Cappuccino Tunda kapatwa na ugonjwa gani?

Cappuccino Tunda kapatwa na ugonjwa gani?

Mimi ni Daktari, Naomben mniulize swali lolote lile kuhusu HIV.

Niulizeni mimi hapa ambaye Wagonjwa ndio marafiki zangu.


Niulizen mimi hapa, ambaye nilifanya shule ya miaka mitano kwaajili yenu.

Niulizeni, achaneni na Huyo mtu wenu anayegugo mambo.UKIMWI UPO.
Nijibu haya maswali kadhaa
1. Je condom inapitisha virus vya ukimwi kama watu wanavyo dai?

2.je nikimla au kula denda na mtu mwenye virusi vya ukimwi naweza kuambukizwa?

3.je ni baada ya muda gani mtu huanza kuona dalili za ugonjwa wa ukimwi?

4. Virus vya ukimwi hukaa kwenye shahawa?

5.virusi vya ukimwi hukaa kwenye mate?

6.vidonge vya kupunguza makali ya virusi vya ukimwi (ARV) humezwa kila baada ya muda gani?

7.je mtu aliye ambukizwa virusi vya ukimwi asipo tumia vidonge vya kupunguza makali ya virusi hata kwa siku moja hupata madhara gani?

8.je ikitokea mtu ametambua kuwa kwa namna moja au nyingine ameambukizwa virusi vya ukimwi muda mfupi ulio pita anatakiwa afanyaje ili kujiokoa (namaanisha uwezekano wa kujiokoa upo?)

9. Muda sahihi wa kupata majibu ya mtu kama ameambukizwa ukimwi ni baada ya siku ngapi?

10. Mtu anaye tumia ARV huweza kuishi kwa muda gani?

Nijibu hiyo top ten yangu kwanza kisha mengine nitakuuliza mdogo mdogo.
 
Mzeee kwa ufupi, Acheni kupotosha watu na mautopolo yenu hayo mnayoyasoma mitandao ili hali mko nje ya kada .


Nahii huenda ni matokeo ya maisha yasokumbuka kutembelea Wagonjwa mahosp na kuwapa misaada midogo midogo.


Nmekupa Ofaaa ,unakwepa kwepa na mablaah blaah.

Kwann usiwe shuhuda?? Ukaja humu nakusema , jaman tarehe fulani nilikutana na Carlos , tukafanya moja mbili, na baada ya miezi mitatu, minne sita niko poaa kabisa ????

Kuna gharama yoyote katika hilo ?????


Wewe mwenyewe unaogopa ,alafu unakuja hapa kuwalisha watu matangopori yako ya kugugo .


Yaan Dunia inavyopambana na hii kitu, weee Mwanautopolo mmoja unaleta utopolo utopolo? .
I'll be back niko somewhere drinking ...


Nakuahid tu hoja zako ni nyepesi mno nasikitika sana serikali inasomesha experts wenye ujinga and can't think outside the box Kama wewe.


Nimekupa uzi ukausome utaona sehemu ya majibu yako kuanzia tulipochomwa hizo sindano zako za HIV feki na blabla kibao.


Daktari wa vitini vya Nyambari Nyangwine unashindwa kusoma nondo za wakina Larry na Montgner si utakuwa na kichaa.


Hoja zangu unasema ni utopolo
 
Nijibu haya maswali kadhaa
1. Je condom inapitisha virus vya ukimwi kama watu wanavyo dai?

2.je nikimla au kula denda na mtu mwenye virusi vya ukimwi naweza kuambukizwa?

3.je ni baada ya muda gani mtu huanza kuona dalili za ugonjwa wa ukimwi?

4. Virus vya ukimwi hukaa kwenye shahawa?

5.virusi vya ukimwi hukaa kwenye mate?

6.vidonge vya kupunguza makali ya virusi vya ukimwi (ARV) humezwa kila baada ya muda gani?

