CANVAS Business Model

CANVAS Business Model

Nimeenda hii. Naomba nikucheki kwa personal issues. Hii ya siasa na executions kama inameki sensi hivi. Kunakuwaga na kigepu hapa katikati kinachofanya kampuni nyingi kuwa vilevile miaka 100 ijayo
Kufanya mambo kimazoea.

Tuendelee kuelimishana hapahapa tu.
 
Niliapia sitokuja kuongelea kitu chochote serious humu JF zaidi ya pombe na ngono ila ngoja leo nikushauri kitu sababu nimeona sana mabandiko yako na sijui kwanini yananiangukia

Nimefanya kazi za kuallocate funds kwenye startups kutoka kwenye foundations kadhaa nje na ndani ya nchi. Wengi ni wanasiasa kama wewe(usiishie kusoma hapo, vuta pumzi tuendelee). Wanalenga kutoa first impression kwa maneno mataam lakini biashara zao ni zero. Startups nyingi zinakufa hata kama walipewa funds sababu executives na founders ni wanasiasa tu, wanajua theory ya biashara na maneno mazito ya kutongoza investors ila hawajui kuendesha biashara kutokana, kutumia data, takwimu na saikolojia ili kufanya biashara iwe profitable zaidi.

Siku hizi nikisikia neno startup nataka hadi kutapika. Cheki kuna waghana flani walipata hadi usd 86 million wanajiita DASH ila kampuni limekufa, nenda kwa jirani zako JUMIA wako wapi sasahivi? Startups za hapa Tanzania ndo sitozitaja sababu founders lengo lao ni kupata funds wakanunue brevis wajenge nyumba then wafunge biashara.

Sasa mimi nakuomba kitu kimoja tu. Takwimu za biashara zako katika makundi haya.

1)Zitakazonifanya NIWEKEZE kwenye biashara yako
2)Zitakazonifanya NISIWEKEZE kwenye biashara yako.

Hapo kwenye takwimu nataka zote ambazo unatumia kwenye biashara yako kama vile customer follow ups, leads to client ratio, stock turnover, na statistics zote (kama una utimamu wa biashara utajua namaanisha zipi)
lkn pia ambatanisha financial statements za toka mwaka ulioanza kufanya business hadi mwaka huu.

Nitumie PM na kama nitapenda ninachokiona nina 15million hapa cash imekaa inasubiri kufanyiwa starehe tu, nitawekeza nusu kwenye biashara yako. Ukiona risk kunitumia nambie nikupe calendar yangu uchague siku tuonane ofisini kwangu, nitakua na cash ww uje na hizo data.

Good luck sweetheart.
Simple tu fungua biashara yako
 
Mkuu samahani, hivi ni mtu yoyote anayezingatia kanuni za biashara anaweza kuwa mfanya biashara au ni mtu maalum aliejaliwa Karama ya biashara ndie anapaswa kuwa mfanya biashara?
Mtu yyt anaweza kuendesha biashara kama anajua. Japo sikatai kuna watu wana talent. Huwa napenda kutumia mfano wa messi na ronaldo. Messi ana talent, ronaldo ana tia kazi na mazoezi kiwango cha juu sana. Hvohvo kwenye business.

Nilikua UAE one time kwenye mkutano na foundation yao moja hivi. Wahusika (waarabu) wako pembeni kabisa, tunanegotiate na wazungu tu. Hata boss wa dp world ni sultan fln hv ila wanaoiendesha ile ni wazungu.

Education matters if u are not born with skills. Ila hata kama umezaliwa na skills lazima ujiendeleze otherwise biashara yako itafikia mahala iache kukua, na ikiacha kukua huku uchumi unakua basi ujue unatolewa kwenye game soon
 
Sasa wanasayansi wa biashara kama nyie ndio mnahitajika kwa wingi. Sikufichi nina degree ya biashara ila kuifanyia kazi hata theluthi ya knowledge siwezi. Kama ni biashara tunafanya basics tu kuuza na kununua tu ila kuna mambo mengi mno kwenye biashara. Biashara zetu nyingi hata kuzipima kwenye mizani huwezi
Bias na mazoea ndo vinaua biashara nyingi.

Mtu unalazimisha bias yako kwenye biashara hata kama reality ni tofauti.
 
Nimeenda hii. Naomba nikucheki kwa personal issues. Hii ya siasa na executions kama inameki sensi hivi. Kunakuwaga na kigepu hapa katikati kinachofanya kampuni nyingi kuwa vilevile miaka 100 ijayo
Nimesema hapo juu. Bias na Mazoea.

