CANVAS Business Model

Mkuu samahani, hivi ni mtu yoyote anayezingatia kanuni za biashara anaweza kuwa mfanya biashara au ni mtu maalum aliejaliwa Karama ya biashara ndie anapaswa kuwa mfanya biashara?
 
Sasa wanasayansi wa biashara kama nyie ndio mnahitajika kwa wingi. Sikufichi nina degree ya biashara ila kuifanyia kazi hata theluthi ya knowledge siwezi. Kama ni biashara tunafanya basics tu kuuza na kununua tu ila kuna mambo mengi mno kwenye biashara. Biashara zetu nyingi hata kuzipima kwenye mizani huwezi
 
Canvas Business Model ni aina gani ya biashara Wakuu?....
Ni strategic tool tu ambayo inatumika kuisummarize biashara kwa ufupi kuelezea activities zake, resources zinazohitajika, revenue collections, customer identification etc. Ni famous tool kwaajili ya wepesi wake wa kueleweka when it comes to how you do business.
 
Nimeenda hii. Naomba nikucheki kwa personal issues. Hii ya siasa na executions kama inameki sensi hivi. Kunakuwaga na kigepu hapa katikati kinachofanya kampuni nyingi kuwa vilevile miaka 100 ijayo
 
🥴🤫
 
Nimeenda hii. Naomba nikucheki kwa personal issues. Hii ya siasa na executions kama inameki sensi hivi. Kunakuwaga na kigepu hapa katikati kinachofanya kampuni nyingi kuwa vilevile miaka 100 ijayo
Ni strategy tu, kampuni nyingi hazina strategies nzuri, mtu hajui miaka kumi ijayo Biashara yake itakuwa wapi?
Achilia mbali kumi hata miaka miwili hana goals wala haendi na kasi ya technology


NB: raha ya ngoma uingie ucheze


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa sisi ma Transporter mbona kama vile haitusaidii
 
Juzi juzi nimesikia umeingia kwenye udalali wa magari na viwanja. Unajiita corporate conglomerate agency pale lumumba.

Na umemtafuta mtu umempa hela akawa anakupigia kampeni eti kijana una kitu, utafika mbali 😀.

Hizi digrii zetu hizi michongoma kichizi.. Nimekaa NGO moja mwaka Jana mtaalamu nimemuweka nadharia moja ambayo anaiandikia proposal kila siku lakin kwenye graundi imemshinda na akatimuliwa wiki hiyohiyo.
 
I know this. Niko na kampuni moja hapa tumejibrand vya kutosha na wateja wamepatikana. Kiongozi wetu anasema brand yetu kubwa tuongeze Bei zetu. Bos wake kaja kapinga, anasema unaweza kuongeza Bei uliowapata ukawapoteza.

Task: how and which strategies to adopt, itakayohakikisha hawa uliokuwa nao utakuwa nao kesho na kesho?.

NB : Mimi sio mtaalam wa marketing
 
Boss wake yupo sahihi na huyo kiongozi wako kilaza (sorry to say this)
kwa uzoefu wangu kidogo nilio nao mnatakiwa mfanye mambo mawili tu
1. Muangalie namna yakupunguza matumizi
2. Muongeze mauzo ambapo revenue itaongezeka na ikiongezeka means faida inaongezeka pia
Sasa namna yakuongeza mauzo ndo hapo mpambane


NB: BIASHARA SIO RAHISI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…