Cappuccino Tunda kapatwa na ugonjwa gani?

Marehem baba yangu mkubwa alikuwa mwanajeshi,alianza kuugua na kupungua mpaka akaachishwa kazi akajiuguze,akarudi home kijijini anauguzwa namuona anavyoshuka viwango vya uzito na nk.

Mpaka anakuja kukata moto hatamaniki,cha ajabu mkewe alikuja kufariki 15yrs letter akiwa na mwili wake tough,si HIV iliyomuondoa.nahisi huyu father baada ya kuona kawaka,alimuweka wazi mkewe.
 
Pata magonjwa yote lakn sio HIV, huo ugonjwa ni mbaya Sana , ni amsha na ni fedheha pia .......
 
alipata SAFURA ila sasa anaendelea vizuri
 
Wakuu! Mwenye link ya telegram.[emoji2954][emoji2954][emoji2954]
 
We zilete tu ukifika nazo ndio tutajua
Oyaa!! Hapa sio mahali sahihi, njoo kule Permanent Magnet!! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Oyaa!! Hapa sio mahali sahihi, njoo kule Permanent Magnet!! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
[emoji13][emoji13][emoji13]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…