7.je mtu aliye ambukizwa virusi vya ukimwi asipo tumia vidonge vya kupunguza makali ya virusi hata kwa siku moja hupata madhara gani?

8.je ikitokea mtu ametambua kuwa kwa namna moja au nyingine ameambukizwa virusi vya ukimwi muda mfupi ulio pita anatakiwa afanyaje ili kujiokoa (namaanisha uwezekano wa kujiokoa upo?)

9. Muda sahihi wa kupata majibu ya mtu kama ameambukizwa ukimwi ni baada ya siku ngapi?

10. Mtu anaye tumia ARV huweza kuishi kwa muda gani?

Nijibu hiyo top ten yangu kwanza kisha mengine nitakuuliza mdogo mdogo.
1-Kondomu haipitishi virusi, in fact utumiaji sahihi wa kondomu huzuia maambukizi kwa zaidi ya asilimia 85.

2-kama mtu huyo hana vidonda wala michubuko nawewe huna, basi busu na kunyonya mate hakuwez kukupa maambukizi..kwa ufupi lita 20 za mate ndizo zinaeza kukuweka kwa risk .

3-Dalili za maambukizi ya VVU zimegawanyika kutokana na hatua ya maambukizi na zinatofautiana mtu namtu . Ila mtu anapopata leo maambukizi , dalili za awali zinazotokana na Reaction ya mwili kupambana na kirusi huanza kuanzia wiki ya pili mpaka ya nne ,wengine huwahi hata siku ya tatu tuu... dalili hizi hudumu kwa wiki moja mpaka mbili kisha hutoweka, lkn kuvimba tezi inaweza kubakia kwa miezi hata miwili au isiwepo pia.

4-Virusi hukaa pia kwa shahawa

5-Mate yana enzymes ambazo kazi yake nikulinda kinywa naivo kufanya mazingira magumu kwa HIV , hata ivo kiwango kidogo ambacho ni negligible ndicho kinaweza patikana kiasi kwamba ni mpaka mate kuanzia lita 20 ndo unaweza kuta kiwango toshelezi cha kusababisha maambukizi.

6-Hutegemea na daraja na aina ya dawa mgonjwa, kwa mfano wapo wanaomeza kila baada ya masaa 12 asubuh jion...wapo wanaomeza kila baada ya saa 24 usiku tu.... mfano first line yasasa TLD unameza kimoja kila siku usiku.. na kwasasa mpango uliopo ni wagonjwa wote wa first line kutumia TLD.

7--madhara ya kutokumeza dawa kwa siku moja yanaweza kua madogo kiasi chakutoonekana mfano mtu kujisikia uchovu, tumbo kuuma , lkn ya kwa siku nyingi anafanya virusi vijenge usugu wa dawa naivo hazitamsaidia, hali itakayofanya vrusi kuzaliana kwa kasi na kushusha kinga ya mwili haraka.

8-uwezekano upo wakujiokoa, huku hosp wahudumu wanajichoma sindano za waathirika n.k , unachotakiwa ni kuwahi kituo cha Afya chenye huduma za CTC na kupewa PEP ndani ya masaa 72 .
Kuna Jamaangu keshajichoma.mara mbili sindano ya mwathirika namoja akiwa anamshona ,lkn mara zote alimeza PEP na yuko vzuri wakati mwingine ni Bahati ya Mungu.


9-vipimo vya HIV kwasasa tunavyotumia ni vile vinavyodetect antibodies wanaozalishwa nakinga kupambana na HIV.. sasa kuna sababu nyingi zinazopelekea antibodies kuwahi au kuchelewa kuzalishwa, namara mtu anapozalisha antibodies tu basi vipimo hivi huweza kugundua maambukizi yake.
Mfani mtu wakisukari, kansa ,atachelewa kuzalisha antibodies wakupambana na HIV sababu apo alipo tu kinga yake ipo chini... kwaiyo huyu humchukua karibu mwezi mpaka miezi mitatu ndipo atagundulika...lkn ww mzm wa afya, mwili huzalisha antibodies kuanzia wiki ya pili na kiendelea ivo ndani ya mwezi mmoja mtu atagundulika nahii pia hutegemea sensitivity na specificity ya kipimo kilichotumiwa. Kwaujumla ndani ya mwez mpaka miezi mitatu mtu husoma... kwawale ambao kinga ipo chini sababu ya maradhi yao wengine huenda hadi miezi sita ingawa ni nadra sanaaa.