Data zinakwambia hv ww unakazana kufanya tofauti, lazima usione progress yyt hapo
 
I know this. Niko na kampuni moja hapa tumejibrand vya kutosha na wateja wamepatikana. Kiongozi wetu anasema brand yetu kubwa tuongeze Bei zetu. Bos wake kaja kapinga, anasema unaweza kuongeza Bei uliowapata ukawapoteza.

Task: how and which strategies to adopt, itakayohakikisha hawa uliokuwa nao utakuwa nao kesho na kesho?.

NB : Mimi sio mtaalam wa marketing
Sijajua kama mnatoa services au ni products based.

Pricing ni sector nyeti sana, watu wanaichukulia poa mnoo.

Factors nyingi sana zinaendesha hilo.

Mfano kama product/service ww ndo unaitengeneza/kutoa basi una wigo mpana wa kuset price tofauti na reseller.

Jua psychology ya wateja pia itakusaidia. Mfano hata ww ukienda kununua kitu dukani au kwa mtu unatoka na hisia tatu 1)umempiga 2)amekupiga 3)mmetoka sawa.

Sasa kama unataka kukuza pricing kwa hapa africa especially tz ambapo wachache wananunua vitu sababu ya classy(ndo maana we're chinese dump) basi fanya mteja wako aone 'amekupiga' hapo utauza mpaka wakuulize unatumia mganga gani.

Na kichekesho kingine ni pale mtu anataka kukuza price wakati hajatengeneza monopoly kwanza. Hao wateja unaowaita wako watakukimbia waende kwa competitor wako.

Hili ni somo refu anyway
 
Boss wake yupo sahihi na huyo kiongozi wako kilaza (sorry to say this)
kwa uzoefu wangu kidogo nilio nao mnatakiwa mfanye mambo mawili tu
1. Muangalie namna yakupunguza matumizi
2. Muongeze mauzo ambapo revenue itaongezeka na ikiongezeka means faida inaongezeka pia
Sasa namna yakuongeza mauzo ndo hapo mpambane


NB: BIASHARA SIO RAHISI
Kupandisha bei pia inawezekana kama wametengeneza monopoly kwenye hio sector mahala walipo.

Kama nilivosema hapo juu pricing ni sector nyeti sana.

Mfano kama ww biashara yako ni utengenezaji wa vipodozi na unatengeneza mwenyewe hadi kuuza basi ukicheza na pricing na psychology ya wateja wako (halafu una wateja category rahisi sana, wanaopenda vipodozi ni easy kuwa manipulated kiakili aidha wawe wa kiume au wa kike).
 
Boss wake yupo sahihi na huyo kiongozi wako kilaza (sorry to say this)
kwa uzoefu wangu kidogo nilio nao mnatakiwa mfanye mambo mawili tu
1. Muangalie namna yakupunguza matumizi
2. Muongeze mauzo ambapo revenue itaongezeka na ikiongezeka means faida inaongezeka pia
Sasa namna yakuongeza mauzo ndo hapo mpambane


NB: BIASHARA SIO RAHISI
Ok
 
Kupandisha bei pia inawezekana kama wametengeneza monopoly kwenye hio sector mahala walipo.

Kama nilivosema hapo juu pricing ni sector nyeti sana.

Mfano kama ww biashara yako ni utengenezaji wa vipodozi na unatengeneza mwenyewe hadi kuuza basi ukicheza na pricing na psychology ya wateja wako (halafu una wateja category rahisi sana, wanaopenda vipodozi ni easy kuwa manipulated kiakili aidha wawe wa kiume au wa kike).
Nimemjibu kutokana na maelezo yake nikaona bado hakuwa na ssbabu za msingi kupandisha bei

NB: najibu kwa uzoefu sina taaluma ya biashara
 
Sijajua kama mnatoa services au ni products based.

Pricing ni sector nyeti sana, watu wanaichukulia poa mnoo.

Factors nyingi sana zinaendesha hilo.

Mfano kama product/service ww ndo unaitengeneza/kutoa basi una wigo mpana wa kuset price tofauti na reseller.

Jua psychology ya wateja pia itakusaidia. Mfano hata ww ukienda kununua kitu dukani au kwa mtu unatoka na hisia tatu 1)umempiga 2)amekupiga 3)mmetoka sawa.

Sasa kama unataka kukuza pricing kwa hapa africa especially tz ambapo wachache wananunua vitu sababu ya classy(ndo maana we're chinese dump) basi fanya mteja wako aone 'amekupiga' hapo utauza mpaka wakuulize unatumia mganga gani.

Na kichekesho kingine ni pale mtu anataka kukuza price wakati hajatengeneza monopoly kwanza. Hao wateja unaowaita wako watakukimbia waende kwa competitor wako.

