Kufanya mambo kimazoea.Nimeenda hii. Naomba nikucheki kwa personal issues. Hii ya siasa na executions kama inameki sensi hivi. Kunakuwaga na kigepu hapa katikati kinachofanya kampuni nyingi kuwa vilevile miaka 100 ijayo
Yaani watu wanajua na wanajua tenaKuna vitu unaeza soma humu ukajiuoiza kabisa kama shule haukwenda kusomea ujinga maana unajiona mweupe kbsa.
Subiri niendelee kula madini
Simple tu fungua biashara yakoNiliapia sitokuja kuongelea kitu chochote serious humu JF zaidi ya pombe na ngono ila ngoja leo nikushauri kitu sababu nimeona sana mabandiko yako na sijui kwanini yananiangukia
Nimefanya kazi za kuallocate funds kwenye startups kutoka kwenye foundations kadhaa nje na ndani ya nchi. Wengi ni wanasiasa kama wewe(usiishie kusoma hapo, vuta pumzi tuendelee). Wanalenga kutoa first impression kwa maneno mataam lakini biashara zao ni zero. Startups nyingi zinakufa hata kama walipewa funds sababu executives na founders ni wanasiasa tu, wanajua theory ya biashara na maneno mazito ya kutongoza investors ila hawajui kuendesha biashara kutokana, kutumia data, takwimu na saikolojia ili kufanya biashara iwe profitable zaidi.
Siku hizi nikisikia neno startup nataka hadi kutapika. Cheki kuna waghana flani walipata hadi usd 86 million wanajiita DASH ila kampuni limekufa, nenda kwa jirani zako JUMIA wako wapi sasahivi? Startups za hapa Tanzania ndo sitozitaja sababu founders lengo lao ni kupata funds wakanunue brevis wajenge nyumba then wafunge biashara.
Sasa mimi nakuomba kitu kimoja tu. Takwimu za biashara zako katika makundi haya.
1)Zitakazonifanya NIWEKEZE kwenye biashara yako
2)Zitakazonifanya NISIWEKEZE kwenye biashara yako.
Hapo kwenye takwimu nataka zote ambazo unatumia kwenye biashara yako kama vile customer follow ups, leads to client ratio, stock turnover, na statistics zote (kama una utimamu wa biashara utajua namaanisha zipi)
lkn pia ambatanisha financial statements za toka mwaka ulioanza kufanya business hadi mwaka huu.
Nitumie PM na kama nitapenda ninachokiona nina 15million hapa cash imekaa inasubiri kufanyiwa starehe tu, nitawekeza nusu kwenye biashara yako. Ukiona risk kunitumia nambie nikupe calendar yangu uchague siku tuonane ofisini kwangu, nitakua na cash ww uje na hizo data.
Good luck sweetheart.
Mtu yyt anaweza kuendesha biashara kama anajua. Japo sikatai kuna watu wana talent. Huwa napenda kutumia mfano wa messi na ronaldo. Messi ana talent, ronaldo ana tia kazi na mazoezi kiwango cha juu sana. Hvohvo kwenye business.Mkuu samahani, hivi ni mtu yoyote anayezingatia kanuni za biashara anaweza kuwa mfanya biashara au ni mtu maalum aliejaliwa Karama ya biashara ndie anapaswa kuwa mfanya biashara?
Bias na mazoea ndo vinaua biashara nyingi.Sasa wanasayansi wa biashara kama nyie ndio mnahitajika kwa wingi. Sikufichi nina degree ya biashara ila kuifanyia kazi hata theluthi ya knowledge siwezi. Kama ni biashara tunafanya basics tu kuuza na kununua tu ila kuna mambo mengi mno kwenye biashara. Biashara zetu nyingi hata kuzipima kwenye mizani huwezi
Nimesema hapo juu. Bias na Mazoea.Nimeenda hii. Naomba nikucheki kwa personal issues. Hii ya siasa na executions kama inameki sensi hivi. Kunakuwaga na kigepu hapa katikati kinachofanya kampuni nyingi kuwa vilevile miaka 100 ijayo
Sijajua kama mnatoa services au ni products based.I know this. Niko na kampuni moja hapa tumejibrand vya kutosha na wateja wamepatikana. Kiongozi wetu anasema brand yetu kubwa tuongeze Bei zetu. Bos wake kaja kapinga, anasema unaweza kuongeza Bei uliowapata ukawapoteza.
Task: how and which strategies to adopt, itakayohakikisha hawa uliokuwa nao utakuwa nao kesho na kesho?.