10-kwa kuzingatia utumiaji mzuri wa dawa, kula lishe bora, mazoezi na maisha yasokua namsongo wa mawazo, ARVs humwongezea mtu miaka 25---35 .
Kwa bongo bongo ,msosi, kupenda ulevi, ngono, nakukaribisha maambukizi mapya, huishia kufanya miaka 20 tu.
 
Nimesoma uzi hayo maswala ya wasanii kuwa kwenye grid ni noma,na mm nichangie kuhusu HIV

HIV ipo wakuu tena ni ya kumwaga yani HIV kuipata kidogo sio rahis kwasabab mpaka damu zigusane close contact inamaana show ya kibabe au mchubuke
Hapa ndo zinakuja sabab 2 ambazo kwann mtu anaweza kuwa kuwa mke na mume lakini mmoja anao mwingine hana

1.utumiaji sahihi wa dawa- kama partner wako anao na anatumia dawa sahh atapima kipimo cha HVL(HIV VIRAL LOAD)na kwa ufasaha atakuwa kwenye TND(target not detected) yan mpaka mpaka machine ya PCR inashindwa kusoma maanake ARVs zitakuwa zimefubaza virus mpaka vimetoka kwenye damu/plasma na kujificha kwenye sanctuaries kwenye INI, na lymphatic system hapa si rahisi kumuambukiza mtu mwingine maana virus havipo kwenye damu kama utakumbuka mpaka damu igusane michubuko,ila kama mtu hatumii dawa vizur atakuwa na copies 1000 mpaka mil10 hapa ndo mwenye copies nyingi ni rahis kumuambukiza mwingine sabab zinakuwa kwenye damu mfano mwenye copies mpaka mil huyu unaweza kuta yupo kwenye stage kali ambayo virus vinakaa hadi kwenye sperm(kumbuka virus vya HIV havikai kwenye sperm sabab Hamna damu ila ukiwa hutumii dozi vizur vinafika

2.safe sex na kutahiriwa-hapa ni kuwa mtu alietahiriwa anakuwa kwenye asilimia kubwa za kutokupata HIv ndo maana mikoa ya Iringa,bukoba,mbeya ,njombe kunaukimwi sna sabb wengi walikuwa hawatahiriwi ukitahiriwa ngozi ya kichwa inakuwa imekomaa tayar haichubuki kirahis ndo maana serikali ilikuja na kampeni ya ondoa mkono wa sweater mikoa hyo,mikoa ya pwani hamna maambukizi mengi japo kunangono sabb wengi wametahiriwa,kwa upande wa mwanamke pia ni rahisi kupata sabab sehemu zake za ndani haziwez kukomaa kama mwanaume ukitahiriwa hii inasababisha wanawake rahisi sana kupata ukimwi sabab rahisi kwao kuchubuka,lakin kama mashoga nao sehemu za nyuma ni rahisi kuchubuka ndo maana rahisi kwao kupata maambukizi ndo wazungu wakaletaga vilainishi kupunguza maambukizi kwa mashoga sio kwamba walikuwa wanahamasisha maana ushoga ni product ya jamii yetu tunaitengeneza wenyewe wao walileta vilainishi kupunguza maambukizi,

