Cappuccino Tunda kapatwa na ugonjwa gani?

Cappuccino Tunda kapatwa na ugonjwa gani?

Namuona jux yupo karibu sana na Weusi hadi nikahisi Jux ni mtu wa chuga
Nooope jux n mtu wa mtwara, ila kuhus weus n connection ya vee money, maan vee c mtu wa chuga, kwahyo na music wa jux unashahabian na weus kwahyo akaona awe karibu hivyo.
 
Unazungumzia kwenda kavu tu ? Kuna watu wamekuwa injected HIV positive Blood ili kuprove Hilo unalosema na hakuna lolote lilitokea ... Bahati mbaya uko nyuma ya taarifa ... Go and search unadhani hayo maswali yako ndio Mara ya kwanza kuulizwa.


Hilo unalotaka nifanye mbona kuna evidence nyingi humu watu wako kwenye ndoa mmoja ni positive na mwingine ni negative. Au hizi evidence huziamini ???


Nenda Vituo vya kupima ukachukue results contradiction zipo tele
Usiwaongelee watu nmekwambia nikupeleke ambiance ujaribu wew..acha kunipa mifano..
 
Kim Jong Jr, Hahaaa ila mtaalamu unajua kwamba kama mtu akiambukizwa vizuri halafu kinga yake ni kuwa virusi husambaratishwa mwilini? Unajua kuna kiwango cha virus inayosababisha kuingia na kuzaliana mwilini?? Unajua kama virus kidogo chini ya copy 1000 / ml ni ngumu sana kuzaliana mwilini kama kinga ya mtu ipo juu?

California love
 
Hahaaa ila mtaalamu unajua kwamba kama mtu akiambukizwa vizuri halafu kinga yake ni kuwa virusi husambaratishwa mwilini? Unajua kuna kiwango cha virus inayosababisha kuingia na kuzaliana mwilini?? Unajua kama virus kidogo chini ya copy 1000 / ml ni ngumu sana kuzaliana mwilini kama kinga ya mtu ipo juu?

California love
Kuambukizwa vizuri ndio kukoje ?
 
Hujui kitu, Hujui hata PCR inavyofanya kazi,.

Hujui kitu , blaa blaaa ndo nyingi .

UKIMWI et kila mtu mnao, Hii akili au matope??? Unajua Ni kwakiwango gani mwili umetuepushia mabalaa mengi sababu ya kinga kua imara????? .


Pata Ukimwi ndo ujue Umuhimu wa kinga imara.
Hakuna mtu anaedanganya hapa it's all about fact tu. Acha personal attack tuelewane.


Hapa kuna vitu viwili

1. Virusi vya ukimwi (VVU) au HIV kwa kiingereza

2. Upungufu wa Kinga Ukimwi (AIDS)


Nikianza na Kitu Cha kwanza (HIV ) hiki Kitu hakipo Kama una ushahidi weka hapa tumuone Huyo HIV , nenda kwa daktari yoyote akiweza kukuonesha Huyo HIV mimi nitaomba nitoke Jamii forum na pia aseme kifaa gani ametumia kuona Huyo HIV. Najua watakuja na issue zao za kifaa Cha PCR Ila mgunduzi wa hicho kifaa Kary Mullis yeye mwenyewe anashangaa kwanini watu wanasema kifaa Chake kinasemwa eti kinaonesha HIV. Generally HIV ni story za kijiweni hakuna Kitu Kama hicho.


Nikija issue ya pili ya Ukimwi kila mtu anao hata wewe unao ndio maana siku ukivamiwa na magonjwa maana Yake Kinga zako za mwili zimeshindwa kuhimili huo ugonjwa. Ukiwa na stress Kinga zako zinashuka . Ukiwa na lishe duni Kinga zako zinashuka. Labda uwe hujui nadharia Nini maana ya Ukimwi. Ila kama unaelewa nadharia ya Ukimwi kwa maana ya upungufu wa Kinga mwilini kila mtu anao hata wewe na Mimi tunao.


UMESEMA umewahi kushuhudia mtoto akiondoka hivi hivi. Hahaha Sasa ulitaka asife. Kwani kabla ya huo ugonjwa fake wa HIV kutokuwepo watu walikuwa hawafi?.. Kila mtu anaweza kufa Kama some principles zimevunjwa.


Umewahi kusikia kuwa ukimwi hauuwi ila magonjwa nyemelezi Kama malaria au typhoid ndio yanaua ? Sasa unapokuja hapa kusema umeona mtu kafa kwa ukimwi unataka nikueleweje wakati ukimwi hauuwi?


