Cappuccino Tunda kapatwa na ugonjwa gani?

Cappuccino Tunda kapatwa na ugonjwa gani?

Mimi ni Daktari, Naomben mniulize swali lolote lile kuhusu HIV.

Niulizeni mimi hapa ambaye Wagonjwa ndio marafiki zangu.


Niulizen mimi hapa, ambaye nilifanya shule ya miaka mitano kwaajili yenu.

Niulizeni, achaneni na Huyo mtu wenu anayegugo mambo.
Huu ugonjwa nao saa nyingine@Deception huwa ana point saa nyingine confusions sana
@Deception kama nataka kumwamini
UKIMWI UPO.
 
Mimi ni Daktari, Naomben mniulize swali lolote lile kuhusu HIV.

Niulizeni mimi hapa ambaye Wagonjwa ndio marafiki zangu.


Niulizen mimi hapa, ambaye nilifanya shule ya miaka mitano kwaajili yenu.

Niulizeni, achaneni na Huyo mtu wenu anayegugo mambo.UKIMWI UPO.
Inakuaje ndugu yangu mke wake kafa kwa ngoma na ana mtoto wa miaka 21 naye ana ngoma,lakini baba hana?
 
Mimi ni Daktari, Naomben mniulize swali lolote lile kuhusu HIV.

Niulizeni mimi hapa ambaye Wagonjwa ndio marafiki zangu.


Niulizen mimi hapa, ambaye nilifanya shule ya miaka mitano kwaajili yenu.

Niulizeni, achaneni na Huyo mtu wenu anayegugo mambo.UKIMWI UPO.
Yaan kwakweli tusaidie Dr maan huyu mtu anatoa logic za uwongo hadi aibu mweeeeeeeh. Khaaaaah
 
Na jamaa kaoa mke mwingine na ana mtoto mwingine mdogo mwenye afya tele.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usinichekeshe mie et mto mwingne mdogo mwenye afya tele, mweeeeeeeeh
 
Afya yangu iko vizuri tu mkuu ondoa shaka pia mtu akishatumia ARV ni ngumu kuambukiza ivo mimi namtazama mtu tu kwa macho tayari najua apa niende dry au nivae mpira
Najua siwezi kuwa Correct 100% mana hakuna kitu kina efficiency ya 100 hata machine ina errors
Mzee wa kupima kwa macho [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Hii hali kitaalam hujulikana kama serodiscordant couple, ambapo Mwenza mmoja anakua na maambukizi ya HIV lkn mwengine Hana hata kama wamekua wakifanya Ngono bila kutumia Kinga.

Nini hasa kinachotokea? Je HIV ni kitu cha kufikirika?? HAPANA..... jambo pekee hapa ni BAHATI BAHATI BAHATI yaaan uwezekano wa kupata HIV ikiwa ataendelea kufanya ngono zembe nahuyohuyo mtu kuna siku angepata maambukiz.

HIV ni kirusi kirusi kigumu kukipata , Hii inamanisha Exposure moja tu haitoshi kukupa maambukizi, lkn bado ukweli nikwamba itakuchukua mara moja tu kupata HIV.

Je Mwanaume na Mwanamke nani yupo ktk hatari zaidi ya kupata maambukizi hata mara moja tu toka siku alalae na mwathirika???? .

Jibu hapa ni Moja...MWANAMKE . Kwann?? Kwa sababu ya anatomia ya maungo ya mwanamke yanamfanya awe ktk risk kubwa sana. Kivipi?? Kuta za uke ni mucosal membrane ambayo kutoka na uundwaji wke inaruhusu HIV kupita , so mwanaume Mgonjwa anapomwagia shahawa mwanamke, uwezekano wahuyo mwanamke kukwaa ni mkubwa.. lkn pia Mwanamke mgonjwa kumpa mwanaume , kutokana na umbile la mwanaume basi nilazima MICHUBUKO iwepo kwenye uume, au itokee majimaji ya uke yamepenya kupitia mlango wa kutolea shahawa kwa mwanaume.