Tusiwadanganye watu ukimwi haupo upo wa kutosha tofauti ya ukimwi na hepatitis B au homa ya INI ni kuwa maambukizi ya homa ya INI ni rahisi mfano jasho,kukiss,kugusana na majasho majimaji ya ukeni na body fluid na mtu mwenye hepatitis tofauti na ukimwi mpaka damu mchubuke ndo maana now hepatitis prevalence ni kubwa kuliko ya HIV na ndo maana mfanyakazi wa afya lazima uchomwenye chanjo ya homa ya INI sabab ya contacts
HIV dawa zake ni Kali sana na kumbuka dawa zinaanza Fanya kazi kwenye INI hapa ndo maana mgonjwa wa ukimwi kila baada ya mda anacheki INI na figo kumonitor almost dawa zote ni kama sumu

Pili ARVs zimesaidia sana kurefusha maisha sana na zinatesa mwanzo mtu akizoea zinakuwa okey zipo za aina tofauti na madaraja tofauti inshort ukiwa na HIV inabd uanze dawa kinachokuja kutokea ni mwili kuwa dependent, kama teja yani mwili unategemea dawa kutengeneza kinga ya mwili siku ukiachwa mwili wenyewe hauwez kupambana utatoka virusi 100 hadi mil10 hii huchukui miez 2 INI figo zote zinafeli unatembea,lakin pia kinachotupoza watu wananawili na dawa sana so ukimkadiria msala na sahv baada ya ARVs vifo vya wagonjwa wengi ni vya ghafla aliumwa kichwa usiku asubuh katembea
Hope nimejitahid kusaidia ntajitahd kujibu na vingine
 
Nimeona picha za Tunda insta baada ya Bilionea Laizer kutangazwa akijipa jina la Tunda Laiser

Picha zake zimeshtusha mashabiki kutoka na na muonekano wake akiwa kakonda na mabaka meusi yamemjaa miguuni.

Wamehoji pia ukimya wa mwanadada huyu ambaye kwake Social Media ilikuwa kama kifungua kinywa kila siku lazima apost na drama kibao.

Kipi kimemsibu?
View attachment 1491353
View attachment 1488949

Atakuwa aling'atwa na mbung'o miguuni.
 
1-Kondomu haipitishi virusi, in fact utumiaji sahihi wa kondomu huzuia maambukizi kwa zaidi ya asilimia 85.

2-kama mtu huyo hana vidonda wala michubuko nawewe huna, basi busu na kunyonya mate hakuwez kukupa maambukizi..kwa ufupi lita 20 za mate ndizo zinaeza kukuweka kwa risk .

3-Dalili za maambukizi ya VVU zimegawanyika kutokana na hatua ya maambukizi na zinatofautiana mtu namtu . Ila mtu anapopata leo maambukizi , dalili za awali zinazotokana na Reaction ya mwili kupambana na kirusi huanza kuanzia wiki ya pili mpaka ya nne ,wengine huwahi hata siku ya tatu tuu... dalili hizi hudumu kwa wiki moja mpaka mbili kisha hutoweka, lkn kuvimba tezi inaweza kubakia kwa miezi hata miwili au isiwepo pia.

4-Virusi hukaa pia kwa shahawa

5-Mate yana enzymes ambazo kazi yake nikulinda kinywa naivo kufanya mazingira magumu kwa HIV , hata ivo kiwango kidogo ambacho ni negligible ndicho kinaweza patikana kiasi kwamba ni mpaka mate kuanzia lita 20 ndo unaweza kuta kiwango toshelezi cha kusababisha maambukizi.

6-Hutegemea na daraja na aina ya dawa mgonjwa, kwa mfano wapo wanaomeza kila baada ya masaa 12 asubuh jion...wapo wanaomeza kila baada ya saa 24 usiku tu.... mfano first line yasasa TLD unameza kimoja kila siku usiku.. na kwasasa mpango uliopo ni wagonjwa wote wa first line kutumia TLD.

7--madhara ya kutokumeza dawa kwa siku moja yanaweza kua madogo kiasi chakutoonekana mfano mtu kujisikia uchovu, tumbo kuuma , lkn ya kwa siku nyingi anafanya virusi vijenge usugu wa dawa naivo hazitamsaidia, hali itakayofanya vrusi kuzaliana kwa kasi na kushusha kinga ya mwili haraka.