Sasa Kama ukimwi hauuwi Bali magonjwa nyemelezi kwanini usijikinge na uwe na life style nzuri usipate Kansa, malaria , typhoid badala ya kula hayo ma-arvs maisha yako yote Hadi figo zifeli. Nyie wenyewe mnasema humu Marehemu ruge alikuwa anatumia ARVs ila hata wewe ni shahidi Ruge mutahaba tulimchangia mpaka michango na raisi akatoa milion 50 ashughulikiwe tatizo la Figo. Hizi ni researched facts kuwa ARVs inaua Figo, ini na mapafu na Nyie wanawake mko kwenye hatari ya cervical cancer .. umewahi kujiuliza kwanini mashirika mengi yanayofadhili hizo ARVs yameanzisha vitengo vya kansa ya shingo ya kizazi ? ... Umewahi kujiuliza kwanini hii cansa kwa wanawake imeshamiri miaka ya kuanza kutumia ARVs ? Kwa Nini miaka ya nyuma hili tatizo ilikuwa almost halipo.


Umimwi hauui ila matumizi ya ARVs kwa muda mrefu ndio huua watu. Chukua Kile kikopo Cha Dawa za ARVs soma side effects zake halafu kawaangalie hao watu unaosema wamelazwa kwa HIV uone Kama hawafanani ...


Kila kifo kina sababu yake. Leo ukipimwa ukikutwa positive hutakufa Kama hutapata malaria au ugonjwa wowote. Sasa kwanini usijikinge na hayo magonjwa nyemelezi badala ya kula hayo mavidonge mwisho wa siku utachakaa maana ARVs Ina side effects kama Chemotherapy ( tiba ya mionzi ) kwa wenye kansa au mtumiaji wa Dawa za kulevya kwa muda mrefu ... Wote Hawa watatu baada ya matumizi ya muda mrefu wote watakuwa na mionekano sawa. Nywele dhoofu, ngozi isiyonawili, macho kuwa mekundu na ashes. Huku Kunawili mnakosema kumesababishwa na kula ARVs ni kwa muda tu Ila in long run mwisho huwa hivyo.


Sikia binti Malaria inaua watu wengi kuliko huo ugonjwa feki wa HIV ila kwanini hela nyingi inapelekwa kwenye HIV na sio malaria ? ... Katafute takwimu za wizara ya afya uone vifo vya Malaria na HIV uone n ugonjwa upi unaua Sana wabongo. Ndio maana nakwambia this is bussiness .. Vifo vya mama na mtoto ni vingi bongo kuliko huo upuuzi.
 
Kama upo Dar , tuwasiliane . Damu nirahisi kupatikana.

Nitakuinject mimi mwenyewe, alafu baada ya muda utaleta mrejesho


Unaandika utopolo tu.
Nasikitika tumepoteza hela kusomesha daktari wa sampuli yako... Daktari mzima kuhitimisha eti kufanya injection ya damu positive eti ndio kuhalalisha arguments zako ni kuonesha tulivyo na hoax medical experts.


Tangu mwanzo nimeshasema duniani Hakuna HIV utanithibitishiaje damu ina HIV?
 
Hujui kitu, Hujui hata PCR inavyofanya kazi,.

Hujui kitu , blaa blaaa ndo nyingi .

UKIMWI et kila mtu mnao, Hii akili au matope??? Unajua Ni kwakiwango gani mwili umetuepushia mabalaa mengi sababu ya kinga kua imara????? .


Pata Ukimwi ndo ujue Umuhimu wa kinga imara.
Taratibu mkuu punguza mchecheto utaelewa tu. Najua ni changamoto ya kupata knowledge mpya....


Kwako wewe ukimwi ni Nini ? Tuanzie hapo
 
Hivi unajua ARV ilikuwa ni Dawa ya cancer ikiitwa AZT? UNAJUA kwanini yenyewe ndio ilikuwa opted kuingizwa kwenye hizi issues ?

Unajicontradict unaposema kusudi la kutumia ARVs kwa mtu mwenye ukimwi ni kuongeza life span, Niambie ni binadamu gani ambae Hana ukimwi!!!! Wewe una ukimwi , Mimi Nina ukimwi na hata watoto wetu wana ukimwi kwa Maana ya AIDS Sasa hiyo life span ya kutokana na ARVs inatokea wapi ... Mbona wewe na Mimi tuna ukimwi na hatutumii ARVs na tunadumu kwanini unataka wenzako watumie na baadae wafe kwa issue za ini na mapafu.


Otherwise uwe hauelewi nini maana ya Ukimwi (aids). Ila kwa maana ya Ukimwi kila mtu ana ukimwi.
Mautopolo tu...AZT ni dawa ilotengenezwa kutibu kansa, lkn ikafeli .

