Cappuccino Tunda kapatwa na ugonjwa gani?

Cappuccino Tunda kapatwa na ugonjwa gani?

Blue kaungua kitambo na duly kitambo sana FA ndo hana...duly ndo kabisaa.sis wengne tunawajua had madem zao waliodanja na ngwengwe tena huyo blue ndo alikua anatembea na dem m1 alikua anasoma st anthonys.kaungua.yaan hyo ilikua 2005..maanina
Wewe mtu wa ajabu sana. Nikikwambia ulete uthibitisho wa majibu ya vipimo kuonesha blue na dully wameungua, utaweza kuleta ?
 
Ilikua zaman, ikagundulika mtu anayechelewa kuanza dawa, mwitikio utendekazi kazi wa dawa mwilin unakua ni hafifu sana.

Na wengine, wanakuj wakiwa hoi ,na wanapoanza tu wanasepa nakusepa kutokana na Nguvu za Dawa.

Kwaivo , Shirika la Afya Duniani likahitaji wote wanaogundulika kuambukizwa, kuanza dawa mara moja.
Kuanzishwa dawa si mpaka CD4 ziwe chini ama?
 
Ilikua zaman, ikagundulika mtu anayechelewa kuanza dawa, mwitikio utendekazi kazi wa dawa mwilin unakua ni hafifu sana.

Na wengine, wanakuj wakiwa hoi ,na wanapoanza tu wanasepa nakusepa kutokana na Nguvu za Dawa.

Kwaivo , Shirika la Afya Duniani likahitaji wote wanaogundulika kuambukizwa, kuanza dawa mara moja.
Mkuu namafamu mama mzee,nimezoea kumwita mama pia mana ni mama wa marafiki zangu ambao tumecheza nao utoto,sasa ni 20+ ana ngoma hata kabla ya RV anadunda,na ajifichi huwa anasema waziwazi yeye anao lakini atumii dawa na hatuoni akiumwa mara kwa mara.unazungumziaje hilo.
 
Mkuu namafamu mama mzee,nimezoea kumwita mama pia mana ni mama wa marafiki zangu ambao tumecheza nao utoto,sasa ni 20+ ana ngoma hata kabla ya RV anadunda,na ajifichi huwa anasema waziwazi yeye anao lakini atumii dawa na hatuoni akiumwa mara kwa mara.unazungumziaje hilo.
Mkuu hizi ndio scenario tunazozizungumza hapa kuwa zipo ila watu wanaleta ubishi. Hizo contradiction zipo nyingi Sana zinazohitimisha kwa kuwa huu ugonjwa ni porojo na propaganda tu
 
Wabongo bana Kuna magonjwa hatari Kama kansa au homa ya ini , kisukari na kufeli kwa Figo ndio magonjwa mnapaswa kujiepusha nayo na sio Huo upuuzi eti HIV ... Hizo ni biashara za watu.Ukimwi kila mtu anao.. Kwani nani Hana ukimwi !! Nani Kinga zake huwa hazishuki ? Hata stress zinashusha kinga Sasa mnashangaa Nini.


Achaneni na huo utumwa wa wazungu kuwageuza soko la hizo ARVs zao zinazoenda kuharibu Figo, ini na kusababisha kansa ya shingo ya kizazi kwa wanawake (cervical cancer). Ukifuatilia watu wote wanaotumia ARVs mwisho wa siku hufa na moja ya hayo magonjwa.

Kwa hizi network zilizotajwa humu Kama kweli kungekuwa na uhalisia wa huo upuuzi HIV Basi nchi nzima ingekuwa na waathirika wa ukimwi maana ni nadra kwa mwanaume kuwa na mwanamke mmoja. Halafu hivi tangu lini Kinga zangu kuwa chini zinaweza kumuambukiza mtu mwingine ???

Hivi mnajua stress zinashusha kinga ? Sasa nitawezaje kumuambukiza mtu mwingine mwenye Kinga na mzima kabisa !!! ... Mambo mengine sio mpaka muende vyuon tumien common sense


Acheni ngono zembe msije kupata homa ya ini na magonjwa mengine na sio eti HIV ... Hakuna hicho Kitu guys. Mnateketea kwa kukosa maarifa.
Sasa ukiwa connected kwenye grid ndo utaumwa magonjwa yote ayo ambayo wewe unaya ona ni hatari zaidi.....
 
Sawa mtaalamu umepewa offer ukaonyeshwa Demu wa Ambiance mwenye ngoma upige DRY Kisha Utatupa mrejesho maendeleo yako ya kiafya baada ya mechi.
Unataka mimi ndio nipige ???

Humu kuna shuhuda za watu wanaotembea na watu walio HIV positive au haujaziona ? Watu wako ndoani mmoja positive mwingine negative !!! Kwanini hizi shuhuda zisijbu hitaji lako la Mimi kutembea na Malaya wa ambiance.
 