8-uwezekano upo wakujiokoa, huku hosp wahudumu wanajichoma sindano za waathirika n.k , unachotakiwa ni kuwahi kituo cha Afya chenye huduma za CTC na kupewa PEP ndani ya masaa 72 .
Kuna Jamaangu keshajichoma.mara mbili sindano ya mwathirika namoja akiwa anamshona ,lkn mara zote alimeza PEP na yuko vzuri wakati mwingine ni Bahati ya Mungu.


9-vipimo vya HIV kwasasa tunavyotumia ni vile vinavyodetect antibodies wanaozalishwa nakinga kupambana na HIV.. sasa kuna sababu nyingi zinazopelekea antibodies kuwahi au kuchelewa kuzalishwa, namara mtu anapozalisha antibodies tu basi vipimo hivi huweza kugundua maambukizi yake.
Mfani mtu wakisukari, kansa ,atachelewa kuzalisha antibodies wakupambana na HIV sababu apo alipo tu kinga yake ipo chini... kwaiyo huyu humchukua karibu mwezi mpaka miezi mitatu ndipo atagundulika...lkn ww mzm wa afya, mwili huzalisha antibodies kuanzia wiki ya pili na kiendelea ivo ndani ya mwezi mmoja mtu atagundulika nahii pia hutegemea sensitivity na specificity ya kipimo kilichotumiwa. Kwaujumla ndani ya mwez mpaka miezi mitatu mtu husoma... kwawale ambao kinga ipo chini sababu ya maradhi yao wengine huenda hadi miezi sita ingawa ni nadra sanaaa.

10-kwa kuzingatia utumiaji mzuri wa dawa, kula lishe bora, mazoezi na maisha yasokua namsongo wa mawazo, ARVs humwongezea mtu miaka 25---35 .
Kwa bongo bongo ,msosi, kupenda ulevi, ngono, nakukaribisha maambukizi mapya, huishia kufanya miaka 20 tu.
Ahsante sana mkuu nimekupata vyema kabisa hapa [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Afya yangu iko vizuri tu mkuu ondoa shaka pia mtu akishatumia ARV ni ngumu kuambukiza ivo mimi namtazama mtu tu kwa macho tayari najua apa niende dry au nivae mpira
Najua siwezi kuwa Correct 100% mana hakuna kitu kina efficiency ya 100 hata machine ina errors
Mimi sio Mungu ila ukiendelea hivi

Ukimwi utakuua
 
Badala muendelee kushusha hyo chain tuwafahamu tuweze kuwaepusha vijana wetu wadogo wasiukwae mmeingia kwenye mada nyingine ya ukimwi upo au haupo. Hivi kuna mtu anabisha ukimwi haupo.

akumbuka enzi tuko primry mtaa nilokua naishi walikufa watu kama kumi mfululizo nadhani vimelea bado vipo kwa baadhi ya wngine wanavisambaza hapo kitaa mpaka leo na ukimwi ule wa enzi zile watu walikua wanapitia stage mpk anabakia mifupa. Hao waliobaki ni kwa hisani ya ARV zimewaweka weka
 
I'll be back niko somewhere drinking ...


Nakuahid tu hoja zako ni nyepesi mno nasikitika sana serikali inasomesha experts wenye ujinga and can't think outside the box Kama wewe.


Nimekupa uzi ukausome utaona sehemu ya majibu yako kuanzia tulipochomwa hizo sindano zako za HIV feki na blabla kibao.


Daktari wa vitini vya Nyambari Nyangwine unashindwa kusoma nondo za wakina Larry na Montgner si utakuwa na kichaa.


Hoja zangu unasema ni utopolo
Mbona unazunguka zunguka mzee[emoji3][emoji3] umepewa offer apo uwende ukadhibitishe kuwa hakuna HIV ..pigwa sindano tu yenye virus ..alafu skilizia baada ya mwezi mmoja ...acha porojo za google..
 
Back
Top Bottom