Hili ni somo refu anyway
Kam mteja akitoka na hisi kwamba wote mmepato sawa. What are the possibilities?
 
Nimemjibu kutokana na maelezo yake nikaona bado hakuwa na ssbabu za msingi kupandisha bei

NB: najibu kwa uzoefu sina taaluma ya biashara
Hili jibu ya kuwapoteza ulikuwa nao liko more significant to us. Mana bei ikiongexeka na product Iko vilevile. Wateja questions zitakuwa nyingi... Watahisi wakuongexa Leo next year myawapandishia Tena.
 
Hili jibu ya kuwapoteza ulikuwa nao liko more significant to us. Mana bei ikiongexeka na product Iko vilevile. Wateja questions zitakuwa nyingi... Watahisi wakuongexa Leo next year myawapandishia Tena.
Naaam ndio maana kunakuwaga na sababu za msingi sana kwenye kuongeza bei mimi huwa nafanya rebranding upya na kuongeza quality kidogo,then kwenye matangazo naiua ile ya mwanzo naipromote hii hapo naongeza na tumaneno kama advanced formula au with vitamin e&c and the likes
 
Task: how and which strategies to adopt, itakayohakikisha hawa uliokuwa nao utakuwa nao kesho na kesho?.
Mkuu, Ukijibu haya Maswali tunaweza kupata Strategy itayobakisha wateja na bei ukaongeza na bado ukauza.

1. Hao wateja ulionao ni wale wananunua ili nao wakauze(WAUZAJI) au wale wananunua ili watumie (WATUMIAJI au final users)?
2. Hizo bidhaa unazouza ni Unazitengeneza mwenyewe, Unaziingiza Nchini mwenyewe au Unazinunua hapahapa na kuongeza bei kidogo kisha unauza?
3. Bidhaa/huduma mnayotoa ni Mpya Sokoni au tayari ipo siku nyingi? Endapo tayari ilikuwepo, Je, Strategy mliyowapata hao wateja mlionao, mlitumia UBORA WA BIDHAA YENU(quality) au MLISHUSHA BEI ILIYOKUWEPO SOKONI(Price)?

USHAURI GENERAL.
Watanzania wengi hatuna mbinu mpya ya kuingia sokoni tofauti na kushusha bei. so kama na nyie mlitumia hio mbinu ya kitanzania kujipatia wateja mlionao, basi MKIONGEZA bei ni LAZIMA mtawapoteza WOTE. Na mkipandisha bei, atatokea Mtanzania mwingine atashusha bei kama kawaida na atawachukua wateja wenu. Unless kama mlitumia QUALITY ili muuze ndio mnaweza jadili kupandisha bei. Otherwise FALSE.

Asante.
 
Sijajua kama mnatoa services au ni products based.

Pricing ni sector nyeti sana, watu wanaichukulia poa mnoo.

Factors nyingi sana zinaendesha hilo.

Mfano kama product/service ww ndo unaitengeneza/kutoa basi una wigo mpana wa kuset price tofauti na reseller.

Jua psychology ya wateja pia itakusaidia. Mfano hata ww ukienda kununua kitu dukani au kwa mtu unatoka na hisia tatu 1)umempiga 2)amekupiga 3)mmetoka sawa.

Sasa kama unataka kukuza pricing kwa hapa africa especially tz ambapo wachache wananunua vitu sababu ya classy(ndo maana we're chinese dump) basi fanya mteja wako aone 'amekupiga' hapo utauza mpaka wakuulize unatumia mganga gani.

Na kichekesho kingine ni pale mtu anataka kukuza price wakati hajatengeneza monopoly kwanza. Hao wateja unaowaita wako watakukimbia waende kwa competitor wako.

Hili ni somo refu anyway
Kweli nimeamini wewe jamaa ni fundi wa biashara haubahatishi yaani kwa statements ulizotoa hapa ziko na logic kubwa sana nimejifunza kitu.
muda wowote nikianzisha kampuni nitakutafuta mkuu kwa ajili ya kupata shule.
 
inakusaidia sana tena in a direct way
Soma tu kwakutulia hakuna biashara isiyokuwa na hayo mambo tisa unless uwe unafanya kama sadaka
Katika mazingira ya kibongo...
Usafiri wa vyombo mchanganyiko.......malori transit....mabasi njia ya vumbi....
Mafuta ya kidebe...spare za wizi...vibali hakuna....pick up za mkaa na bodaboda.
N.b. katika mazingira yasiokuwa na ushindani.i.e.machicha kwenye transit ndio yana run vyombo vingine.
 
Back
Top Bottom