CANVAS Business Model

CANVAS Business Model

Niliapia sitokuja kuongelea kitu chcht serious humu JF zaidi ya pombe na ngono ila ngoja leo nikushauri kitu sababu nimeona sana mabandiko yako na sijui kwa nn yananiangukia

Nimefanya kazi za kuallocate funds kwenye startups kutoka kwenye foundations kadhaa nje na ndani ya nchi. Wengi ni wanasiasa kama wewe(usiishie kusoma hapo, vuta pumzi tuendelee). Wanalenga kutoa first impression kwa maneno mataam lkn biashara zao ni zero. Startups nyingi zinakufa hata kama walipewa funds sababu executives na founders ni wanasiasa tu, wanajua theory ya biashara na maneno mazito ya kutongoza investors ila hawajui kuedesha biashara kutokana, kutumia data, takwimu na saikolojia ili kufanya biashara iwe profitable zaidi.

Siku hizi nikisikia neno startup nataka hadi kutapika. Cheki kuna waghana fln walipata hadi usd 86 million wanajiita DASH ila kampuni limekufa, nenda kwa jirani zako JUMIA wako wp sshv? startups za hapa tz ndo sitozitaja sababu founders lengo lao ni kupata funds wakanunue brevis wajenge nyumba then wafunge biashara.


Sasa mm nakuomba kitu kimoja tu. Takwimu za biashara zako katika makundi haya.

1)Zitakazonifanya NIWEKEZE kwenye biashara yako
2)Zitakazonifanya NISIWEKEZE kwenye biashara yako.

Hapo kwenye takwimu nataka zote ambazo unatumia kwenye biashara yako kama vile customer follow ups, leads to client ratio, stock turnover, na statistics zote (kama una utimamu wa biashara utajua namaanisha zipi)
lkn pia ambatanisha financial statements za toka mwaka ulioanza kufanya business hadi mwaka huu.


Nitumie PM na kama nitapenda ninachokiona nina 15million hapa cash imekaa inasubiri kufanyiwa starehe tu, nitawekeza nusu kwenye biashara yako. Ukiona risk kunitumia nambie nikupe calendar yangu uchague siku tuonane ofisini kwangu, nitakua na cash ww uje na hizo data.

Good luck sweetheart.
Ni kweli startups nyingi na founders wengi wapo kimaslahi zaidi wakishapata pesa za investors wanatoka kabisa kwenye lengo la biashara na kutimiza matakwa yao ambayo yaliwatuma kuanzisha hizo startups, lakini kwa upande wangu kama ningekuwa na shida na hela kwaajili ya kufund dreams zangu ningeuza hii kwa zaidi ya hiyo hela ninayotaja kutoka kwa investor.

Nataka kukuza biashara na kuongeza uzalishaji, soko ninalo la uhakika. Ntakucheck PM for more info.
IMG-20231030-WA0002.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naungana nawe, ingawa general mikopo inafaida zake lakini katika faida kuna changamoto kubwa pia.
Wakati mwingine ni bora kuwa mbali nayo.

Natumaini njia unayotumia ni bora , wakati mmoja utakua kwenye kilele cha mafanikio.
Nilitamani hii mada ingeendelea kule kwenye ule uzi wangu hapa ilikuwa kujibu tu yale ma swali ya startup wenzangu nilipoona kumbe kunauhitaji waku share ninacho kifanya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmh kweli mkuu huo utaalamu muhimu sana kuwa nao, umeiva sana kwenye business models?
Nina MBA na CPA.

Business models za vitabuni kwa africa ni ngumu sana na wengi wanafeli. Ila watu kama sisi tunazidigest, getting back to the basics and skeletons kisha nitakucoach fanya ABCD.....

Biashara siol lazima uwe mchawi au uende kwa mganga, biashara ni sayansi
 
Ndo maana huyu kaambiwa akachukue mkopo.