Wewe mtu wa ajabu sana. Nikikwambia ulete uthibitisho wa majibu ya vipimo kuonesha blue na dully wameungua, utaweza kuleta ?

Mkuu ngoja nikuambie kitu kimoja. Ni kweli inawezekana hawa wanaoleta hizi habari hawana uthibitisho wa moja kwa moja (mfano cheti cha daktari) kuonyesha hao wasanii wana ngwengwe.

Ila kumbuka unapokua msanii, au mtu maarufu, ni vigumu sana kuficha siri! Hii ni kwasababu mambo mengi unayoyafanya lazima kuna watu watakuona tu. Mfano ukienda hospitali, kuanzia madaktari, manesi, wahudumu kila mtu atakua interested kujua unaumwa nini? Na katika hao wote mmoja tu akishajua ni rahisi kuvujisha taarifa kwa marafiki, mke/mume, nk na hapo ndio habari kama hizi zinafika mitaani na huku JF. Au mfano unakula ARV, hata ufiche vipi lakini kumbuka lazima kuna daktari/nesi anajua, kuna mtu anaekuletea hata kama huendi kupanga foleni, so mmoja wapo anaweza kuvujisha siri.

Mfano mzuri angalia stori za wasanii waliokua wanakula unga. Nyingi zilianzia mitaani na humu JF miaka mingi sana kabla hawajaanza kuugua na kuonyesha dalili zozote. Watu wanajua vitu mkuu, japo hawana hard evidence.
 
Mkuu ngoja nikuambie kitu kimoja. Ni kweli inawezekana hawa wanaoleta hizi habari hawana uthibitisho wa moja kwa moja (mfano cheti cha daktari) kuonyesha hao wasanii wana ngwengwe.

Ila kumbuka unapokua msanii, au mtu maarufu, ni vigumu sana kuficha siri! Hii ni kwasababu mambo mengi unayoyafanya lazima kuna watu watakuona tu. Mfano ukienda hospitali, kuanzia madaktari, manesi, wahudumu kila mtu atakua interested kujua unaumwa nini? Na katika hao wote mmoja tu akishajua ni rahisi kuvujisha taarifa kwa marafiki, mke/mume, nk na hapo ndio habari kama hizi zinafika mitaani na huku JF. Au mfano unakula ARV, hata ufiche vipi lakini kumbuka lazima kuna daktari/nesi anajua, kuna mtu anaekuletea hata kama huendi kupanga foleni, so mmoja wapo anaweza kuvujisha siri.

Mfano mzuri angalia stori za wasanii waliokua wanakula unga. Nyingi zilianzia mitaani na humu JF miaka mingi sana kabla hawajaanza kuugua na kuonyesha dalili zozote. Watu wanajua vitu mkuu, japo hawana hard evidence.
At least
Maelezo yako yana make sense
 
Dazen alikuwa na jasiri yeaah, but waliachana muda tyuuh kwan jasiri alilowea kwa penzi la mtoto wa kipemba, ndipo majizzo akachukua jimbo kwa dazen, na jasiri alimpiga pin dazen hakuna kutoka paleee, sasa jasiri alivyosepa mazima majizoo akaona achukue mzigo wake aumiliki vizuri, na huyo mtoto wa kipemba now ana milikiwa na jamaa wa kimakonde Jux. Uwiiiiiiiih
Hii supply chain sio ya nchi hii
 
Mkuu ngoja nikuambie kitu kimoja. Ni kweli inawezekana hawa wanaoleta hizi habari hawana uthibitisho wa moja kwa moja (mfano cheti cha daktari) kuonyesha hao wasanii wana ngwengwe.

Ila kumbuka unapokua msanii, au mtu maarufu, ni vigumu sana kuficha siri! Hii ni kwasababu mambo mengi unayoyafanya lazima kuna watu watakuona tu. Mfano ukienda hospitali, kuanzia madaktari, manesi, wahudumu kila mtu atakua interested kujua unaumwa nini? Na katika hao wote mmoja tu akishajua ni rahisi kuvujisha taarifa kwa marafiki, mke/mume, nk na hapo ndio habari kama hizi zinafika mitaani na huku JF. Au mfano unakula ARV, hata ufiche vipi lakini kumbuka lazima kuna daktari/nesi anajua, kuna mtu anaekuletea hata kama huendi kupanga foleni, so mmoja wapo anaweza kuvujisha siri.

Mfano mzuri angalia stori za wasanii waliokua wanakula unga. Nyingi zilianzia mitaani na humu JF miaka mingi sana kabla hawajaanza kuugua na kuonyesha dalili zozote. Watu wanajua vitu mkuu, japo hawana hard evidence.
Anajua sana sema ndio hivyo anaweka defense mechanism ili ionekana habari za uongo kwasababu hakuna ushahidi wa vipimo kuwa wazi!! Kwani issue ya kibz kuungua si Ma Dr ndio walivujisha ila pia kwa watu waliokuwa nae karibu miaka ya 2007/2008 alikonda balaa!!
 
Back
Top Bottom