Cappuccino Tunda kapatwa na ugonjwa gani?

Cappuccino Tunda kapatwa na ugonjwa gani?

Nimemwambia huyo jamaa kwamba kama HiV hayupo aende pale ambiance nimwonyeshe mala.ya mwenye ngwengwe aende akapige kavu kavu tuone kama atakubal..hao watu wanaoongeaga sana ndo waoga ajabu
Unazungumzia kwenda kavu tu ? Kuna watu wamekuwa injected HIV positive Blood ili kuprove Hilo unalosema na hakuna lolote lilitokea ... Bahati mbaya uko nyuma ya taarifa ... Go and search unadhani hayo maswali yako ndio Mara ya kwanza kuulizwa.

Hilo unalotaka nifanye mbona kuna evidence nyingi humu watu wako kwenye ndoa mmoja ni positive na mwingine ni negative. Au hizi evidence huziamini ???

Nenda Vituo vya kupima ukachukue results contradiction zipo tele
 
Hakuna mtu anaedanganya hapa it's all about fact tu. Acha personal attack tuelewane.


Hapa kuna vitu viwili

1. Virusi vya ukimwi (VVU) au HIV kwa kiingereza

2. Upungufu wa Kinga Ukimwi (AIDS)


Nikianza na Kitu Cha kwanza (HIV ) hiki Kitu hakipo Kama una ushahidi weka hapa tumuone Huyo HIV , nenda kwa daktari yoyote akiweza kukuonesha Huyo HIV mimi nitaomba nitoke Jamii forum na pia aseme kifaa gani ametumia kuona Huyo HIV. Najua watakuja na issue zao za kifaa Cha PCR Ila mgunduzi wa hicho kifaa Kary Mullis yeye mwenyewe anashangaa kwanini watu wanasema kifaa Chake kinasemwa eti kinaonesha HIV. Generally HIV ni story za kijiweni hakuna Kitu Kama hicho.


Nikija issue ya pili ya Ukimwi kila mtu anao hata wewe unao ndio maana siku ukivamiwa na magonjwa maana Yake Kinga zako za mwili zimeshindwa kuhimili huo ugonjwa. Ukiwa na stress Kinga zako zinashuka . Ukiwa na lishe duni Kinga zako zinashuka. Labda uwe hujui nadharia Nini maana ya Ukimwi. Ila kama unaelewa nadharia ya Ukimwi kwa maana ya upungufu wa Kinga mwilini kila mtu anao hata wewe na Mimi tunao.


UMESEMA umewahi kushuhudia mtoto akiondoka hivi hivi. Hahaha Sasa ulitaka asife. Kwani kabla ya huo ugonjwa fake wa HIV kutokuwepo watu walikuwa hawafi?.. Kila mtu anaweza kufa Kama some principles zimevunjwa.


Umewahi kusikia kuwa ukimwi hauuwi ila magonjwa nyemelezi Kama malaria au typhoid ndio yanaua ? Sasa unapokuja hapa kusema umeona mtu kafa kwa ukimwi unataka nikueleweje wakati ukimwi hauuwi?


Sasa Kama ukimwi hauuwi Bali magonjwa nyemelezi kwanini usijikinge na uwe na life style nzuri usipate Kansa, malaria , typhoid badala ya kula hayo ma-arvs maisha yako yote Hadi figo zifeli. Nyie wenyewe mnasema humu Marehemu ruge alikuwa anatumia ARVs ila hata wewe ni shahidi Ruge mutahaba tulimchangia mpaka michango na raisi akatoa milion 50 ashughulikiwe tatizo la Figo. Hizi ni researched facts kuwa ARVs inaua Figo, ini na mapafu na Nyie wanawake mko kwenye hatari ya cervical cancer .. umewahi kujiuliza kwanini mashirika mengi yanayofadhili hizo ARVs yameanzisha vitengo vya kansa ya shingo ya kizazi ? ... Umewahi kujiuliza kwanini hii cansa kwa wanawake imeshamiri miaka ya kuanza kutumia ARVs ? Kwa Nini miaka ya nyuma hili tatizo ilikuwa almost halipo.


Umimwi hauui ila matumizi ya ARVs kwa muda mrefu ndio huua watu. Chukua Kile kikopo Cha Dawa za ARVs soma side effects zake halafu kawaangalie hao watu unaosema wamelazwa kwa HIV uone Kama hawafanani ...


