Can't you Love Someone with all your eyes Clear?

Can't you Love Someone with all your eyes Clear?

ahahahhahahhah dada mkubwaaaaa!umenikumbusha mbali sana i see!mweh!
TUMETOKA MBALI SANA!mnoooo!
umeona eeeh!
wenzio kila jumatatu tulikuwa tunaulizia shift za mama k za wiki nzima ili ujipange......
mzee hakuwa na shida sana, mida yake inajulikana na pia akiwa home ukimpoza na thermos ya chai tu umemaliza kazi.
 
Upofu plus limbwata...sipati picha utakuwa kiumbe wa namna gani..
Kuhamisha goli nadhani Dark City na The Boss wanaweza kulisemea..
Manake mengine tunayapatia hapa hapa jf.....kitu hallucination ulikuwa unakijua?

nilikuwa sijakipatia istilahi tu kitu halucinations ila hii kuhamishiwa goli sikuwahi kuiimagine kwenye haya makitu!yani nikikumbuka mchezo tulikuwa tunafanya tukienda kushangilia timu ya wavulana wakiwa wancheza af tunakaa kweny goli wakiwa wamekomaa wenyee na mpira sisi huku tunahamisha magoli!sasa The Boss alivoisema hapa nimejaribu kuipigia picha mwanaume anahamishiwa goli anakuja kustuka mpira umeisha!kitu ndani ya box
 
Last edited by a moderator:
Bora kuumwa jino kuliko kukutana na missed opportunity kama hiyo....

Ningekuwa singer nigetunga wimbo kuhusu hiyo experience....

Nyingine inayouma sana ni kuachwa nje ya geti....

Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuhhhhhhhhhhhhhhh,

Evolution ya binadamu ni kiboko..

Babu DC!!
ha ha haaaa, tumbo langu mie jamani.....
ila zamani haikuwa intentional.....
ukiona kimya au umeachwa getini ujue kuna sababu....
na pia ujue huyo aliye ndani ya geti anaumwa tumbo huko kwa kushindwa kuonana na mupenzi.
 
umeona eeeh!
wenzio kila jumatatu tulikuwa tunaulizia shift za mama k za wiki nzima ili ujipange......
mzee hakuwa na shida sana, mida yake inajulikana na pia akiwa home ukimpoza na thermos ya chai tu umemaliza kazi.
mzee k chai tu ya tangawizi na karanga kwisha habari yake!usingizi wake saafi!watu tunaenda kuangalia rum zilizopigwa deki mra kumi kumi!
 
mzee k chai tu ya tangawizi na karanga kwisha habari yake!usingizi wake saafi!watu tunaenda kuangalia rum zilizopigwa deki mra kumi kumi!
umeona eeeh! hapo husahau kumsogezea kabisa magazeti yake asije akaita jina lako wenzako wakapata dhambi kwa kusingizia upo kwa toilet, lol!
 
ha ha haaaa, tumbo langu mie jamani.....
ila zamani haikuwa intentional.....
ukiona kimya au umeachwa getini ujue kuna sababu....
na pia ujue huyo aliye ndani ya geti anaumwa tumbo huko kwa kushindwa kuonana na mupenzi.
bati la mzee k limerushiwa sana mawe jamani mwee!
chezeya upofu wewe!af wala hatuoni kama tunamtia hasara mzee wa watu mweeeh!
 
nilikuwa sijakipatia istilahi tu kitu halucinations ila hii kuhamishiwa goli sikuwahi kuiimagine kwenye haya makitu!yani nikikumbuka mchezo tulikuwa tunafanya tukienda kushangilia timu ya wavulana wakiwa wancheza af tunakaa kweny goli wakiwa wamekomaa wenyee na mpira sisi huku tunahamisha magoli!sasa The Boss alivoisema hapa nimejaribu kuipigia picha mwanaume anahamishiwa goli anakuja kustuka mpira umeisha!kitu ndani ya box


Wewe naona ndo mtaalamu wa kuhamisha magoli
naona umeguuswa hapa
 
wacha kabisa!KIPYA KINYEMI babu!
oh!
chezeya kununua white pants wewe!uuwih!kumbe zote hizo ni halucinations!daaaamn tumetoka mbali sana i see!wacheni vijana tu wawehuke!OH NIMEMPATA WA KUFANANA NAE!chezeya kuhamishiwa goli wewe!sosi The Boss
what does that mean?? sijawahi kuelewa hiyo methali/msemo/nahau
 
umeona eeeh! hapo husahau kumsogezea kabisa magazeti yake asije akaita jina lako wenzako wakapata dhambi kwa kusingizia upo kwa toilet, lol!

chezeya gaezti la daily news lilivo kubwa l,azima akimaliza alale!umesahau dada mkubwa unapeleka gazseti na miwani kabisa!lol!
 
chezeya gaezti la daily news lilivo kubwa l,azima akimaliza alale!umesahau dada mkubwa unapeleka gazseti na miwani kabisa!lol!
ha ha haaaa
na la jana yake maana lazima kuna habari atakuwa hakuimalizia......
 
NItakunong'oneza badae, hapa pamejaa mno

Naona aibu:tape2:


Wewe Kongosho?

Umeanza lini haya mambo? Mie nilifundishwa enzi hizo kwamba aibu ni mdogo wake shetani.....kwa hiyo hata wewe una undugu na shetani??

Ngoja nimwite Bibi anipe msaada hapa...

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
umeona eeh!
wakati mimi hapa na-struggle kuelewa ulikuwa unamaanisha nini naona mlongo wangu anaipigilia mistari 20 20, lol!

dada mkubwa we acha tu!yani huo mchezo wa kuhamisha magoli mi nilikuwa ndo mtaaalam sio utani!sasa nilipoipigia picha kwenye haya makitu sina mbavu!nakumbukaaga timu pinzani zilivokuwa zinaumiza kichwa wamekosaje goli!
hatujakaa vizuri mpira umeisha!mweee!
 
what does that mean?? sijawahi kuelewa hiyo methali/msemo/nahau
[/QUOTE Blaine mwaya hakokamsemo manake kitu kikiwa kipya hutaki hata wakiangalie unahs watakifubaza!lol
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom