa shurti.
Sasa, tawala za Africa ni either zibadilike, rasilimali ziwe za nchi ama zijenge prisons kubwa. Kuna kivumbi kinakuja Africa.
Kwani ina maana wahamiaji wamezuiliwa kabisa, ama vigezo vimebanwa?
 
Watu wanashindwa kukaa katika nchi zao wazijeng wanakimbilia nchi za wenzao zilizojengwa.
 
Watu wanashindwa kukaa katika nchi zao wazijeng wanakimbilia nchi za wenzao zilizojengwa.
Hilo halina tatizo tatizo ni kwamba Mtu ahamie Nchini kwako halafu auchukie Utamaduni wako,halafu awe anataka kukuletea Utamaduni wake uliyemfelisha yeye huko alikotoka na kumfanya awe mtu mwenye hasira.
png-clipart-islam-muslim-mecca-jihadism-islam-face-hat.png
 
Tatizo la uhamiaji duniani kote linaletwa na wavaa makobasi! Hii mijamaa migaidi!
Na wameshaenea na hadi uongozi wanapata kwenye hizo nchi na kuinfluence hadi uchaguzi, just imagine sadiq khan anashinda umeya wa london mwaka wa tano karibia mfululizo , rashida tlaib na ilham omar wameingia kwenye congress marekani, na wengine wengi europe, ajabu wanaoumia ni wakristo wa tanzania ,huku wazungu wakipenda kuishi nao na kuwasminj hadi kuwapa uongozi wa juu nchini kwao
 
download.jpeg-1.jpg

Mtu aje kwangu halafu anizuie nisinywe Konyagi hivi itawezekana kweli?
 
Wahamiaji wengi wa huko ni raia kutoka mexico na Brazil
MLeta uzi kajawa na chuki tu, hajui hii inamuathiri hadi yeye na mtu yoyote ambaye si raia wa canada,including vijana wetu wanaoenda kusoma na kutafuta kazi na maisha canada, roho yake mbaya na chuki kwa waislamu imemtia upofu hadi hajui kama na yeye au ndugu zake ni wahanga wa hili ,jinga kabisa
 
Hilo halina tatizo tatizo ni kwamba Mtu ahamie Nchini kwako halafu auchukie Utamaduni wako,halafu awe anataka kukuletea Utamaduni wake uliyemfelisha yeye.
View attachment 3156398
Acha chuki zako uislamu utaendelea kukuwa europe na america, its too late na tutaendelea kuwafundisha uislamu na uzuri wameshaukubali
Si unaona wakatoliki wanavyoingia kwrnye dini ya haki hadi maafisa usalama wakubwa kama hawa
 

Attachments

  • Screenshot_20241119-211300_Chrome.jpg
    Screenshot_20241119-211300_Chrome.jpg
    336.7 KB · Views: 3
Acha chuki zako uislamu utaendelea kukuwa europe na america, its too late na tutaendelea kuwafundisha uislamu na uzuri wameshaukubali
Si unaona wakatoliki wanavyoingia kwrnye dini ya haki hadi maafisa usalama wakubwa kama hawa
Ninyi Uisilamu umewasaidia nini?! Umejawa na Husuda tu.
 
Waziri Mkuu wa Canada Justin Tradeu ameyasema hayo leo kwenye Mtandao wa X.Wananchi wengi wa Canada wamempongeza kwa hatua hiyo.

Wachunguzi wengine wa mambo wanasema ni Pressure za Raisi mteule wa Marekani Donald Trump.
Source: X

View attachment 3155700
Waziri Mkuu wa Canada Justin Tradeu
Soma pia👇

Hana jipya

Unatuletea story za vijiweni sasa muarabu gani wa saudi arabia anaongea english ya hivyo, yani hata vitu kama hivyo unashindwa kufikiria, mimi nakuonyesha congressman wa baraza la usalama la congress ya marekani ambaye alilelewa na kanisa katoliki wewe unatuletea movie za kusadikika ebo
 
Wakristo hata waamie kwa mamillion hawana shida! Shida ni wavaa makobasi! Hata akihamia mmoja ni shida! Niliwahi kufanyakazi sehemu akaja kuajiliwa mvaa kobasi mmoja! Katika vikao vya wafanyakazi akaomba apewe ofisi ya kuswalia swala zake 7 !
Wewe ndio mfano halisi wa neno "mbulula"
Kama hawana shida kwanini Trump kashindia uchaguzi kwa kufurumusha wote cinco de mayo na misalaba mikubwa
Hivi au hata unamjua hata Trump?
Ni raisi wa walokole , lakini hacheki na kima hata kama unamjua yesu
Na nyinyi wa huku alishawaita shithole, hata kama unatupugia kelele kila siku kwenye mabasi na bibilia yako hupati viza...
wewe endelea kula vumbi kula vumbi....
 
Labda Wacanada wamechoshwa na Wahamiaji kuswali Mabarabarani? Mnasemaje Wakuu?
Wakati nyie wakristo wa tanzania mnawachukia waislamu kule marekani trump anazidi kuwapa mashavu cheki hapa bwana mehmet kala shavu kutoka kwa trump, na trump amependekeza wahamiaji wote waliopata elimu nzuri marekani wabakizwe ili waisaidie marekani kama bwana mehmet
 

Attachments

  • Screenshot_20241120-064811_Chrome.jpg
    Screenshot_20241120-064811_Chrome.jpg
    345.2 KB · Views: 4
Back
Top Bottom