Chukua mkopo bakiza ownership yako na control. Lkn kwa nn hawataki mikopo? Mkopo ni mgumu kupata kuliko kuuza shares. Kuuza shares ni rahisi kufanya pump and dump. Kama mtu kweli anaamini kwenye biashara yake (achana na wanaaoanza kabisa) na case ya mleta mada (20m valuation) hakuna sababu yyt ya kukimbia mkopo unayoweza nishawishi nayo unless kwa point nilizosema hapo juu
Nikweli mkuu, anyway kuna muda niliona amesema kutokana na imani yake hawezi kuchukua mkopo lakini mimi ningesuggest labda kitu kimoja, ili kuEnsure kwamba hela ya Investor iko salama awe na kitu cha kuweka kama collateral. Nadhani kama anajiamini kweli na biashara yake anaweza kuwa willing kurisk asset.
 
The first day nimeona uzi wake nikasoma nikaishia hapo nikaenda kusoma upuuzi wa kina rikiboy kule MMU wanavyokulana kimasihara.

Kuna point kubwa sana hapo. Investor yyt anaejitambua hawezi kuweka hata mia kwa hio doubt pekee.

Kama hataki kupata mkopo inamaanisha moja kati ya hizi assumptions ziko sahihi.
1)Biashara haina credit score/history nzuri.
2)Biashara haina assets (hio thamani ya 20m sijui kaipataje)
3)Biashara ina deni sugu hvo hawezi pewa mkopo tena.
4)ANAOGOPA MIKOPO* (anaogopa kudefault)

Hio 4 ni njia nyingine ya kusema huamini kwenye biashara yako, sabab kama unaogopa mkopo (ambao unaweza pata kwa hadi 10%) ni kwamba una hofu utapoteza dhamana unazoweka.

Siandiki hivi kuwa negative, lengo langu ni kumsaidia mtoa mada sababu nimedeal sana na issue kama hizi
Mkuu siwezi kukupinga unachokiamini na umesemesa una uzoefu wakutosha na startups ningetamani usubiri majibu ya yale maswali mawili uliyohitaji majibu

Kuhusu 20m
Nina machines za 12m na 8m ni working capital

Kuhusu hayo mambo manne ambayo umeyasema hapo sorry to say sina hata moja
Nipo radhi kukupa jina langu halisi PM ukanipekue kuanzia TRA mpaka kwenye banks za mikopo

Asante kwa maoni yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikweli mkuu, anyway kuna muda niliona amesema kutokana na imani yake hawezi kuchukua mkopo lakini mimi ningesuggest labda kitu kimoja, ili kuEnsure kwamba hela ya Investor iko salama awe na kitu cha kuweka kama collateral. Nadhani kama anajiamini kweli na biashara yake anaweza kuwa willing kurisk asset.
Biashara ni sayansi, ukiingiza imani kwenye sayansi ushafeli asubuhi sana. Chagua kimoja kati ya imani au sayansi. Half ins, half outs utaishia kupasuka msamba.

Unachosema kuweka collateral hapo si ndo mkopo
 
Kagusa maeneo yangu

Mimi nikija kuangalia biashara ya mtu naweza jua huyu anatoboa au hatoboi au ni pump and dump scheme. Kkoo pale nimesaidia wengi sana, ila hapa jf hizi fake ids zinatupa freedom ya kuwa wehu na kudharaulika pia
Nakuja PM kuomba appointment na wewe ya ana kwa ana,
Sahau kuhusu fake ID jina na picha ni 90% mimi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina MBA na CPA.

Business models za vitabuni kwa africa ni ngumu sana na wengi wanafeli. Ila watu kama sisi tunazidigest, getting back to the basics and skeletons kisha nitakucoach fanya ABCD.....

Biashara siol lazima uwe mchawi au uende kwa mganga, biashara ni sayansi
I would like to meet you sir, uko vizuri sana. Nimepata kuhudhuria pitching events kadhaa za Startups ni vichekesho [emoji23][emoji23][emoji23]. Mtu anaongea alafu anaomba $150,000 kirahisi tu kwa biashara ya kipuuzi ambayo haina ata uhakika wa kusurvive for 12 month kutokana na kutengeneza solution ya netflix kwenye nchi za Africa. Kwakweli asilimia 90% ya Founders wa Africa ukiwauliza kama watakuwa wanaongea the same thing wanachoongea the next 20 years majibu yatakuwa tofauti.
 
