Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Jux na neddy music...Mbona mnaandika vifupisho?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jux na neddy music...Mbona mnaandika vifupisho?
Huu ugonjwa nao saa nyingine@Deception huwa ana point saa nyingine confusions sana
UKIMWI UPO.@Deception kama nataka kumwamini
Sio sasa,hio ilikua zamani.Marehemu hadhihakiwi, ipo hivyo yaani.
Inakuaje ndugu yangu mke wake kafa kwa ngoma na ana mtoto wa miaka 21 naye ana ngoma,lakini baba hana?Mimi ni Daktari, Naomben mniulize swali lolote lile kuhusu HIV.
Niulizeni mimi hapa ambaye Wagonjwa ndio marafiki zangu.
Niulizen mimi hapa, ambaye nilifanya shule ya miaka mitano kwaajili yenu.
Niulizeni, achaneni na Huyo mtu wenu anayegugo mambo.UKIMWI UPO.
Hapo na me nashangaa sanaInakuaje ndugu yangu mke wake kafa kwa ngoma na ana mtoto wa miaka 21 naye ana ngoma,lakini baba hana?
Yaan kwakweli tusaidie Dr maan huyu mtu anatoa logic za uwongo hadi aibu mweeeeeeeh. KhaaaaahMimi ni Daktari, Naomben mniulize swali lolote lile kuhusu HIV.
Niulizeni mimi hapa ambaye Wagonjwa ndio marafiki zangu.
Niulizen mimi hapa, ambaye nilifanya shule ya miaka mitano kwaajili yenu.
Niulizeni, achaneni na Huyo mtu wenu anayegugo mambo.UKIMWI UPO.
Na jamaa kaoa mke mwingine na ana mtoto mwingine mdogo mwenye afya tele.Hapo na me nashangaa sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usinichekeshe mie et mto mwingne mdogo mwenye afya tele, mweeeeeeeehNa jamaa kaoa mke mwingine na ana mtoto mwingine mdogo mwenye afya tele.
Mzee wa kupima kwa macho [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]Afya yangu iko vizuri tu mkuu ondoa shaka pia mtu akishatumia ARV ni ngumu kuambukiza ivo mimi namtazama mtu tu kwa macho tayari najua apa niende dry au nivae mpira
Najua siwezi kuwa Correct 100% mana hakuna kitu kina efficiency ya 100 hata machine ina errors
Inakuaje ndugu yangu mke wake kafa kwa ngoma na ana mtoto wa miaka 21 naye ana ngoma,lakini baba hana?
Una maanisha sangoma ile nyimbo ya Yvonne Chakachaka?! Steve Nyerere mwenyewe watu wanasema Dally Kimoko kitambo! Tobaa [emoji2817][emoji2817][emoji2817][emoji2445][emoji2445][emoji2445]Wanazani wanapendwa kumbe wanamalizwa wewe acha tu,plus yule dem alizaa na Steve Nyerere ana bonge la shepu,Sanchi anasubiri nae zamani sana.
🤣🤣🤣🤣😂 wanachongoa sana utadhani Wanaishi sayari nyingine?!Na nyie humu vipi wazima?au kuchongoa tu
Atakua wolper gambeKuna mbongo movie mmoja sasa hivi kajikita kwenye ushonaji wa nguo.Miaka ya nyuma Kipindi yupo kambini room walikuwa wanakaa watatu watatu watu waliona ARV kila mtu alizikataa sio zake.
Baadaye akaweka masharti ukimtaka kwenye movie yako basi sharti umpe chumba chake mwenyewe.Wasanii wetu wawili wakubwa washapita,yule mtangazaji aliyepewa kijiti na Salama nae kapiga,waziri mkuu wa awamu ya 4 nae kapiga.
Sasa hivi kahamia kwa vijana wadogo wenyewe wanajiona wanapendwa kumbe wanaunganishwa kwenye mtandao.
Kumbe Jux ni punga zeze?! Ndio maana anapenda sana kulamba lipsWakati anatoka na jux....kuna time jux alikua anapita kwa wolper pia.....hata hivyo jux pia muhuni yule.anatafuna hadi vidume
Daah! Mimi mars namkubali sana yule dadaHapana mie simtetei ila naongea kwa uhalisia, mbna mdogo ake mimi mars tayari yupo kweny orodha.
B Dozen nasikia ni punga long time sana. Alafu ni washkaji kinoma. Inawezekana kweli..Una habari Sana motonoto huyu jux naskia Kuna kudume mwenzako anakila kilikuwa clouds kimehamia e radio.
Hahaaa eti logic za uongoYaan kwakweli tusaidie Dr maan huyu mtu anatoa logic za uwongo hadi aibu mweeeeeeeh. Khaaaaah
Jf kila kitu kinajadiliwa bwana we dare to talk openly the slogan saysIla kujadili personal lives za watu basing on emotions sio poa
Maana akielezea hizo logic zake cocastic kasema false logic eti@Deception kama nataka kumwamini
Unakosea sana kutumia kondomu mbili. Unafanya kama nilivyokuwa nikifanya nikipokuwa O level kipindi sijapata elimu kuhusu matumizi sahihi. Zinasuguana zenyewe.Mim nina phd ya kutumia condom nadhan...yaan sit.ombi bila hyo kitu hata sku1..na huwa na mashart nayo
Jins ya kuvaa..na sometime kama sikuelew navaa had mbili.utam kitu gan buana
Denda sipigi
Siku nikishave bas lazma nikae siku4 ndo naingia mechi
Niko na mashart yangu ambayo mtu mwingne huwez nielewa