Kila kifo kina sababu yake. Leo ukipimwa ukikutwa positive hutakufa Kama hutapata malaria au ugonjwa wowote. Sasa kwanini usijikinge na hayo magonjwa nyemelezi badala ya kula hayo mavidonge mwisho wa siku utachakaa maana ARVs Ina side effects kama Chemotherapy ( tiba ya mionzi ) kwa wenye kansa au mtumiaji wa Dawa za kulevya kwa muda mrefu ... Wote Hawa watatu baada ya matumizi ya muda mrefu wote watakuwa na mionekano sawa. Nywele dhoofu, ngozi isiyonawili, macho kuwa mekundu na ashes. Huku Kunawili mnakosema kumesababishwa na kula ARVs ni kwa muda tu Ila in long run mwisho huwa hivyo.


Sikia binti Malaria inaua watu wengi kuliko huo ugonjwa feki wa HIV ila kwanini hela nyingi inapelekwa kwenye HIV na sio malaria ? ... Katafute takwimu za wizara ya afya uone vifo vya Malaria na HIV uone n ugonjwa upi unaua Sana wabongo. Ndio maana nakwambia this is bussiness .. Vifo vya mama na mtoto ni vingi bongo kuliko huo upuuzi.
Kusudio la kutumia ARV kwa mtu mwenye ukimwi ni kuongeza life span,ni kweli ARV zinaathiri figo na ini ndo maana wagonjwa wa ukimwi waliotumia dawa muda mrefu lazima wapimwe renal function test na liver function test kuangalia effect for management,mtu asiyetumia ARV kutoboa miaka 3 ni vigumu sana,lakini anayetumia huishi miaka mingi kidogo japo huwa ghafura baadae kwa sababu ini hufeli

California love
 
Mtaalamu umeelezea vizuri lakini napingana na wewe kwenye hoja zako,ni kweli PCR inapima viral load yaan idadi ya virus tu lakini kama ukitaka kumuona kirus mwenyewe anaonekana kwa kutumia electronic microscope,kwa hiyo kirusi kikiingia mwilini kinashambulia white blood cells ambazo zipo response kwa ajili ya kupambana na magonjwa,
Kwanini unakubali malaria ipo afu unakataa HIV??
Kwa hoja zako hauna tofauti ukisema malaria haiui Bali inasababisha anemia ,anemia ndo husababisha kifo,both malaria na ukimwi ni factor for death indirectly

California love
Naomba uweke microscopic image za Huyo HIV hapa .. Na ukifanikiwa kumuweka hapa naomba mnitoe Jamii forum !!!

Kwab hiyo unabishana na Kary Mullis ? Msikikize Kary Mullis mgunduzi wa hicho kifaa Cha PCR na kazi uliyoonesha eti ndio PCR inachokifanya.
 
Kuna Daktar kajibu maswali hapo juu.

ARV kwa miezi mitatu yakwanza Lazima utaomba Pooo na kama huli chakula cha kutosha na chenye lishe , utaacha kutumia.
Watu hawa wanalalamika Uchovu usokua wa wa kawaida, ndoto za ajabu ajabu, kukosa usingizi, kutapika, kuharisha ,kichefu kisichokawaida,, kutoka na rashes mwilin, kuwaka moto miguuu , baadhi ya viungo kua na ganzi n.k .. haya ni baadhi ya madhira madogo madogo,, na mtu anapokutwa nahaya kiasi chakuhatarisha Maisha yake, huwa anabadilishiwa dawa .

2... Mkuu, Kumeza dawa kila siku sio jambo dogo, hawa watu huwa wanajinyanyapa wenyewe, niwatu walokata tamaa, ndio maana wanahitaji msaada mkubwa sanaa , sababu zipo nyingi zakwann wanakataa dawa, sababu za mgonjwa mwenyewe, sababu zilizotokana na utumiaji wa dawa kiasi kwamba mtu anaamua tu kuacha.

Na Mtu aliyeanza kunywa dawa, akiacha tu , anaondoka mapema .
Asante mkuu kwa ufafanuzi

Hapo mwisho, kwahiyo ni bora mtu asinywe dawa kama hana uhakika wa kuzimeza mpaka mwisho?
 