Ni kweli startups nyingi na founders wengi wapo kimaslahi zaidi wakishapata pesa za investors wanatoka kabisa kwenye lengo la biashara na kutimiza matakwa yao ambayo yaliwatuma kuanzisha hizo startups, lakini kwa upande wangu kama ningekuwa na shida na hela kwaajili ya kufund dreams zangu ningeuza hii kwa zaidi ya hiyo hela ninayotaja kutoka kwa investor.

Nataka kukuza biashara na kuongeza uzalishaji, soko ninalo la uhakika. Ntakucheck PM for more info.View attachment 2797501

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unataka kukuza biashara kuna njia nyingi. Ukinipa data zako nitakusaidia.

Unajua tatizo letu sisi binadamu tukiwa tunaenda kusolve tatizo huwa tayari tunakua na bias fln hv za solutions ambazo zinatufanya kukariri solution kadhaa tu na kutoona solutions nyingine.

Scaling unayoongelea inawezekana hata haihitaji mtaji ila umeshakariri kwamba unahitaji mtaji.

Nikiona data zako tunaweza ongea zaidi.
 
Nina MBA na CPA.

Business models za vitabuni kwa africa ni ngumu sana na wengi wanafeli. Ila watu kama sisi tunazidigest, getting back to the basics and skeletons kisha nitakucoach fanya ABCD.....

Biashara siol lazima uwe mchawi au uende kwa mganga, biashara ni sayansi
Tunaomba hizo sayansi siku moja moja ukipata nafasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu siwezi kukupinga unachokiamini na umesemesa una uzoefu wakutosha na startups ningetamani usubiri majibu ya yale maswali mawili uliyohitaji majibu

Kuhusu 20m
Nina machines za 12m na 8m ni working capital

Kuhusu hayo mambo manne ambayo umeyasema hapo sorry to say sina hata moja
Nipo radhi kukupa jina langu halisi PM ukanipekue kuanzia TRA mpaka kwenye banks za mikopo

Asante kwa maoni yako

Sent using Jamii Forums mobile app
Wooow, that's interesting
 
Kama unataka kukuza biashara kuna njia nyingi. Ukinipa data zako nitakusaidia.

Unajua tatizo letu sisi binadamu tukiwa tunaenda kusolve tatizo huwa tayari tunakua na bias fln hv za solutions ambazo zinatufanya kukariri solution kadhaa tu na kutoona solutions nyingine.

Scaling unayoongelea inawezekana hata haihitaji mtaji ila umeshakariri kwamba unahitaji mtaji.

Nikiona data zako tunaweza ongea zaidi.
Kabla sijafanya uamuzi huu nimepitia kwa wabobezi kadhaa kuomba ushauri na mwisho wa siku nalazimika ku inject some cash,
Kuhusu kukopa mkuu siwezi kopa,imani yangu ya dini inanibana sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I would like to meet you sir, uko vizuri sana. Nimepata kuhudhuria pitching events kadhaa za Startups ni vichekesho [emoji23][emoji23][emoji23]. Mtu anaongea alafu anaomba $150,000 kirahisi tu kwa biashara ya kipuuzi ambayo haina ata uhakika wa kusurvive for 12 month kutokana na kutengeneza solution ya netflix kwenye nchi za Africa. Kwakweli asilimia 90% ya Founders wa Africa ukiwauliza kama watakuwa wanaongea the same thing wanachoongea the next 20 years majibu yatakuwa tofauti.
Kama umeona hilo na ww bado ni kijana basi una dalili za kutoboa.
 
Kabla sijafanya uamuzi huu nimepitia kwa wabobezi kadhaa kuomba ushauri na mwisho wa siku nalazimika ku inject some cash,
Kuhusu kukopa mkuu siwezi kopa,imani yangu ya dini inanibana sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuachane na issue ya kukopa.

Twende na namba.

Umesema una mashine za 12 m na working capital ya 8m. Na unahitaji capital ya 10m?

Nipo sawa hadi hapo?
 