Nakatika kufanyiwa majaribio kwa watu wenye HIV ikaonyesha mabadiliko makubwa ya utendaji kazi, na kupitia hilo, ikafungua njia ya Utengenezwaji wa madawa mbalimbali kupambana na maambukizi ya HIV.

Yaan nikm saizi Dawa aina ya Dexamethasone dawa ambayo inatibu magonjwa mbali ya Damu, homon ,kansa lkn bado imekuja kugundulika kua inasaidia wagonjwa wa COVID-19 kupona haraka.
 
Taratibu mkuu punguza mchecheto utaelewa tu. Najua ni changamoto ya kupata knowledge mpya....


Kwako wewe ukimwi ni Nini ? Tuanzie hapo
Wewe acha porojo, mimi niko Hosp kwa muda sasa,, kama upo Dar tuwasiliane, tutafute mashahidi, Damu yenye HIV kuipata ni sekunde.

Nikuinject , alafu baada ya mwezi mmoja miwili , utaleta mrejesho.
 
Nasikitika tumepoteza hela kusomesha daktari wa sampuli yako... Daktari mzima kuhitimisha eti kufanya injection ya damu positive eti ndio kuhalalisha arguments zako ni kuonesha tulivyo na hoax medical experts.


Tangu mwanzo nimeshasema duniani Hakuna HIV utanithibitishiaje damu ina HIV?
Wewe acha porojo, siuamini uwepo wa HIV?? Na umetolea mfano wapo walotiwa Damu ya HIV lkn wapo fresh tu???? Sasa achana namambo ya kusoma gugoooo




Njooo, tufanye kautafiti ketu mimi nawewe ,, Mbona ni rahisi sana .
 
Mautopolo tu...AZT ni dawa ilotengenezwa kutibu kansa, lkn ikafeli .

Nakatika kufanyiwa majaribio kwa watu wenye HIV ikaonyesha mabadiliko makubwa ya utendaji kazi, na kupitia hilo, ikafungua njia ya Utengenezwaji wa madawa mbalimbali kupambana na maambukizi ya HIV.

Yaan nikm saizi Dawa aina ya Dexamethasone dawa ambayo inatibu magonjwa mbali ya Damu, homon ,kansa lkn bado imekuja kugundulika kua inasaidia wagonjwa wa COVID-19 kupona haraka.
Hizo takataka tumeshazimaliza kuandika humu Jamii forum ... Naona nitakuwa Narudia kuandika tuliyoandika humu.


Take your time and read this thread for your own career growth halafu uje nikusafishe vizuri
V.V.U na Upimaji wake (Coincidences)


Umesikia kijana.
 
Hahahahhaa mimi siwezi poteza muda kusoma mautopolo kama hayo .


HIV ipo na Inaua.

ARVs zipo na lazima utumie kama unataka kutoboa.

Na nmekuambia, Titafutane, ili baada ya mwezi tulete mrejesho?? Yaan sisi tunakua wabongo wakwanza kuja na kautafiti ketu.

Hizo takataka tumeshazimaliza kuandika humu Jamii forum ... Naona nitakuwa Narudia kuandika tuliyoandika humu.


Take your time and read this thread for your own career growth halafu uje nikusafishe vizuri
V.V.U na Upimaji wake (Coincidences)


Umesikia kijana.
 
Hahahahhaa mimi siwezi poteza muda kusoma mautopolo kama hayo .


HIV ipo na Inaua.

ARVs zipo na lazima utumie kama unataka kutoboa.

Na nmekuambia, Titafutane, ili baada ya mwezi tulete mrejesho?? Yaan sisi tunakua wabongo wakwanza kuja na kautafiti ketu.
Ninatamani Sana niendelee na arguments na wewe ila nimeshindwa kurudia kuandika vitu.
 
Mzeee kwa ufupi, Acheni kupotosha watu na mautopolo yenu hayo mnayoyasoma mitandao ili hali mko nje ya kada .


Nahii huenda ni matokeo ya maisha yasokumbuka kutembelea Wagonjwa mahosp na kuwapa misaada midogo midogo.


Nmekupa Ofaaa ,unakwepa kwepa na mablaah blaah.

Kwann usiwe shuhuda?? Ukaja humu nakusema , jaman tarehe fulani nilikutana na Carlos , tukafanya moja mbili, na baada ya miezi mitatu, minne sita niko poaa kabisa ????

Kuna gharama yoyote katika hilo ?????


Wewe mwenyewe unaogopa ,alafu unakuja hapa kuwalisha watu matangopori yako ya kugugo .


Yaan Dunia inavyopambana na hii kitu, weee Mwanautopolo mmoja unaleta utopolo utopolo? .
Ninatamani Sana niendelee na arguments na wewe ila nimeshindwa kurudia kuandika vitu.
 
Back
Top Bottom