cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Duuuh aseeeeeh kabisaaa dea wee hujamjua tyuuh, panga vuzur hili neno, "dnyde" utapata jinaJamani na kichwa ngumu huyo msanii ni Nani maana bongo flavor ya jux najua moja tu the test sijui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh aseeeeeh kabisaaa dea wee hujamjua tyuuh, panga vuzur hili neno, "dnyde" utapata jinaJamani na kichwa ngumu huyo msanii ni Nani maana bongo flavor ya jux najua moja tu the test sijui
[emoji23][emoji23][emoji23] basi panga hili neno vizur utapata jina, "dynde".[emoji1787][emoji1787][emoji1787] duuh mimi wa shamba watu wa mjini nitawajulia wapi
Ngoja niende kwa jux page yake hapo kupanga nitajichosha tuDuuuh aseeeeeh kabisaaa dea wee hujamjua tyuuh, panga vuzur hili neno, "dnyde" utapata jina
Sijasema hivyo usiniwekee maneno mdomoni. Point yangu ni kuwa tusishike neno la Mungu kwa kuwa wapo wanaopata ugonjwa licha ya kulishika neno? Timiza wajibu wako wa kujilinda wewe kama wewe, ukiletewa iwe bahati mbayaSijarudia hoja bali nimepinga kusema walio athirika hawakulishika neno la Mungu na wewe nime kushangaa kusema utetezi wa kijinga,manake kama unacoclude wathirika wote hawakulishika neno la Mungu.
Kuna mama alifariki 2013 aliletewa na mumewe yuko serikalini ni mtu wa safari sana yeye bado anadunda japo kuna kipindi afya ilimyumbia naona akakimbilia ARV angemshauri na mkewe ingesaidia sasa akafichaficha mama wa watu mama wa nyumbani kaugua mpaka kafariki.Kumjua nani kalishika inakuwa kazi yako hasa unapotafuta mwenza wa maisha yako au unapoishi na mwenza wako.
Hivi unajua kuna wakina mama wengi pamoja na kumjua Mungu,waaminifu lakini ugonjwa huu wameletewa na waume zao,hivyo hivyo kwa wanawame unayajua haya?
Sasa utasema hawa wamepata ugonjwa huu sababu hawajalijua neno la Mungu au hawajamshika Mungu?
Kuna watu wepata huu ugonjwa sio kwamba walikuwa wazinzi NO na kuokoka au kulishika neno la Mungu sio kwamba eti hutapata magonjwa NO.
Nimeshaelewa shida Mimi underground siwajuhiYeeeeeaaaah wee n noumer, ushafungua [emoji358] tayari.
Sijajua hapa ulimaanisha nini?Sijasema hivyo usiniwekee maneno mdomoni. Point yangu ni kuwa tusishike neno la Mungu kwa kuwa wapo wanaopata ugonjwa licha ya kulishika neno? Timiza wajibu wako wa kujilinda wewe kama wewe, ukiletewa iwe bahati mbaya
Jasiri muongozaji nae kapiga spana nini??apo.Haswaaaaah
Nimesema ni utetezi wa kipuuzi kwa sababu wewe unasema kushika neno la Mungu sio kinga maana wapo walioshika na wakapata. Kwa hiyo tuache kushika neno kwa sababu unaweza ukashika na ukaletewa na mwenza?Sijajua hapa ulimaanisha nini?
"Huo utetezi wa kusema si kila aliyepata hakushika neno ni utetezi wa kipuuzi..."
Kauli yangu mimi nilicho manisha ni hiki ulichokiandika wewe ambacho mwanzo ulikipinga.
"Timiza wajibu wako wa kujilinda wewe kama wewe, ukiletewa iwe bahati mbaya"
Ndio maana nikasema kuna watu wamepata ugonjwa huu sio kwamba eti walikuwa hawajamshika Mungu ,bali imani yao kwa wenza wao ndio imewaponza.