Ndio mkuu mtumiaji mzuri wa ARVs kwa muda wa zaidi ya miezi sita nakuendelea, huwa anaishia kua na viral load ambayo ni undetectable ..napindi mtu anapofikia hapa, huwa hana uwezo wa kuambukiza kwa njia ya ngono.
Na je mkienda kupima, ataonekana -ve?

Nitamgunduaje mwenye HIV kwa macho, yaan kwa haraka haraka kabla ya kupima?
 
Duuuuuuh aseeeeeh hatareeeh sana, kwan Ruge alikuwa ameungua? Sasa km n hivyo mbona wasanii wote wameoza, maan ruge amewala sana wasanii sio wa kike wala kiume. [emoji24][emoji24][emoji24]
Duu mpaka wakiume???
 
Kusudio la kutumia ARV kwa mtu mwenye ukimwi ni kuongeza life span,ni kweli ARV zinaathiri figo na ini ndo maana wagonjwa wa ukimwi waliotumia dawa muda mrefu lazima wapimwe renal function test na liver function test kuangalia effect for management,mtu asiyetumia ARV kutoboa miaka 3 ni vigumu sana,lakini anayetumia huishi miaka mingi kidogo japo huwa ghafura baadae kwa sababu ini hufeli

California love
Hivi unajua ARV ilikuwa ni Dawa ya cancer ikiitwa AZT? UNAJUA kwanini yenyewe ndio ilikuwa opted kuingizwa kwenye hizi issues ?

Unajicontradict unaposema kusudi la kutumia ARVs kwa mtu mwenye ukimwi ni kuongeza life span, Niambie ni binadamu gani ambae Hana ukimwi!!!! Wewe una ukimwi , Mimi Nina ukimwi na hata watoto wetu wana ukimwi kwa Maana ya AIDS Sasa hiyo life span ya kutokana na ARVs inatokea wapi ... Mbona wewe na Mimi tuna ukimwi na hatutumii ARVs na tunadumu kwanini unataka wenzako watumie na baadae wafe kwa issue za ini na mapafu.

Otherwise uwe hauelewi nini maana ya Ukimwi (aids). Ila kwa maana ya Ukimwi kila mtu ana ukimwi.
 
Asante mkuu kwa ufafanuzi

Hapo mwisho, kwahiyo ni bora mtu asinywe dawa kama hana uhakika wa kuzimeza mpaka mwisho?
Mtu mmoja ali kataa kuanza kutumia baada ya kugundulika miezi sita tu akaletwa akiwa hoi.

Mwingine alikua mtumiaji mzuri tu sijui alikumbwa nann, akaacha na kaanza kua mlevi, yeye alisepa ghafla .

Mtu mgonjwa asojijua , yeye anaweza kwenda mpaka miaka 10 kwa kuzingatia ana maisha safi lkn hiyo miaka 10 hapo kati anaumwa sanaaaa yaan sanaa tu , kwa hapa bongo na maisha yetu haya, haaaa miaka miwili tu

Mtu alopima leo kaambiwa ni.mgonjwa, akakataa kunywa dawa, kutokana na aina ya maisha atakayopitia, mawazo n.k huyu ana maisha mafupi zaidi kushinda asiyejijua.

Kwaiyo hapa, Watu watumie Dawa pindi tu atakapogundulika, na atumie Dawa kwa usahihi na muda sahihi, nakufuata maelekezo yote apewayo CTC. usipotumia Utaondoka mapema, ukitumia dawa kisha ukaacha utaondoka mapema zaidiii.
 
Naomba uweke microscopic image za Huyo HIV hapa .. Na ukifanikiwa kumuweka hapa naomba mnitoe Jamii forum !!!

Kwab hiyo unabishana na Kary Mullis ? Msikikize Kary Mullis mgunduzi wa hicho kifaa Cha PCR na kazi uliyoonesha eti ndio PCR inachokifanya.
Hii
Screenshot_20200628-110516.jpg


California love
 
kuna wasanii ingawa nao wanayo ya kwao lakini huwezi kuwakuta kwenye chain hizi inabidi tuwape pongezi aiseeee
tokea tukiwa wadogo tumewasikiliza na walikuwa na umaarufu mkubwa lakini wamejitahidi kujiepusha na chain hizi
shout kwa prince dully sykes brotherman mr blue ay na mwana fa hawa kwa ukubwa wa majina yao na umaarufu ungetegemea na wao kutajwa humu
Hata Sugu Moto chinii, big up kwake[emoji119]
 
Huwezi mgundua kwa macho .