Tuachane na issue ya kukopa.

Twende na namba.

Umesema una mashine za 12 m na working capital ya 8m. Na unahitaji capital ya 10m?

Nipo sawa hadi hapo?
Kama nipo sawa (kutokana na maelezo yako ya awali)

Kwa haraka kabisa sioni sababu ya wewe kutaka hio 10m. Sijajua hao wabobezi ulowacheki waliona nn.

Jua limiting factors za biashara yako ku scale, na huo ni mchezo wa namba tu.

Tafuta njia ya kuongeza wateja. Namba pia. Vyanzo vyako vya wateja ni vipi? Je unaweza kuvipanua. Review sale funnel zako uone wapi zinapwaya na wapi ziko vzr. Nunua CRM package ikusaidie kwenye hilo.

Kuongeza wateja lazima uwe na products ya kutosha. Maximize production yako. Delete whatever u can delete.

Pricing yako. Je ipo too high kiasi kwamba hata watu wanashindwa kuconsider products zako au je ipo too low kiasi kwamba haupati faida nzr. Tafuta equllibrium hapo.

Cheza na hayo maeneo. Na kwa aina ya biashafa yako ni rahisi sana kuscale, niamini mm. Sababh unauza kitu unachokitengeneza kwa bei unayopanga. That means kuna factors nyingi zipo ndani ya control yako, ni ww kuziona na kucheza nazo.

Ningeona data zako ningekupa mwanga zaidi. See u when I'm online next time.
 
Tuachane na issue ya kukopa.

Twende na namba.

Umesema una mashine za 12 m na working capital ya 8m. Na unahitaji capital ya 10m?

Nipo sawa hadi hapo?
Ndio mkuu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Leo nakesha hapa na kesho ni Monday
Haya tuendelee ukiona sikujibu ujue usingizi umenipitia ntakujibu nikiamka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliapia sitokuja kuongelea kitu chcht serious humu JF zaidi ya pombe na ngono ila ngoja leo nikushauri kitu sababu nimeona sana mabandiko yako na sijui kwa nn yananiangukia

Nimefanya kazi za kuallocate funds kwenye startups kutoka kwenye foundations kadhaa nje na ndani ya nchi. Wengi ni wanasiasa kama wewe(usiishie kusoma hapo, vuta pumzi tuendelee). Wanalenga kutoa first impression kwa maneno mataam lkn biashara zao ni zero. Startups nyingi zinakufa hata kama walipewa funds sababu executives na founders ni wanasiasa tu, wanajua theory ya biashara na maneno mazito ya kutongoza investors ila hawajui kuedesha biashara kutokana, kutumia data, takwimu na saikolojia ili kufanya biashara iwe profitable zaidi.

Siku hizi nikisikia neno startup nataka hadi kutapika. Cheki kuna waghana fln walipata hadi usd 86 million wanajiita DASH ila kampuni limekufa, nenda kwa jirani zako JUMIA wako wp sshv? startups za hapa tz ndo sitozitaja sababu founders lengo lao ni kupata funds wakanunue brevis wajenge nyumba then wafunge biashara.


Sasa mm nakuomba kitu kimoja tu. Takwimu za biashara zako katika makundi haya.

1)Zitakazonifanya NIWEKEZE kwenye biashara yako
2)Zitakazonifanya NISIWEKEZE kwenye biashara yako.

Hapo kwenye takwimu nataka zote ambazo unatumia kwenye biashara yako kama vile customer follow ups, leads to client ratio, stock turnover, na statistics zote (kama una utimamu wa biashara utajua namaanisha zipi)
lkn pia ambatanisha financial statements za toka mwaka ulioanza kufanya business hadi mwaka huu.


Nitumie PM na kama nitapenda ninachokiona nina 15million hapa cash imekaa inasubiri kufanyiwa starehe tu, nitawekeza nusu kwenye biashara yako. Ukiona risk kunitumia nambie nikupe calendar yangu uchague siku tuonane ofisini kwangu, nitakua na cash ww uje na hizo data.

Good luck sweetheart.
Mkuu Teslarati heshma yako.
 
Back
Top Bottom