NB : Mimi sio mtaalam wa marketing
Kupandisha bei pia inawezekana kama wametengeneza monopoly kwenye hio sector mahala walipo.Boss wake yupo sahihi na huyo kiongozi wako kilaza (sorry to say this)
kwa uzoefu wangu kidogo nilio nao mnatakiwa mfanye mambo mawili tu
1. Muangalie namna yakupunguza matumizi
2. Muongeze mauzo ambapo revenue itaongezeka na ikiongezeka means faida inaongezeka pia
Sasa namna yakuongeza mauzo ndo hapo mpambane
NB: BIASHARA SIO RAHISI
OkBoss wake yupo sahihi na huyo kiongozi wako kilaza (sorry to say this)
kwa uzoefu wangu kidogo nilio nao mnatakiwa mfanye mambo mawili tu
1. Muangalie namna yakupunguza matumizi
2. Muongeze mauzo ambapo revenue itaongezeka na ikiongezeka means faida inaongezeka pia
Sasa namna yakuongeza mauzo ndo hapo mpambane
NB: BIASHARA SIO RAHISI
Nina uwezo wa kukaa mitandaoni j3 asubuhi sababu nimeinvest na kutengeneza biashara ambazo hata nikiwa nakula malaya ziko zinajiendesha, hata nikilazwa hazitofeli, Jay Z anakwambia "I've invested in things.... UNPRECENTEDLY RUN"Simple tu fungua biashara yako
Nimemjibu kutokana na maelezo yake nikaona bado hakuwa na ssbabu za msingi kupandisha beiKupandisha bei pia inawezekana kama wametengeneza monopoly kwenye hio sector mahala walipo.
Kama nilivosema hapo juu pricing ni sector nyeti sana.
Mfano kama ww biashara yako ni utengenezaji wa vipodozi na unatengeneza mwenyewe hadi kuuza basi ukicheza na pricing na psychology ya wateja wako (halafu una wateja category rahisi sana, wanaopenda vipodozi ni easy kuwa manipulated kiakili aidha wawe wa kiume au wa kike).
Kam mteja akitoka na hisi kwamba wote mmepato sawa. What are the possibilities?Sijajua kama mnatoa services au ni products based.
Pricing ni sector nyeti sana, watu wanaichukulia poa mnoo.
Factors nyingi sana zinaendesha hilo.
Mfano kama product/service ww ndo unaitengeneza/kutoa basi una wigo mpana wa kuset price tofauti na reseller.
Jua psychology ya wateja pia itakusaidia. Mfano hata ww ukienda kununua kitu dukani au kwa mtu unatoka na hisia tatu 1)umempiga 2)amekupiga 3)mmetoka sawa.
Sasa kama unataka kukuza pricing kwa hapa africa especially tz ambapo wachache wananunua vitu sababu ya classy(ndo maana we're chinese dump) basi fanya mteja wako aone 'amekupiga' hapo utauza mpaka wakuulize unatumia mganga gani.
Na kichekesho kingine ni pale mtu anataka kukuza price wakati hajatengeneza monopoly kwanza. Hao wateja unaowaita wako watakukimbia waende kwa competitor wako.
Hili ni somo refu anyway
50% 50%Kam mteja akitoka na hisi kwamba wote mmepato sawa. What are the possibilities?
Hili jibu ya kuwapoteza ulikuwa nao liko more significant to us. Mana bei ikiongexeka na product Iko vilevile. Wateja questions zitakuwa nyingi... Watahisi wakuongexa Leo next year myawapandishia Tena.Nimemjibu kutokana na maelezo yake nikaona bado hakuwa na ssbabu za msingi kupandisha bei
NB: najibu kwa uzoefu sina taaluma ya biashara
Naaam ndio maana kunakuwaga na sababu za msingi sana kwenye kuongeza bei mimi huwa nafanya rebranding upya na kuongeza quality kidogo,then kwenye matangazo naiua ile ya mwanzo naipromote hii hapo naongeza na tumaneno kama advanced formula au with vitamin e&c and the likesHili jibu ya kuwapoteza ulikuwa nao liko more significant to us. Mana bei ikiongexeka na product Iko vilevile. Wateja questions zitakuwa nyingi... Watahisi wakuongexa Leo next year myawapandishia Tena.
Mkuu, Ukijibu haya Maswali tunaweza kupata Strategy itayobakisha wateja na bei ukaongeza na bado ukauza.Task: how and which strategies to adopt, itakayohakikisha hawa uliokuwa nao utakuwa nao kesho na kesho?.
Hatari sana kaka,JF imejaa watabe wa kila tasnia.Wazee mpo nondo hadi naogopa,
Kweli nimeamini wewe jamaa ni fundi wa biashara haubahatishi yaani kwa statements ulizotoa hapa ziko na logic kubwa sana nimejifunza kitu.Sijajua kama mnatoa services au ni products based.
Pricing ni sector nyeti sana, watu wanaichukulia poa mnoo.
Factors nyingi sana zinaendesha hilo.
Mfano kama product/service ww ndo unaitengeneza/kutoa basi una wigo mpana wa kuset price tofauti na reseller.
Jua psychology ya wateja pia itakusaidia. Mfano hata ww ukienda kununua kitu dukani au kwa mtu unatoka na hisia tatu 1)umempiga 2)amekupiga 3)mmetoka sawa.
Sasa kama unataka kukuza pricing kwa hapa africa especially tz ambapo wachache wananunua vitu sababu ya classy(ndo maana we're chinese dump) basi fanya mteja wako aone 'amekupiga' hapo utauza mpaka wakuulize unatumia mganga gani.
Na kichekesho kingine ni pale mtu anataka kukuza price wakati hajatengeneza monopoly kwanza. Hao wateja unaowaita wako watakukimbia waende kwa competitor wako.
Hili ni somo refu anyway
Katika mazingira ya kibongo...inakusaidia sana tena in a direct way
Soma tu kwakutulia hakuna biashara isiyokuwa na hayo mambo tisa unless uwe unafanya kama sadaka