Ukimpima hata kama yupo kwa dozi miaka 10 ataonekana +Ve tu .

Vipimo hivi vinaangalia antibodies against HIV.

Ukipata maambukizi leo, mwili unaanza kuzalisha jeshi(antibodies ) kupambana na HIV, jeshi hili litabakia damuni miaka yote ya maisha yako.

Na kwa maana hiyo, vipimo vitasoma +Ve hata kama viral load ni undetectable
Na je mkienda kupima, ataonekana -ve?

Nitamgunduaje mwenye HIV kwa macho, yaan kwa haraka haraka kabla ya kupima?
 
Hivi unajua ARV ilikuwa ni Dawa ya cancer ikiitwa AZT? UNAJUA kwanini yenyewe ndio ilikuwa opted kuingizwa kwenye hizi issues ?

Unajicontradict unaposema kusudi la kutumia ARVs kwa mtu mwenye ukimwi ni kuongeza life span, Niambie ni binadamu gani ambae Hana ukimwi!!!! Wewe una ukimwi , Mimi Nina ukimwi na hata watoto wetu wana ukimwi kwa Maana ya AIDS Sasa hiyo life span ya kutokana na ARVs inatokea wapi ... Mbona wewe na Mimi tuna ukimwi na hatutumii ARVs na tunadumu kwanini unataka wenzako watumie na baadae wafe kwa issue za ini na mapafu.


Otherwise uwe hauelewi nini maana ya Ukimwi (aids). Ila kwa maana ya Ukimwi kila mtu ana ukimwi.
Asante kwa comments zako ngoja niingie chimbo nirudie kusoma then narudi

California love
 
Huwezi mgundua kwa macho .


Ukimpima hata kama yupo kwa dozi miaka 10 ataonekana +Ve tu .

Vipimo hivi vinaangalia antibodies against HIV.

Ukipata maambukizi leo, mwili unaanza kuzalisha jeshi(antibodies ) kupambana na HIV, jeshi hili litabakia damuni miaka yote ya maisha yako.

Na kwa maana hiyo, vipimo vitasoma +Ve hata kama viral load ni undetectable
Duuuh Asante sana mkuu kwa kunitoa tongongo!

Na je zile story za kunywa coca asubuhi kwa mwenye virus akipima inaonesha nega ni uzushi kumbe?

Kwahiyo mtumia mbaazi kuambukiza kwa ngono ndo ngumu ukienda nae dry? But ukimpima ataonesha + ve right away?
 
Duuuh Asante sana mkuu kwa kunitoa tongongo!

Na je zile story za kunywa coca asubuhi kwa mwenye virus akipima inaonesha nega ni uzushi kumbe?

Kwahiyo mtumia mbaazi kuambukiza kwa ngono ndo ngumu ukienda nae dry? But ukimpima ataonesha + ve right away?
[emoji23][emoji23][emoji23]Nimecheka sana kwahiyo wakininywa mie nawaponesha mweeeeeeh, basi waje waninunue kwa wingi npo dukan kwa mangi nmejaa tele. Bei cheeeh 500 chupa, take away 1000, uwiiiiiiiih
 
Tatzo utamu kaka...sio kwamba wanapenda.tatzo utamu


Ingakuwa wanatafuta utamu basi wangewakubali hadi wanaume Malofa wasio na pesa kama vile wapiga debe wa kwenye vituo vya madaladala[emoji108][emoji108]

Nazani kinawasukuma hasa ni tamaa ya kutaka pesa ya kununua simu za gharama kubwa kwaajili ya show off.

Kupata pesa ya kununua vitu vya ziada vya tamaa n.k

Watoto wafindishwe kuridhika na vitu wala vyonavyo.

Waambiwe wasome wakijapata kazi wataweza kujinunulia mahitaji yao kwa usalama.

Pesa za wanaume zinahatari ya uwezekano wa kupata maambukizi ya magonjwa yasiyo na tiba!
 
Back
Top Bottom