So unaweza ukatimiza wajibu wako vipi nae mwenza wako ndicho nilicho maanisha mimi.
Sikumanisha hivyo na neno Mungu kulishika aimanishi eti hutokutwa na ugonjwa NO.Nimesema ni utetezi wa kipuuzi kwa sababu wewe unasema kushika neno la Mungu sio kinga maana wapo walioshika na wakapata. Kwa hiyo tuache kushika neno kwa sababu unaweza ukashika na ukaletewa na mwenza?
Mfano wa Temeke anaenda ubungo, wa Ubungo anaenda Temeke.Sasa km list Ni ndefu hivi..hizo ARV wanaenda kuchukua hosp gani kwa vificho maana mahosp sehemu za Arv zinajulikana
Au ndo wanafanyiwa delivery [emoji849][emoji849]
Point yangu Ni Hawa macelebritiesMfano wa temeke anaenda ubungo, wa ubungo anaenda temeke
Naomba unipime.Na nyie humu vipi wazima?au kuchongoa tu
Unanichosha tu wewe unatoa hoja na kujibu mwenyewe...ngoja nikakojoe nilale zanguSikumanisha hivyo na neno Mungu kulishika aimanishi eti hutokutwa na ugonjwa NO.
Kushika shika ndio wajibu wako wa kwanza kulishika na kuliishi neno la Mungu,lkn sio kwamba eti hutokutwa ugonjwa NO sababu umelishika neno la Mungu.
Sometimes ugonjwa huo huo ambao unaweza ukaupata kwa BAHATI MBAYA ukawa ni kipimo cha IMANI YAKO.
Ok usiku mwema.Unanichosha tu wewe unatoa hoja na kujibu mwenyewe...ngoja nikakojoe nilale zangu
Kuna watu wana kinga imara za mwili virus vinaingia na kushambuliwa na kupotea kabisaHuu ugonjwa nao saa nyingine@Deception huwa ana point saa nyingine confusions sana
Inaweza kuwaKuna watu wana kinga imara za mwili virus vinaingia na kushambuliwa na kupotea kabisa
Nyie bana, umeme usikieni tu.
Kama virus si kwel nakuomba nenda ambiance chkua malaya piga kavu ndan ya mwez m1 uje utoe uthibitisho wa theory yakoWabongo bana Kuna magonjwa hatari Kama kansa au homa ya ini , kisukari na kufeli kwa Figo ndio magonjwa mnapaswa kujiepusha nayo na sio Huo upuuzi eti HIV ... Hizo ni biashara za watu.Ukimwi kila mtu anao.. Kwani nani Hana ukimwi !! Nani Kinga zake huwa hazishuki ? Hata stress zinashusha kinga Sasa mnashangaa Nini.
Achaneni na huo utumwa wa wazungu kuwageuza soko la hizo ARVs zao zinazoenda kuharibu Figo, ini na kusababisha kansa ya shingo ya kizazi kwa wanawake (cervical cancer). Ukifuatilia watu wote wanaotumia ARVs mwisho wa siku hufa na moja ya hayo magonjwa.
Kwa hizi network zilizotajwa humu Kama kweli kungekuwa na uhalisia wa huo upuuzi HIV Basi nchi nzima ingekuwa na waathirika wa ukimwi maana ni nadra kwa mwanaume kuwa na mwanamke mmoja. Halafu hivi tangu lini Kinga zangu kuwa chini zinaweza kumuambukiza mtu mwingine ???
Hivi mnajua stress zinashusha kinga ? Sasa nitawezaje kumuambukiza mtu mwingine mwenye Kinga na mzima kabisa !!! ... Mambo mengine sio mpaka muende vyuon tumien common sense
Acheni ngono zembe msije kupata homa ya ini na magonjwa mengine na sio eti HIV ... Hakuna hicho Kitu guys. Mnateketea kwa kukosa maarifa.