Sasa kwann Ndugu yako hakupata???? Ni sababu kwanza ya Bahati,, Sababu za kimaumbile, aina ya ngono alokua anafanya , lkn huwezi amini kama angendelea kumgegeda kavukavu kuna siku angeukwaa tu hamna namna.( mwanamke mgonjwa anaweza gegedana na wanaume 10 asiwape maambukizi, lkn mwanamke mzima akugegedwa na mwanaume mmoja wawili wagonjwa wakampa maambukizi)namaanisha ivi Suala la nani mwenye maambukizi kati ya anayegegeda au anayegegedwa ? Pia lazima lizingatiwe.

Kwann mtoto aliupata?? Watoto wengi wanapata maambukizi wakati wa kuzaliwa tena tena hasa kwa mama asotumia Dawa, na kwa maendeleo ya Dawa hizi zakupunguza makali, kwasasa maambukizi ya mama kwenda kwa mtoto yamepungua sana kiasi kwamba kama MJAMZITO ANATUMIA DAWA vizuri ,kwa usahihi na kwa muda sahihi , Basi ni uzembe wa watoa huduma wa afya ndio utakaopelekea mtoto kupata maambukizi.

NINI FAIDA YA UTUMIAJI WA DAWA ZA KUPUNGUZA MAKALI YA HIV???

Mtumiaji wa Dawa hizi aliyezitumia kwa miezi zzaidi ya sita nakuendelea, kiwango cha viral load huwa kinakua undetectable , na pindi pindi kinapokua undetectable basi mtu huyu hana uwezo wakuambukiza kwa njia ya Ngono (au upo lkn kwa kiwango cha chini sanaaaaa) naivo anakua ktk nafasi yakua mwenye Afya zaidi, aliyenawiri .

Bila shaka nimejibu namengineyo.
Inakuaje ndugu yangu mke wake kafa kwa ngoma na ana mtoto wa miaka 21 naye ana ngoma,lakini baba hana?
 
Wanazani wanapendwa kumbe wanamalizwa wewe acha tu,plus yule dem alizaa na Steve Nyerere ana bonge la shepu,Sanchi anasubiri nae zamani sana.
Una maanisha sangoma ile nyimbo ya Yvonne Chakachaka?! Steve Nyerere mwenyewe watu wanasema Dally Kimoko kitambo! Tobaa [emoji2817][emoji2817][emoji2817][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Kuna mbongo movie mmoja sasa hivi kajikita kwenye ushonaji wa nguo.Miaka ya nyuma Kipindi yupo kambini room walikuwa wanakaa watatu watatu watu waliona ARV kila mtu alizikataa sio zake.

Baadaye akaweka masharti ukimtaka kwenye movie yako basi sharti umpe chumba chake mwenyewe.Wasanii wetu wawili wakubwa washapita,yule mtangazaji aliyepewa kijiti na Salama nae kapiga,waziri mkuu wa awamu ya 4 nae kapiga.

Sasa hivi kahamia kwa vijana wadogo wenyewe wanajiona wanapendwa kumbe wanaunganishwa kwenye mtandao.
Atakua wolper gambe
 
Hapana mie simtetei ila naongea kwa uhalisia, mbna mdogo ake mimi mars tayari yupo kweny orodha.
Daah! Mimi mars namkubali sana yule dada
1593303548625.png
.
 
Mim nina phd ya kutumia condom nadhan...yaan sit.ombi bila hyo kitu hata sku1..na huwa na mashart nayo

Jins ya kuvaa..na sometime kama sikuelew navaa had mbili.utam kitu gan buana

Denda sipigi

Siku nikishave bas lazma nikae siku4 ndo naingia mechi

Niko na mashart yangu ambayo mtu mwingne huwez nielewa
Unakosea sana kutumia kondomu mbili. Unafanya kama nilivyokuwa nikifanya nikipokuwa O level kipindi sijapata elimu kuhusu matumizi sahihi. Zinasuguana zenyewe.
 
Back
Top Bottom