joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Wengi wetu tunasikia neno"ila hatuliishi neno la Mungu",tatizo linakuja kwenye kumtambua aliye lisikia neno la Mungu,na AKALISHIKA NA KULIISHI NENO LA MUNGU (hapa wengi tunafeli).Mdau amezungumzia kushika neno la Mungu, wewe unazungumzia 'huko kanisani'... Mnaongelea vitu viwili tofauti, ipo tofauti ya kuokoka na kusali kwa walokole. Ukishika neno la Mungu kama mdau alivyosema hakika utapona
Kama demu wake alikuwa demu wa mshika switch ya umeme unategemea nnTobaaah had bill nass? [emoji102][emoji102][emoji102][emoji102]
Hakuna watu wanafki kama hao wanaojiita wameokoka.Mdau amezungumzia kushika neno la Mungu, wewe unazungumzia 'huko kanisani'... Mnaongelea vitu viwili tofauti, ipo tofauti ya kuokoka na kusali kwa walokole. Ukishika neno la Mungu kama mdau alivyosema hakika utapona
Bora avumilie kula chips kwa range rover kuliko kulia kwa bajajiHeeeeeeeh pesa bhana lol, wee dea nae uwiiiiiiih
Hahaaa nimetoka kapa wallahCode imeshavunjwa juu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah huu uzi umenisaidia,kuna harakati nilishazipanga hiki kipindi cha kampeni.
Dah asanteni wakuu
Kinachotakiwa ni wewe kulishika, kuhusu nani analishika sio kazi yako. Huo utetezi wa kusema si kila aliyepata hakushika neno ni utetezi wa kipuuzi...ni sawa na kuendesha gari ovyo eti si kila aliyepata ajali aliendesha ovyoWengi wetu tunasikia neno"ila hatuliishi neno la Mungu",tatizo linakuja kwenye kumtambua aliye lisikia neno la Mungu,na AKALISHIKA NA KULIISHI NENO LA MUNGU (hapa wengi tunafeli).
Na sio kwamba wote waliopata huu ugonjwa hawakulishika neno la Mungu au wadhambi no,kuna wengine wao ni waaminifu wanamjua na kumshika Mungu ila wenza wao waliokuwa wanawaamini kwamba wanaliishi neno la Mungu kumbe sio waaminifu.
Tunda mwenyewe ndio huyuhaya bwana
ARV zina nini mkuu, funguka hapaNdugu yangu hizo ARV zisikie tu ila watu wale wana mateso sana aisee..niliwahi meza PEP ni ARV zile zile ni balaa mkuu.
Hujawai kumuuguza mgonjwa wa ukimwi weweAcheni chuki binafsi kuwanyooshea watu vidole as af nyie ni wasafi sana kwa taarifa yenu tu ugonjwa hatari ni figo cancer ini sukari
Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
Kila nikiangalia mabaka ya miguuni siyaoni.Nimeona picha za Tunda insta baada ya Bilionea Laizer kutangazwa akijipa jina la Tunda Laiser
Picha zake zimeshtusha mashabiki kutoka na na muonekano wake akiwa kakonda na mabaka meusi yamemjaa miguuni.
Wamehoji pia ukimya wa mwanadada huyu ambaye kwake Social Media ilikuwa kama kifungua kinywa kila siku lazima apost na drama kibao.
Kipi kimemsibu?
Acha watu tupuge umbeya wewe, dunia hii hamna msafi mkuuAcheni chuki binafsi kuwanyooshea watu vidole as af nyie ni wasafi sana kwa taarifa yenu tu ugonjwa hatari ni figo cancer ini sukari
Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
Aliye mshauri ajiweke vile hampendi aisee.Kile kipindi chake cha cook with wema hadi anatia huruma, kabaki kichwa tu masikini
Hiyo diet anayotumia mi hapana asee
Kumjua nani kalishika inakuwa kazi yako hasa unapotafuta mwenza wa maisha yako au unapoishi na mwenza wako.Kinachotakiwa ni wewe kulishika, kuhusu nani analishika sio kazi yako. Huo utetezi wa kusema si kila aliyepata hakushika neno ni utetezi wa kipuuzi...ni sawa na kuendesha gari ovyo eti si kila aliyepata ajali aliendesha ovyo
Yeeeeeaaaah wee n noumer, ushafungua [emoji358] tayari.DiNe
Umerudia hoja ile ile ambayo nimeshakujibu, kwa hiyo tusitumie net kwa sababu kifo kipo tu usipokufa kwa malaria utakufa kwa kipindupindu?Kumjua nani kalishika inakuwa kazi yako hasa unapotafuta mwenza wa maisha yako au unapoishi na mwenza wako.
Hivi unajua kuna wakina mama wengi pamoja na kumjua Mungu,waaminifu lakini ugonjwa huu wameletewa na waume zao,hivyo hivyo kwa wanawame unayajua haya?
Sasa utasema hawa wamepata ugonjwa huu sababu hawajalijua neno la Mungu au hawajamshika Mungu?
Kuna watuwepata huu ugonjwa sio kwamba walikuwa wazinzi NO na kuokoka au kuliahika neno la Mungu sio kwamba eti hutapata magonjwa NO.
Sijarudia hoja bali nimepinga kusema walio athirika hawakulishika neno la Mungu na wewe nime kushangaa kusema utetezi wa kijinga,manake kama unacoclude wathirika wote hawakulishika neno la Mungu.Umerudia hoja ile ile ambayo nimeshakujibu, kwa hiyo tusitumie net kwa sababu kifo kipo tu usipokufa kwa malaria utakufa kwa kipindupindu?