Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,626
Very true aisee
unajikuta uko kwenye situation hujui umefikaje
Mkuu we acha aisee....
Tena kama penzi lenyewe bado ni bichi kama embe dodo la Chalinze....acha utani aisee...
Unaiona dunia yote yako kama mtoto wa F2 anavyoonaga hakuna msomi duniani....
The good thing ni kwamba hiyo halucination haidumu sana...vinginevyo tungeshakuwa machizi..
Babu DC!!